Hawa wahadzabe wasiostaarabika wanajua hata hayo mapokeo?Kinachotumaliza sisi weusi Woga wa kimapokeo kutoka kwenye maandiko ya kihistoria yaliyoandikwa na wazungu Kwamba tulianzia kuwa Masokwe je hao wazungu walikuwa sokwe gani?
Mada husomi kujifunza unaleta ubishi wa ngumbaluAchana na story za kusadikika. Tupige kazi, tuache uvivu, tufikiri nje ya box ili tuweze kufika kule waliko wenzetu. Tukiendeleea kusubiri huruma za dunia ooh tulikuwa mbali zamani, ohh tulihujumiwa na wazungu n.k hazitasaidia. Wachina wamesonga mbele, walikuwa kama sisi, Wahindi wanasonga mbele, Waarabu wamepiga hatua. Na sisi tupige hatua. Achana kabisa na story za kusadikika. KAMA KUSOMA HUJUI SI HATA PICHA UNAIONA? DINI ZIMELETWA NA WATU WA KUJA, ELIMU IMELETWA NA WATU WA KUJA. HAO WAAFRIKA WALITAWALA DUNIA KWANINI HAWAKUACHA HATA DINI YAO HUKO? TUACHE KULALAMIKA, TUJITUME.
Kwa hivyo hadithi ya bustanini na nyoka wanaongea inakupa faraja kidogo?Hawa wahadzabe wasiostaarabika wanajua hata hayo mapokeo?
Jibu hoja acha kupindisha swali.Kwa hivyo hadithi ya bustanini na nyoka wanaongea inakupa faraja kidogo?
Sokwe albino wapo
Mimi sikuwa nyani wala Albino siyo Wazungu. Uzembe na ujinga wa babu zetu ndo umetufanya tuwe hapa tulipo leo. na sisi tukiendelea kuwa na ujinga wa kuamini kuwa tulikuwa mbali zamani wakati babu zetu wanasema hawakuwa hata nguo wakati wakoloni wanakuja tutalaumiwa na wajukuu zetu kwa jinsi tulivyokuwa wajinga na wapumbavu. Tufanye kazi, tusomeshe watoto Sayansi na Ufundi ili twende mbele.We unadhania ulikuwa nyani albino????
Wazungu wako leo hii duniani baadhi ya sehemu hawana hata hayo mashimo wanaishi vichakani na maisha ya kuhamahama, travellers au gypsies wanaitwa, hao watu wa mwituni Africa Mungu amewaweka makusudi kama ushuhuda, hata hao wamasai na wamang,,'ati, ili wanaojaribu kufuta wajiulize mwisho watapata Nini??? Huwezi kubadilisha maumbile
Sjskujibu wewe dada, unaswali gani?Jibu hoja acha kupindisha swali.
Hapana, asiye ujua ujinga wake ndio mpumbavu, mjinga akieleweshwa ataelewamada kwamba Mwafrika alitawa hadi Ulaya! huo upumbavu tu. Asikubali ujinga wake ni mpumbavu.
Yeah,tales za ubabaishaji sababu kwenye vitabu ulivyosoma na vyombo vingine vya habari kulikua na "authentic" tales kumhusu mtu mweupe,na hizo ndio haswaa unazipenda na kuziabudu.Hapana hujanielewa labda tu kwamba nili-generalise maelezo yangu. Na pia nieleweke si kwamba kutuzidi kwetu wenzetu kunawapa justification ya kutukandamiza na kutunyonya. Nachopinga ni hizi tales za ubabaishaji khs waafrika. Na pia labda tu niseme kwamba kikubwa ninachowalaumu white folks ni kuja kutuharibia mfumo wetu wa maisha waafrika tuliokua nao kabla ya ujio wao; kwa wao mfumo wetu wa maisha tuliokua nao kabla ya invasion waliona ni primitive na savage, lakini mimi mpak kesho nawalaumu na kuwaona washenzi wakubwa hawa watu weupe kwa kutuletea mifumo yao ya dini, elimu na mengineyo. I rest my case!
Wazungu wametembea Sana uchi, Karne ya 15 tu hapa wameuliwa maelfu hasa wanawake kwa Imani za kishirikinaTunalogana,tulikuwa uchi mpaka leo wazungu wanakuja kumuona mtu anaitwa Masai kisa kaambiwa ni mdogo wake zinja thropus.mpaka leo wahadzabe unawatengenezea shule wanaikimbia na kuhama,Tumeachiwa mikorosho na wakoloni ikazaa wakati wa kuuza tukaongeza na mawe ili kilo zipande,hata vyoo ni kwa hisani ya watu wa Marekani.Tunatenga viumbe wa Mungu na kuwaua (albino) kisa utajiri akili za uvivu hizi leo useme tulikuwa wastaarabu tunakunya maporini.SISI TUNA UZEZETA WA ASILI HATA ELIMU YETU IMESHINDWA KUUONDOA WE ARE SHITHOLES IN DEED
Bukoba, hebu msikilize huyo ngumbalu huko juuYeah,tales za ubabaishaji sababu kwenye vitabu ulivyosoma na vyombo vingine vya habari kulikua na "authentic" tales kumhusu mtu mweupe,na hizo ndio haswaa unazipenda na kuziabudu.
Una kubali ulikuwa Sokwe?Hawa wahadzabe wasiostaarabika wanajua hata hayo mapokeo?
Mkuu Hao masokwe walianzia EA kama walivyodai wao je hao wazungu walitokana na hawa sokwe weusi au sokwe wa rangi gani?Sasa na wewe unapotosha! Historia inasema binadamu wote wakiwemo wazungu tumetokana na masokwe na si watu weusi tu.
Mi nakubali, ww vipi? Nyoka ndio alinamnagani???Una kubali ulikuwa Sokwe?
Pitia mada mengine tushajibuMkuu Hao masokwe walianzia EA kama walivyodai wao je hao wazungu walitokana na hawa sokwe weusi au sokwe wa rangi gani?