Watu weusi ndio walivuka bahari kuu na kufanya ustaarabu kote Asia na Ulaya

Watu weusi ndio walivuka bahari kuu na kufanya ustaarabu kote Asia na Ulaya

Kinachotumaliza sisi weusi Woga wa kimapokeo kutoka kwenye maandiko ya kihistoria yaliyoandikwa na wazungu Kwamba tulianzia kuwa Masokwe je hao wazungu walikuwa sokwe gani?
Hawa wahadzabe wasiostaarabika wanajua hata hayo mapokeo?
 
Achana na story za kusadikika. Tupige kazi, tuache uvivu, tufikiri nje ya box ili tuweze kufika kule waliko wenzetu. Tukiendeleea kusubiri huruma za dunia ooh tulikuwa mbali zamani, ohh tulihujumiwa na wazungu n.k hazitasaidia. Wachina wamesonga mbele, walikuwa kama sisi, Wahindi wanasonga mbele, Waarabu wamepiga hatua. Na sisi tupige hatua. Achana kabisa na story za kusadikika. KAMA KUSOMA HUJUI SI HATA PICHA UNAIONA? DINI ZIMELETWA NA WATU WA KUJA, ELIMU IMELETWA NA WATU WA KUJA. HAO WAAFRIKA WALITAWALA DUNIA KWANINI HAWAKUACHA HATA DINI YAO HUKO? TUACHE KULALAMIKA, TUJITUME.
Mada husomi kujifunza unaleta ubishi wa ngumbalu
 
We unadhania ulikuwa nyani albino????
Mimi sikuwa nyani wala Albino siyo Wazungu. Uzembe na ujinga wa babu zetu ndo umetufanya tuwe hapa tulipo leo. na sisi tukiendelea kuwa na ujinga wa kuamini kuwa tulikuwa mbali zamani wakati babu zetu wanasema hawakuwa hata nguo wakati wakoloni wanakuja tutalaumiwa na wajukuu zetu kwa jinsi tulivyokuwa wajinga na wapumbavu. Tufanye kazi, tusomeshe watoto Sayansi na Ufundi ili twende mbele.
 
Wazungu wako leo hii duniani baadhi ya sehemu hawana hata hayo mashimo wanaishi vichakani na maisha ya kuhamahama, travellers au gypsies wanaitwa, hao watu wa mwituni Africa Mungu amewaweka makusudi kama ushuhuda, hata hao wamasai na wamang,,'ati, ili wanaojaribu kufuta wajiulize mwisho watapata Nini??? Huwezi kubadilisha maumbile

Mungu siyo mkatili wala siyo m,baguzi hadi mwingine amfanye kuishi kwenye mashimo na mapango (mfano wahadzabe na mbilikimo) huku mwingine aishi maisha ya juu sana. Ujinga wa watu hao ndo unawafanya waishi maisha duni. Sisi tukiendelea na huo ujinga wa kuamini kuwa Mungu kataka tuwe hivi kamwe tutalaumiwa na wajukuu zetu. Ujinga na uvivu wa babu zetu ndo umetufanya tuwe hapa tulipo leo na sisi tukiendeleza huu ujinga wa kuamini ujinga tutaendelea kuwa maskini.
 
Hapana hujanielewa labda tu kwamba nili-generalise maelezo yangu. Na pia nieleweke si kwamba kutuzidi kwetu wenzetu kunawapa justification ya kutukandamiza na kutunyonya. Nachopinga ni hizi tales za ubabaishaji khs waafrika. Na pia labda tu niseme kwamba kikubwa ninachowalaumu white folks ni kuja kutuharibia mfumo wetu wa maisha waafrika tuliokua nao kabla ya ujio wao; kwa wao mfumo wetu wa maisha tuliokua nao kabla ya invasion waliona ni primitive na savage, lakini mimi mpak kesho nawalaumu na kuwaona washenzi wakubwa hawa watu weupe kwa kutuletea mifumo yao ya dini, elimu na mengineyo. I rest my case!
Yeah,tales za ubabaishaji sababu kwenye vitabu ulivyosoma na vyombo vingine vya habari kulikua na "authentic" tales kumhusu mtu mweupe,na hizo ndio haswaa unazipenda na kuziabudu.
 
Tunalogana,tulikuwa uchi mpaka leo wazungu wanakuja kumuona mtu anaitwa Masai kisa kaambiwa ni mdogo wake zinja thropus.mpaka leo wahadzabe unawatengenezea shule wanaikimbia na kuhama,Tumeachiwa mikorosho na wakoloni ikazaa wakati wa kuuza tukaongeza na mawe ili kilo zipande,hata vyoo ni kwa hisani ya watu wa Marekani.Tunatenga viumbe wa Mungu na kuwaua (albino) kisa utajiri akili za uvivu hizi leo useme tulikuwa wastaarabu tunakunya maporini.SISI TUNA UZEZETA WA ASILI HATA ELIMU YETU IMESHINDWA KUUONDOA WE ARE SHITHOLES IN DEED
Wazungu wametembea Sana uchi, Karne ya 15 tu hapa wameuliwa maelfu hasa wanawake kwa Imani za kishirikina

So in 1917, they started picketing the White House, an unprecedented act at the time. Many women were arrested and sent to jail, but public opinion shifted. The 19th Amendment went to Congress in 1918 and was ratified by the states on August 18, 1920. American women had finally earned the right to vote.

Ameruhusiwa Mwana mke kupiga kura mmarekani hapo karne ya 18, ndugu nyie anzeni kupenda na kuthamini vya kwenuna utu wenu, mwenzenu mabaya Yake anaficha anafunua ya kwenu na kuyachafua Ni nyi mnasapoti na kuchekelea
 
women-who-fought-for-the-vote-H.jpeg

Wazungu wametembea Sana uchi, Karne ya 15 tu hapa wameuliwa maelfu hasa wanawake kwa Imani za kishirikina

So in 1917, they started picketing the White House, an unprecedented act at the time. Many women were arrested and sent to jail, but public opinion shifted. The 19th Amendment went to Congress in 1918 and was ratified by the states on August 18, 1920. American women had finally earned the right to vote.

Ameruhusiwa Mwana mke kupiga kura mmarekani hapo karne ya 18, ndugu nyie anzeni kupenda na kuthamini vya kwenuna utu wenu, mwenzenu mabaya Yale anaficha anafunua ya kwenu na kuyachafua Ni nyi mnasapoti na kuchekelea
 
Kwa nini watu wanakuwa wabaguzi, wenye kujidharau na kudharau wenzao??? Kulingana na Jared, ubaguzi wa rangi unahusisha imani kwamba watu wengine hawana uwezo wa kufunzika/kustaarabika. Au kuwa binadamu - kwamba ni tofauti na sisi, na wao ni chini ya binadamu. Ilikuwa kupitia kazi yake huko New Guinea kwa miaka 30 iliyopita ambayo imemhakikishia kuwa si kweli. "'Wao' Ni watu kama sisi na wana busara kuliko sisi," anasema. Lakini labda sababu kuu ambayo watu wanatafuta maelezo ya ubaguzi wa rangi, anasema, ni kwamba hawana jibu lingine. Mpaka kuwe na jibu lenye kushawishi kwa nini historia ilichukua mkondo iliyochagua , watu watakuja nyuma kwenye maelezo ya ubaguzi wa rangi. Jared anaamini kwamba athari kubwa njema kwa dunia ya mawazo inaweza kuwa i kubomoa msingi wa nadharia za rangi ya historia na maoni ya ubaguzi wa rangi.
Jared Diamond
 
Wanadai kwamba Kuna Europe na primitive people or the non Europeans
Lakini hawataki kukubali watu walistaarabioka maelfu ya miaka kabla yao, Ulaya
Africa China na India, na ndio walioistawaliost Ulaya
 
Sasa na wewe unapotosha! Historia inasema binadamu wote wakiwemo wazungu tumetokana na masokwe na si watu weusi tu.
Mkuu Hao masokwe walianzia EA kama walivyodai wao je hao wazungu walitokana na hawa sokwe weusi au sokwe wa rangi gani?
 
Back
Top Bottom