Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko tulishatoka, huwezi kuturudisha, Olduvai gorge iko ujerumani bwana!!! Na joho lako LA nyerere kumbe Black Skin, White Masks ???!!!!!tuache kujivika misifa kwa nadharia za kufikirika 'eti sisi watu weusi ndio tulianza kwenda ulaya na asia kabla ya ngozi nyeupe kuja kwetu!!' labda kama mababu zetu walikua wanaenda na ungo usiku wanawawangia wazungu then wanarudi kimyakimya.
Walewale, unasubiria kwenda peponi uwe mzungu sio?????tuache kujivika misifa kwa nadharia za kufikirika 'eti sisi watu weusi ndio tulianza kwenda ulaya na asia kabla ya ngozi nyeupe kuja kwetu!!' labda kama mababu zetu walikua wanaenda na ungo usiku wanawawangia wazungu then wanarudi kimyakimya.
Mweusi shetani au vipi?tuache kujivika misifa kwa nadharia za kufikirika 'eti sisi watu weusi ndio tulianza kwenda ulaya na asia kabla ya ngozi nyeupe kuja kwetu!!' labda kama mababu zetu walikua wanaenda na ungo usiku wanawawangia wazungu then wanarudi kimyakimya.
Utendee mjadala haki,sababu zimetolewa nyingiii, za kiuchumi, kiitikadi, kitamaduni, hujuma, taaluma na kadhalika, imani mi sehemu moja wapo ya suluhisho, na mengineyo, walijaribu sasa mkoloni akaondoka , mbona zimefeli?? Vyama vingi mbona vimefeli??? Ni wakati wakuangalia upya, wapi tulifeli, na kujaribu mbinu mpya mbadalaBaada ya haya maelezo yooote (kuhusu mtu mwenye rangi nyeusi) mwisho wa siku tunaambiwa et kwamba ukristo na uislamu ndiyo uliyofanya na unaendelea kutufanya kuwa hivi tulivyo waafrika,na hivyo tunatakiwa turudi kwenye Imani za mababu zetu.
Kuna muda huwa nafikiri lengo hapa ni kuzipiga vita hizi imani za ukristo na uislamu,na ndiyo maana zinabebeshwa mzigo wa lawama kuwa ndiyo chanzo cha matatizo yetu waafrika.
Mzungu Mungu au sio, mweusi shetani Bwana nyerere, au sio???ltuache kujivika misifa kwa nadharia za kufikirika 'eti sisi watu weusi ndio tulianza kwenda ulaya na asia kabla ya ngozi nyeupe kuja kwetu!!' labda kama mababu zetu walikua wanaenda na ungo usiku wanawawangia wazungu then wanarudi kimyakimya.
Hayo mambo mengine yametokea kipindi cha ukoloni?Utendee mjadala haki,sababu zimetolewa nyingiii, za kiuchumi, kiitikadi, kitamaduni, hujuma, taaluma na kadhalika, imani mi sehemu moja wapo ya suluhisho, na mengineyo, walijaribu sasa mkoloni akaondoka , mbona zimefeli?? Vyama vingi mbona vimefeli??? Ni wakati wakuangalia upya, wapi tulifeli, na kujaribu mbinu mpya mbadala
He! Na yanayotokea Sasa hivi!!!!?? Baada ya kuondoka mkoloni????kweli dini noma, yani piga ua!!!!!!Hayo mambo mengine yametokea kipindi cha ukoloni?
Ndiyo nauliza vizuri kuwa mambo yote tuliyokuwa nayo waafrika yamepotea walipokuja wakoloni?He! Na yanayotokea Sasa hivi!!!!?? Baada ya kuondoka mkoloni????kweli dini noma, yani piga ua!!!!!!
Wapi dada kifinga? Kimya kimezidikama waarabu ndio wabaya sana wameharibu sana brain za jamaa zetu
AsanteUnabishana na mtu asiyejikubali hakuna mahali mtu mweupe alituweza kama kutuaminisha sisi ni weak people mwambie akatafute historia ya mtu mweusi kwenye piramids za misri
nipo mkuuWapi dada kifinga? Kimya kimezidi
Usitafasiri vitu kwa wepesiAliyeniona Mimi amemuona baba????!!!!! YEsu Ni Mungu sio????
Umesoma tu title ya thread ukakimbilia kucomment.hovyooo.Babu yako alikua mchawi tu kila mtu anajua.Hapa atuzungumzii mambo ya 1884.Tunazungumzia mambo ambayo yalikuwepo hata kabla ya kuanza kwa kalenda ya sasa.tuache kujivika misifa kwa nadharia za kufikirika 'eti sisi watu weusi ndio tulianza kwenda ulaya na asia kabla ya ngozi nyeupe kuja kwetu!!' labda kama mababu zetu walikua wanaenda na ungo usiku wanawawangia wazungu then wanarudi kimyakimya.
Kimekuuma Nini we ulisema we si mkiristo?????Usitafasiri vitu kwa wepesi
Mno
Na shutuma kwa wengine na
Uelewa wao kwa imani zao haukuhusu
Kama wewe umejifunza imani
Ile ambayo unaona tumesahau
Na unahisi inatufaa kwa wakati huu,ni vema ukajuza na
Kitukumbusha
Si vema wakati wote muwe mnaponda imani hali mbadala wake hamna
Bla Bla za kujipa uhalali nyiiingi....kwa ufupi hazina mashiko
Yapo huyaoniNdiyo nauliza vizuri kuwa mambo yote tuliyokuwa nayo waafrika yamepotea walipokuja wakoloni?
Kimyaaaa vepeeeee!!!!! Huna Cha kumjibu bi Fatima????tuache kujivika misifa kwa nadharia za kufikirika 'eti sisi watu weusi ndio tulianza kwenda ulaya na asia kabla ya ngozi nyeupe kuja kwetu!!' labda kama mababu zetu walikua wanaenda na ungo usiku wanawawangia wazungu then wanarudi kimyakimya.
Umepwewa!!!!!tuache kujivika misifa kwa nadharia za kufikirika 'eti sisi watu weusi ndio tulianza kwenda ulaya na asia kabla ya ngozi nyeupe kuja kwetu!!' labda kama mababu zetu walikua wanaenda na ungo usiku wanawawangia wazungu then wanarudi kimyakimya.