Watu weusi ndio walivuka bahari kuu na kufanya ustaarabu kote Asia na Ulaya

Watu weusi ndio walivuka bahari kuu na kufanya ustaarabu kote Asia na Ulaya

Basi walikuwa smart mpaka wameweza kupanga na kufanikisha jambo kubwa kama hilo
Tatuzi ni ufahamu wa pamoja Kama Aina watu. Mbona wachaga wana mafanikio Kama kabila? Ni ile misingi ya mila na desturi iwaunganishao...Kama aina bina sisi tulipoteza hiyo....pia wengi wenu upeo wenu wa historia Ni ya ukoloni na utumwa, ngano yenu ya kijinga, eti sababu kanipiga Basi siwezi kupigana, sababu nimefeli Basi Sina akili, huo Ni upumbavu,Kuna vigezo vingine Lukuki vya kutathmini tatizo,mfike mahali muwache ujinga huo na uvivu wa kufikiri,ili tusonge mbele
 
Hatukatai hilo, hawa jamaa wapo smart, they're hybrid. Kuna maandiko yanasema baadhi ya malaika waliona watoto wa wanadamu kuwa ni wazuri wakatoka huko na kuja kuwaingilia.
Kumbe mnaongelea hadithi za kusadikika bila ushahidi.
Kuna mtu aliwahi kuniambia eti raisi wa kwanza wa Marekani alikuwa mweusi kugoogle nikakutana na links kibao kujustify hilo kumbe later nikaja gundua ni kufanana kwa majina basi waafrika ni inferiority complex wakipata kitu hata hawajihangaishi kutafuta ushahidi wanakikuza kuonekana walikuwa juu.
Leteni ushahidi tuacheni kulia lia
 
Kama waliweza fanya hayo na wakaweza basi walikuwa smart kuliko mtu mweusi.
Siyo jambo rahisi ku control population ya jamii iliyokuzidi akili uwezo na maarifa. Kama ukiweza basi lazima uwe na maendeleo ya kisayansi kuizidi kama kupitia madawa yanayosababisha ugumba.
Umesema technology destruction, we kama ni mwerevu boya anawezaje kuharibu uvumbuzi wako? Basi kama akiweza ina maana ni smart zaidi yako.
Culture destruction hii inadhihirisha wazi walikuwa wako juu zaidi ya mweusi ndiyo maana waliweza kuua utamaduni wake. Angalia jamii zenye nguvu na kubwa huwezi kuharibu tamaduni zao mfano mzuri wahindi mhindi kokote utakapomkuta awe tajiri au maskini atakuwa kashikiria tamaduni zao hata kama hajawahi kufika india.
Angalia leo pamoja na wazungu kuwa smart lakini mchina anaonekana kuwa tishio. Harafu jamii ya kiafrika haiku anguka kutokana na dola za nnje peke yake. Internal disputes pia ilichagia.
 
Hatukatai hilo, hawa jamaa wapo smart, they're hybrid. Kuna maandiko yanasema baadhi ya malaika waliona watoto wa wanadamu kuwa ni wazuri wakatoka huko na kuja kuwaingilia.
Vizier uko vizuri,Hawa zeruzeru Ni kizazi Cha Mashetani waliolaaniwa,sisi Ni Wana wamungu, mwishiwe tutashinda yote, sisi Ni miungu
 
afrika ni ileile na waafri ni walewale mkuu, hakuna kipindi mataifa yetu yalikua juu zaidi ya hapa tulipo alafu tukaporomoka ukweli ni kuwa ata ulaya na asia kuna nchi zilikua nyuma kimaendeleo lakini sasa ni mataifa makubwa.
mfano tunaambiwa tanzania ya miaka ya60 na korea ya 60 zilikua sawa kiuchumi na kimaendeleo lakini korea ya leo sisawa na tz yaleo, kufika level za korea na makampuni kama, LG, SAMSUNG baadae sn.
chakujiuliza "WHY GAPE IMAGED" achana na story mfu za kurise na kufall kwa empires, mali,songhai,ghana,buganda na zingine, zinatulemaza na kujiona tulikua great na matajiri ila mzungu katudhulumu utajiri wetu ndiomaana sisi tuko nyuma.
Unaweza ukawa sawa mkuu lakini, ulimwenguni uliopo sasa nitafauti jabisa na miaka 5000 nyuma.
 
Kumbe mnaongelea hadithi za kusadikika bila ushahidi.
Kuna mtu aliwahi kuniambia eti raisi wa kwanza wa Marekani alikuwa mweusi kugoogle nikakutana na links kibao kujustify hilo kumbe later nikaja gundua ni kufanana kwa majina basi waafrika ni inferiority complex wakipata kitu hata hawajihangaishi kutafuta ushahidi wanakikuza kuonekana walikuwa juu.
Leteni ushahidi tuacheni kulia lia
Sasa mtafuta maishaunaniudhi, mjadala husomi uliko anzia afu unaanza upuuzi, Jana uingereza yamepatikana mabaki mifupa ya kale ya mtu mweusi, evidence tunaleta, husomi, unaleta upuuzi wako, upofu wako haimaanishi hakuna mwezi na nyota, sababu hujaviona
 
Mnapoingia kwenye mijadala hii sio mnadandia kwa mbele, fuatilieni ilikoanzia ndugu
 
Angalia leo pamoja na wazungu kuwa smart lakini mchina anaonekana kuwa tishio. Harafu jamii ya kiafrika haiku anguka kutokana na dola za nnje peke yake. Internal disputes pia ilichagia.
haishangazi china kuwa tishio kwa mzungu historia inatuonyesha china ilikuwa imeendelea sana hata kabla ya kuzaliwa kwa kristo, inasemkana bunduki ya kwanza imetengenezwa china, baruti, pesa imetumika kwa mara ya kwanza china. Msafiri Marco polo alisafiri akaenda china na kukaa huko wakati wa utawala wa Kublai Khan akastaajabu aliyoyakuta, baada ya Kublai Khan kufariki karudi kwa Venice, akawa anawahadithia mambo aliyoyaona china watu hawaamini wanaihisi hayawezekani anawadanganya.
china siyo jambo la kushangaza kuendelea.
 
Sasa mtafuta maishaunaniudhi, mjadala husomi uliko anzia afu unaanza upuuzi, Jana uingereza yamepatikana mabaki mifupa ya kale ya mtu mweusi, evidence tunaleta, husomi, unaleta upuuzi wako, upofu wako haimaanishi hakuna mwezi na nyota, sababu hujaviona
kwahiyo leo tukipata mifupa ya kale ya mzungu kijijini kwetu ndiyo justification kuwa alikuwa superior kuliko mwafrika?
Sidhani kama uwezo wa mtu unakuwa justified hivyo.. huenda mimi ni mpuuzi labda
 
haishangazi china kuwa tishio kwa mzungu historia inatuonyesha china ilikuwa imeendelea sana hata kabla ya kuzaliwa kwa kristo, inasemkana bunduki ya kwanza imetengenezwa china, baruti, pesa imetumika kwa mara ya kwanza china. Msafiri Marco polo alisafiri akaenda china na kukaa huko wakati wa utawala wa Kublai Khan akastaajabu aliyoyakuta, baada ya Kublai Khan kufariki karudi kwa Venice, akawa anawahadithia mambo aliyoyaona china watu hawaamini wanaihisi hayawezekani anawadanganya.
china siyo jambo la kushangaza kuendelea.
Ni kwa vip basi taifa lililogundua bunduki kuja kunyanyaswa na mjapani?
 
kwahiyo leo tukipata mifupa ya kale ya mzungu kijijini kwetu ndiyo justification kuwa alikuwa superior kuliko mwafrika?
Sidhani kama uwezo wa mtu unakuwa justified hivyo.. huenda mimi ni mpuuzi labda
unabisha na wenzio wamekiri kwamba walioanzisha maendeleo kule Ni babu zako???? Zeruzeru hao wamekiri, sa we unabishana Nini???? Mbona unakuwa kituko??? Wenzenu walishaachaga hayo mabiblia zamani, nyie ndio mmebaki mnaabudu wayahudi
 
Ni kwa vip basi taifa lililogundua bunduki kuja kunyanyaswa na mjapani?
china ilianguka kutokana na vita baina yao wenyewe, lakini historia yao mpaka leo haijafutika ipo kabisa japo mjapan alitaka futa kabisa utamaduni wao.
sasa mwafrika hata historia hiyo mnayodai haipo kabisa yani imefutika kabisa na huenda hakuna kitu kama hicho..
china ina historia kubwa sana na ipo kabisa.
India ni kati ya nchi yenye historia kuba, hata kabla ya kuzaliwa kwa Kristo historia yao na mambo makubwa jamii ya Kihindi iliyoyafanya ipo. Imetawaliwa na Mwingereza lakini historia yao ipo na well documented.
why only Africans ndiyo hiyo historia ya hayo makubwa na mazuri mnayodai kuwa tulikuwa juu kuliko jamii zote hayapo?
 
Yaani inafkia mahali, wana sayansi wa kizungu wanasema mtu mweusi ndio alistaarabisha ulaya, alafu mswahili anabisha?????? Yaani unabisha kufurahisha jopo, sio kwa dhati....acha ujinga ndugu
 
unabisha na wenzio wamekiri kwamba walioanzisha maendeleo kule Ni babu zako???? Zeruzeru hao wamekiri, sa we unabishana Nini???? Mbona unakuwa kituko??? Wenzenu walishaachaga hayo mabiblia zamani, nyie ndio mmebaki mnaabudu wayahudi
mimi ukiniuliza mstari hata mmoja wa biblia siwezi kunukuu... Kuna mengi yana jicontradict mle uwa nikijaribu kusoma ndiyo nazidi changanyikiwa labda uenda nakuwa sina upako kama wanavyosema wengine.
wenzetu wakina nani naomba ushahidi tafadhali? Mimi si kati ya watu wanaoshangilia kupewa sifa nisiyokuwa nayo eti kisa mimi Mwafrika
 
china ilianguka kutokana na vita baina yao wenyewe, lakini historia yao mpaka leo haijafutika ipo kabisa japo mjapan alitaka futa kabisa utamaduni wao.
sasa mwafrika hata historia hiyo mnayodai haipo kabisa yani imefutika kabisa na huenda hakuna kitu kama hicho..
china ina historia kubwa sana na ipo kabisa.
India ni kati ya nchi yenye historia kuba, hata kabla ya kuzaliwa kwa Kristo historia yao na mambo makubwa jamii ya Kihindi iliyoyafanya ipo. Imetawaliwa na Mwingereza lakini historia yao ipo na well documented.
why only Africans ndiyo hiyo historia ya hayo makubwa na mazuri mnayodai kuwa tulikuwa juu kuliko jamii zote hayapo?
You don't dig mkuu. Kwahiyo hiki tunacho kijadili hapa ni nightmare? Go to library find where you come from. Siyo unasoma kuhusu chines na Japanese tu.
 
Yaani inafkia mahali, wana sayansi wa kizungu wanasema mtu mweusi ndio alistaarabisha ulaya, alafu mswahili anabisha?????? Yaani unabisha kufurahisha jopo, sio kwa dhati....acha ujinga ndugu
Kwa hiyo wewe unafurahia kisa kasemwa mwafrika na siyo kwasababu ni kweli? Mbona haya mambo hayako documented zaidi ya kuokoteleza habari sijui hivi sijui vile na ukizidi zichimba zaidi unakuja kugundua hakuna ukweli.
 
You don't dig mkuu. Kwahiyo hiki tunacho kijadili hapa ni nightmare? Go to library find where you come from. Siyo unasoma kuhusu chines na Japanese tu.
Waafrika tunasumbuliwa na inferiority complex kujaribu kuonyesha tuliwahi kuwa juu zaidi ya hawa wakati hakuna hata ushahidi wa hilo. Badala ya kuhangaika kujustify kitu ambacho hakipo kwanini tusihangaike kuendelea na kuwa jamii bora sasa kuliko kuhangaika na historia ambayo haipo.
mchina aliwahi kuwa juu na na sasa hivi anaeleka au keshakuwa juu tena sisi bado tuko tu tunahangaika na historia ambayo hata wewe mwenyewe huwezi kuijustify
 
aduni wao.
sasa mwafrika hata historia hiyo mnayodai haipo kabisa yani imefutika kabisa na huenda hakuna kitu kama hicho..
Sijawahi kuona watu wapumbavu wasio jipenda Kama wewe, olduvai gorge,Yale mapiramidi, michoro ya mapangoni kote duniani, eti hstoria yetu imefutika kabisa????? Aifute Nani pimbi wewe???! Tulia, soma mjadala huu jifunze, acha ukanjanja wako, kenge wewe.....
 
Sijawahi kuona watu woumbavu wasio jipenda Kama wewe, olduvai gorge,Yale mapiramidi, michoro ya mapangoni kote duniani, eti hstoria yetu imefutika kabisa????? Aufute Nani pimbi wewe???! Tulia, soma mjadala huu jifunze, acha ukanjanja wako, kenge wewe.....
siyo kwamba sijipendi ila mimi napenda ukweli sipendi kupewa sifa za uongo uongo kisa eti nasifiwa hata kama ukweli naziona hazipo ni bora kuonekana mpumbavu kuliko kuwa mpumbavu kweli kwa kukubari sifa za uongo.
Kwa taarifa yako Olduvai Gorge, yale siyo mabaki ya binadamu wa kwanza duniani maana yashagunduliwa mengine ya kale zaidi ya hayo sehemu mbalimbali duniani ikiwemo huko ulaya mwaka jana sema kwakuwa historia inayofundishwa kwetu haiwi updated. nakuwekea quote uone kuwa hata huko Olduvai kunazidiwa na ethiopia "They mark the earliest fossilized remains of Homo sapiens ever found. Until now, that honor belonged to two Ethiopian fossils that are 160,000 and 195,000 years old respectively. But the Jebel Irhoud bones, and the stone tools that were uncovered with them, are far older—around 315,000 years old, with a possible range of 280,000 to 350,000 years."
na yale ma pyramid ya Egypt siyo ma Pyramid makubwa kuliko ma pyramid yote yaliyowahi kujengwa kale, pyramid kubwa kuliko zote inaitwa Pyramid of Cholula iko Mexico.
 
Back
Top Bottom