mtafuta-maisha
JF-Expert Member
- Nov 5, 2016
- 1,982
- 2,931
Pia ujue piramidi za misri ni kongwe zaidi
Ndio sababu MTU mweusi ni wa ajabu,kila alikokwenda alifanya maajabuhiyo ndiyo pyramid kubwa mkuu imejengwa kipindi cha utawala wa mayan ni kubwa kuliko pyramid zote za Egypt. hawa mayan wana mambo ya ajabu waliyofanya yanashangaza kama ya wa Egypt
Soma ndugu....kila kitu kimeelezwa, kila kitu, kwenye nia na moto wa kujifunza watasomawatu wanajua hizi habari kuwa ziko wikipedia ila kucopy lihabari lote pasipo kulihariri au kuliweka kwenye lugha yetu watu hawasomi, mambo yote yanayoletwa humu watu wanajua kuwa yapo ila wanapenda mtu akiyaandika kwa kiswahili.
back to the topic inawezekana kweli wlikuwa weusi sasa uwezo wetu ulipotelea wapi. hata India kuna kisiwa hawaruhusiwi watu kuingia kuna jamii ya watu weusi yani bado wanaishi zama za kale hivyo hawataki jamii iharibu mila na tamaduni zao ni weusi kama waafrika kabisa yani ni waafrika sasa sijui walifikaje kule @Fatima binti hemedi
We umenitupa bwana, nipo humu nabishanana watu...mi sijamboFatima hujambo ??
sasa uwezo wake kama alikuwa smart alipitwa pitwaje na hawa?Ndio sababu MTU mweusi ni wa ajabu,kila alikokwenda alifanya maajabu
Usiwe asiyetaka jifunza asiyekosa sababuwatu wanajua hizi habari kuwa ziko wikipedia ila kucopy lihabari lote pasipo kulihariri au kuliweka kwenye lugha yetu watu hawasomi, mambo yote yanayoletwa humu watu wanajua kuwa yapo ila wanapenda mtu akiyaandika kwa kiswahili.
back to the topic inawezekana kweli wlikuwa weusi sasa uwezo wetu ulipotelea wapi. hata India kuna kisiwa hawaruhusiwi watu kuingia kuna jamii ya watu weusi yani bado wanaishi zama za kale hivyo hawataki jamii iharibu mila na tamaduni zao ni weusi kama waafrika kabisa yani ni waafrika sasa sijui walifikaje kule @Fatima binti hemedi
Wangapi wamekufanyia ubaya wewe!!!sababu ya wivu na chuki????sasa uwezo wake kama alikuwa smart alipitwa pitwaje na hawa?
Zeruzeru ni mjinga kama fisi aliyekula utumbo wake mwenyewesasa uwezo wake kama alikuwa smart alipitwa pitwaje na hawa?
ukiwa smart kuwazidi lazima mwisho wa siku uwashinde hawawezi kukutawala wakikutawala basi hukuwa smart wala hukuwa na nguvu kuliko wao.Wangapi wamekufanyia ubaya wewe!!!sababu ya wivu na chuki????
Hamna wanachokifanya ni ujinga! Kanuni za maumbile hazikiukiki
kama ni mjinga amewezaje kutawala na kumpiku mtu mweusi, iwe kwa ulaghai au hila basi atakuwa smart mpaka kafanikisha hiloZeruzeru ni mjinga kama fisi aliyekula utumbo wake mwenyewe
Ndio hivyo, round is life,maisha mzungukoukiwa smart kuwazidi lazima mwisho wa siku uwashinde hawawezi kukutawala wakikutawala basi hukuwa smart wala hukuwa na nguvu kuliko wao.
Hamna kituw watazame walivyo laaniwa kwa mabaya waliyofanyakama ni mjinga amewezaje kutawala na kumpiku mtu mweusi, iwe kwa ulaghai au hila basi atakuwa smart mpaka kafanikisha hilo
Ni usmart wa kipumbavu, waonewamechimba kaburi lao wenyewekama ni mjinga amewezaje kutawala na kumpiku mtu mweusi, iwe kwa ulaghai au hila basi atakuwa smart mpaka kafanikisha hilo
siyo kwamba sitaki kujifunza ila mimi mtu kucopy page nzima toka web flani bila kuihariri na kuiandika kwa lugha yetu akaileta humu naona kama ni kuzingua.Usiwe asiyetaka jifunza asiyekosa sababu
wakipumbavu lakini huo upumbavu anayeathirika nani kama siyo waafrika kwa kutawaliwa na kuibiwa mali zaoNi usmart wa kipumbavu, waonewamechimba kaburi lao wenyewe
Hizo laana mbona wao wana maisha mazuri kutushinda sisi ambao hatujalaaniwa hizo laana za namna gani mbona sizielewi mimiHamna kituw watazame walivyo laaniwa kwa mabaya waliyofanya
Tusaidiane kutafsiri,nitafanyta hivyo pia, asante kwa taarifasiyo kwamba sitaki kujifunza ila mimi mtu kucopy page nzima toka web flani bila kuihariri na kuiandika kwa lugha yetu akaileta humu naona kama ni kuzingua.
watu wengi humu vitu vikiwa katika lugha ya malkia hawasomi wanapenda vitu viwe katika lugha yetu
Huwajui wazungu, nimeishi nao, mabaya yao hawasemi, wala huyajui,yakifunuliwa yanatisha, hakika ni viumbe waliolaanwaHizo laana mbona wao wana maisha mazuri kutushinda sisi ambao hatujalaaniwa hizo laana za namna gani mbona sizielewi mimi