Fatima binti hemedi
JF-Expert Member
- Dec 31, 2017
- 1,665
- 2,328
Dhambi ya ubaguzi itawatafuna mpaka iwamalize
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ona jinsi mungu anavyoona....sio binadamu anavyoonawakipumbavu lakini huo upumbavu anayeathirika nani kama siyo waafrika kwa kutawaliwa na kuibiwa mali zao
lakini asilimia 90 ya wa Waafrika wanataka wakaishi huko kwa hao unaodai wamelaniwa kisa kutafuta maisha mazuri waliyonayo... Daily waafrika wanafia Baharini wakijaribu kuvuka kwenda Ulaya. Acha tuendelee kujipa moyo walau hilo tunaliweza hatuwezi shindwa yoteHuwajui wazungu, nimeishi nao, mabaya yao hawasemi, wala huyajui,yakifunuliwa yanatisha, hakika ni viumbe waliolaanwa
Mimi siwezi kukutupa wewe hata siku mojaa!We umenitupa bwana, nipo humu nabishanana watu...mi sijambo
Mimi naongea kwa mtazamo wa kidunia, yani aliyelaaniwa awe na maisha mazuri vifo vichache, huduma za afya nzuri, miundombinu mizuri, maisha mazuri halafu asiyelaaniwa maisha magumu, maji shida, vifo kwa kukosa madawa vingi, njaa magonjwa yani kila aina la balaa... kweli hii laana ya ajabuUtajiri so ishara yabaraka, wala umaskini ya laana
Ndugu, sababu we have been messed up, na muda wa Ku sort ourselves out umefika.....ndio tunajaribu kusafisha na kuvunja makufuli ya akili, karibu ujiunge nasilakini asilimia 90 ya wa Waafrika wanataka wakaishi huko kwa hao unaodai wamelaniwa kisa kutafuta maisha mazuri waliyonayo... Daily waafrika wanafia Baharini wakijaribu kuvuka kwenda Ulaya. Acha tuendelee kujipa moyo walau hilo tunaliweza hatuwezi shindwa yote
daah hiyo kazi inatia uvivu mkuu ifanye weweTusaidiane kutafsiri,nitafanyta hivyo pia, asante kwa taarifa
aliyetu mess up basi alikuwa mjanja zaidi yetu maana si kwa balaa hili mpaka leo Korea Kusini wakijadili kuwawekea sehemu za kuchaji simu raia wao barabarani sisi bado tunajadili madawati kwa kila shule nalo limetushindaNdugu, sababu we have been messed up, na muda wa Ku sort ourselves out umefika.....ndio tunajaribukusafusha na kuvunja makufuli ya asili,karibu ujiunge nasi
Sawa nitafanya,haina shida,polepole tutafikadaah hiyo kazi inatia uvivu mkuu ifanye wewe
Ukishajitambua, unachukua hatua.....ndio hatua ya kwanza, lakini wenzetu wengine hawajitambui, Bali wamekubali na kuridhia hali ya kukaa gerezani, wamejikatia tamaa mpaka basi, gani bora liendealiyetu mess up basi alikuwa mjanja zaidi yetu maana si kwa balaa hili mpaka leo Korea Kusini wakijadili kuwawekea sehemu za kuchaji simu raia wao barabarani sisi bado tunajadili madawati kwa kila shule nalo limetushinda
Wa Asia ndiyo walijitambua sisi bado aisee... hivi ni nchi walau imejitambua labda Kaskazini mwa jangwa la Sahara kama ilivyokuwa Libya sema washenzi nao wakaharibuUkishajitambua, unachukua hatua.....ndio hatua ya kwanza, lakini wenzetu wengine hawajitambui, Bali wamekubali na kuridhia hali ya kukaa gerezani, wamejikatia tamaa mpaka basi, gani bora liende
Ndio hivyo nduguWa Asia ndiyo walijitambua sisi bado aisee... hivi ni nchi walau imejitambua labda Kaskazini mwa jangwa la Sahara kama ilivyokuwa Libya sema washenzi nao wakaharibu
ila hao Libya Morroco na Egypt wanajitanabaisha kuwa ni Waarabu kuliko kuwa WaafrikaNdio hivyo ndugu
Mi nimeishi Libya, nafahamu sana
Wanafiki, wanadai wao wako ulaya, lakini sio waongo, Africa so kwaoila hao Libya Morroco na Egypt wanajitanabaisha kuwa ni Waarabu kuliko kuwa Waafrika
hapa sijakuelewa ebu nielewesheWanafiki, wanadai wao wako ulaya, lakini sio waongo, Africa so kwao
Waarabu ni wageni Africa, sio kwaohapa sijakuelewa ebu nieleweshe
Lakini makontena yadhahabu wanayo chukua huyaoni,shibe yao njaa yako hujuiMimi naongea kwa mtazamo wa kidunia, yani aliyelaaniwa awe na maisha mazuri vifo vichache, huduma za afya nzuri, miundombinu mizuri, maisha mazuri halafu asiyelaaniwa maisha magumu, maji shida, vifo kwa kukosa madawa vingi, njaa magonjwa yani kila aina la balaa... kweli hii laana ya ajabu