Watu weusi ndio walivuka bahari kuu na kufanya ustaarabu kote Asia na Ulaya

Watu weusi ndio walivuka bahari kuu na kufanya ustaarabu kote Asia na Ulaya

Staha + Arabuni = 'Staha ya Arabia'

1.Staha_yenye kusimamia kujiendesha katika Utu, kiasi na utaratibu mwema.

2.Na Arabia_hii najua unafahamu

Atakaye tafsiri tofauti na hivi ujue Mnazi wa Lugha.

Yaani kila Kona Mtu mweusi anavishwa Joho la kumsitiri asiaibike.

Vijana sijui wanatoa wapi Ujasiri wa kujiona wanastahili.!?

As I will say. I am talking with someone whom the system has already corrupt him mentaly and so the physical view.

Hivi neno kama linatumika uarabuni, does that justify anything concerning the act of the word "ustaarabu".? Yani kama neno tembea lilianza tumika Africa does it mean kwamba Ulaya na Asia hawatembei?

Hii ndio tunaiita brainwashing, and nothing else.

Now answer those questions correctly.
 
Sasa ilikuaje watu weusi hadi leo ndiyo tumekuwa tuko nyuma kimaendeleo na ndiyo tunaonekana tumechelewa kustaarabika?

Tatizo nyie mnataka tukubaliane tu na nyie na tukiwahoji ili tupate kuwaelewa vizuri tunaonekana kama vile hatuna uzalendo.

Kwa sababu kwa hayo yote mnayoyaeleza ya kuhusu mtu mweusi yangekuwa sawa kabisa kama mnavyoeleza basi leo msingetumia nguvu kulieleza hili jambo,maana hapa ni kama mnatuhubiria imani na kututaka tuamini tu kisa na sie weusi,kwa uelewa wangu haya mnayoyaeleza yapo ya kweli lakini pia hayapo kama mnavyotaka nyie kutuaminisha.


First thing first,Wewe huwezi jumuisha wenzako hata siku moja, mpaka endapo unawajua inside and out.
So your view on how black people looks economically its a hoax. Kwanini? Kwasababu huwafahamu na huwajui. Mfano mzuri ni kua huwezi angalia dalili za mtu na kujua ugonjwa lazima ujue kupitia vipimo ndipo chanzo pamoja na the diesease itself will provide.

Pili, The system it self ndio chanzo. Thats why hata wewe upo hapa ili ujue why you have been discredited and fed lies for yo life time. Wamekufundisha kuhusu mabaya na mazuri wameweka kwao. So if you have been told those lies toka zama za utoto, thats why hutonielewa au itakua vigumu kunielewa nikikuambia the system ndio imekuharibu.

The third thing, the lady you have just quoted her post you should be ashamed. Yeye anapambania ujue kua as a black man upo na good history, but you as a damn fool you just speak what you speak, your view as a blackman hazionekani.

Think why we are here to uncover your mental inferiority acts. Ili uone umuhimu wako duniani na si kujishusha.
Peace.
 
Kuna wajumbe wamechangia hapa yaani ni majanga. Inashangaza sana kuona mtu mzima tena mtu mweusi akibisha kuwa watu weusi hawakuwahi kuwa wastaarabu na kuongoza dunia. Labda kwa wale wenye mashaka na hilo mimi nawaambia kuwa kutofahamu kuwa mtu mweusi alishaongoza ulimwengu ni ujinga wa mtu binafsi. Mtu ataanza kujiuliza kuwa mbona mwalimu wangu hakuwahi kunifundisha hivi? Mwalimu yumkini hakuwa na elimu nzuri, pamoja na kukufundisha.. elimu ambayo alipewa na wakoloni ikiwa pia na lengo moja, ili waafrica waendelee kuwa wapuuzi na waendelee kuamini kuwa kweli ni wapuuzi..

Matangazo ya televisheni, internet na mengi yaliyoko kwenye vitabu yanafuata pattern fulani.. nayo ni kuonesha kuwa weupe wana uwezo na kila kitu kimefanyika kwao na kwao.. lakini kibaya zaidi ni kutuaminisha kuwa wao tu ndio wana uwezo wa pekee kufanya vinavyoonekana..

Niwakumbushe ndugu wote wenye mashaka na thread hii.. kuwa mkakati wa kwanza kabisa wa mzungu kuitawala dunia ilikuwa kupitia vita.. vita ya miaka mingi sana. Waafrika au watu weusi popote walipokuwa walishindwa katika vita zote zilizopiganwa. Matokeo ni kuwa watu weusi waliuawa maelfu kwa maelfu na wengine kukimbia maeneo yao ya asili. Mfano watu wa asili wa Afrika ya kaskazini na mashariki ya kati walikimbilia Afrika. Pili ni wachache sana walipata bahati hiyo maana wengi waliuawa katika grand genocide.. Watu weusi wa Ulaya waliweka ukinzani kwa muda fulani lakini hatimaye ilizuka vita iliyodumu miaka 30.. huo ndo ulikuwa mwisho wao. Katika vita na kutwaliwa mateka, wazungu waliharibu vitu vingi sana ambavyo sisi kama masalia hatuna hata pa kurejelea. Vilivyobaki waliviiba na kuvificha kabisa.. hatutaviona abadan. Ndo maana ni rahisi mtu mweusi kuamini kiboya boya eti watu weusi walienda ulaya baada ya kuuzwa kama watumwa.

Wazungu hatua kwa hatua walififisha kabisa ndoto za watu weusi popote pale duniani kurudi katika glory ya maelfu ya miaka iliyopita. Hata tufanyeje, hakuna tumaini tena. Maana tayari tunatumia miungu wao, (ya kwetu tunaita uchawi) tunatumia lugha yao (za kwetu tunaita majina ya ajabu ajabu) tunatumia elimu ya kwao (tunaaminishwa waafrika hatuna historia tuliyioandika wenyewe).. nk.
 
Mtu mweusi kabarikiwa sana kwa taarifa yako. Ndo maana aliweza kuenea dunia nzima ndani ya muda mchache usiozidi miaka 150 baada ya evolution kukamilika. Baada ya kuenea ulimwenguni, mtu mweusi alipatwa na mkosi wa kuzaa zeru zeru aka albino (ambaye ndo mzungu wa leo). Maalbino wanajiita majina feki feki ili tuone kama nao ni watu wa kawaida. Utasikia wanajiita caucasoids (ulaya na marekani) au aryans (india). Ukweli ni kuwa hawa ni watu wenye matatizo ya ngozi.. yaani ulemavu wa ngozi aka albino. Hawa siyo watu wa zamani, ni watu wa hivi majuzi kuonekana kwenye uso wa dunia. Story iliyokuwepo ni kwamba kwa ajili ya ulemavu wao, watu weusi walikuwa wanawanyanyapaa sana.. kwa hiyo hawakupata fursa ya kuzaliana na watu weusi bali walikuwa wanazaana wenyewewe kwa wenyewe (incest). Maana walikuwa wanajificha mapangoni yaliyoko Asia ya kati. Kutokana na kuzaliana wenyewe kwa wenyewe, waliongezeka kwa kasi na wakawa wengi. Kuna kabila linaitwa Mongols wakaanza kuwafukuza kutoka huko Asia ya kati na kuelekea magharibi ndo kisa wakaingia bara la ulaya.

Kusema kwamba watu weusi hawakubarikiwa huu ni upuuzi tu wa maalbino kufikiri kuwa wao ni bora na kuliko wengine ilhali ni maalbino.. yaani walemavu wa ngozi.

Kazi zote zilizofanywa na watu weusi maelfu kwa maelfu ya miaka zipo zimejaa tele kuanzia Afrika.. Ulaya, Asia na Americas.. hata baada ya walemavu wa ngozi kuhujumu watu wenyewe na kazi zao.

Wahindi, waarabu l, waturuki, wa spanish, watu wa America ya kusini, wachina wote hao ni machotara kati ya watu weusi na albinos. Which means, ukimuona mwarabu au mhindi au mchina anamcheka mtu mweusi mdharau tu kwa sababu ni idiot anacheka ancestor wake.
 
Black people amna walichobalikiwa ni mwendo wa kiza tuu ropokeni mkichoka mtaacha.
Mtu mweusi kabarikiwa sana kwa taarifa yako. Ndo maana aliweza kuenea dunia nzima ndani ya muda mchache usiozidi miaka 150 baada ya evolution kukamilika. Baada ya kuenea ulimwenguni, mtu mweusi alipatwa na mkosi wa kuzaa zeru zeru aka albino (ambaye ndo mzungu wa leo). Maalbino wanajiita majina feki feki ili tuone kama nao ni watu wa kawaida. Utasikia wanajiita caucasoids (ulaya na marekani) au aryans (india). Ukweli ni kuwa hawa ni watu wenye matatizo ya ngozi.. yaani ulemavu wa ngozi aka albino. Hawa siyo watu wa zamani, ni watu wa hivi majuzi kuonekana kwenye uso wa dunia. Story iliyokuwepo ni kwamba kwa ajili ya ulemavu wao, watu weusi walikuwa wanawanyanyapaa sana.. kwa hiyo hawakupata fursa ya kuzaliana na watu weusi bali walikuwa wanazaana wenyewewe kwa wenyewe (incest). Maana walikuwa wanajificha mapangoni yaliyoko Asia ya kati. Kutokana na kuzaliana wenyewe kwa wenyewe, waliongezeka kwa kasi na wakawa wengi. Kuna kabila linaitwa Mongols wakaanza kuwafukuza kutoka huko Asia ya kati na kuelekea magharibi ndo kisa wakaingia bara la ulaya.
Kusema kwamba watu weusi hawakubarikiwa huu ni upuuzi tu wa maalbino kufikiri kuwa wao ni bora na kuliko wengine ilhali ni maalbino.. yaani walemavu wa ngozi.

Kazi zote zilizofanywa na watu weusi maelfu kwa maelfu ya miaka zipo zimejaa tele kuanzia Afrika.. Ulaya, Asia na Americas.. hata baada ya walemavu wa ngozi kuhujumu watu wenyewe na kazi zao.

Wahindi, waarabu l, waturuki, wa spanish, watu wa America ya kusini, wachina wote hao ni machotara kati ya watu weusi na albinos. Which means, ukimuona mwarabu au mhindi au mchina anamcheka mtu mweusi mdharau tu kwa sababu ni idiot anacheka ancestor wake
 
Ndugu, sababu we have been messed up, na muda wa Ku sort ourselves out umefika.....ndio tunajaribu kusafisha na kuvunja makufuli ya akili, karibu ujiunge nasi
Watu wamepigwa pingu hatari.. sijui lini tutavusha watu weusi hadi wajitambue? Yaani unakuta jitu limesoma lakini halijui wala halijiulizi ni nini kilichotokea kwa bara letu pendwa, lenye kila kitu.. lenyewe kila siku liko kanisani tuu.. kama ng'ombe.. no reasoning..

Tuendelee kupambana.. inawzekana kizazi chetu kisiweze kubadilisha mambo lakini kikawa chachu ya waafrika kuanza kuzitambua changamoto zinazotugandamiza chini kwa miaka zaidi ya 2500 hatujawahi kuinuka
 
First thing first,Wewe huwezi jumuisha wenzako hata siku moja, mpaka endapo unawajua inside and out.
So your view on how black people looks economically its a hoax. Kwanini? Kwasababu huwafahamu na huwajui. Mfano mzuri ni kua huwezi angalia dalili za mtu na kujua ugonjwa lazima ujue kupitia vipimo ndipo chanzo pamoja na the diesease itself will provide.

Pili, The system it self ndio chanzo. Thats why hata wewe upo hapa ili ujue why you have been discredited and fed lies for yo life time. Wamekufundisha kuhusu mabaya na mazuri wameweka kwao. So if you have been told those lies toka zama za utoto, thats why hutonielewa au itakua vigumu kunielewa nikikuambia the system ndio imekuharibu.

The third thing, the lady you have just quoted her post you should be ashamed. Yeye anapambania ujue kua as a black man upo na good history, but you as a damn fool you just speak what you speak, your view as a blackman hazionekani.

Think why we are here to uncover your mental inferiority acts. Ili uone umuhimu wako duniani na si kujishusha.
Peace.
Yale yale tu,umenitolea mapovu tu basi.

Ok asante.
 
Ngoja tunyamaze maana naona huku kuhoji hoji kwetu ni kama tunakufuru vile.
 
As I will say. I am talking with someone whom the system has already corrupt him mentaly and so the physical view.

Hivi neno kama linatumika uarabuni, does that justify anything concerning the act of the word "ustaarabu".? Yani kama neno tembea lilianza tumika Africa does it mean kwamba Ulaya na Asia hawatembei?

Hii ndio tunaiita brainwashing, and nothing else.

Now answer those questions correctly.
Basi ungejibu wewe..kwani nani alikutaza.!? Mimi mwenye kongwa nisingiweka neno.

Hilo ni moja ya maneno yaliyotoholewa toka lugha Ngeni na yapo mengi Tu, kwani shida ni nini?

Na kama ungekuwa unajua historia ya Lugha yako,ilivyovishwa Joho nayo ionekane Luga kati ya Lugha usingefikiri ivyo.

Ni rahisi sana kupata mtaalamu wa lugha ya kiswahili Pwani, kuliko ilivyo kwa bara.kiswahili cha kwenye kamusi lugha utaijulia wapi?

Huu unazi wenu utawapeleka pabaya, yaani kila kitu sasa hivi nyie hamtaki Tu.Basi tu ionekane hampelekeshwi.!
 
First thing first,Wewe huwezi jumuisha wenzako hata siku moja, mpaka endapo unawajua inside and out.
So your view on how black people looks economically its a hoax. Kwanini? Kwasababu huwafahamu na huwajui. Mfano mzuri ni kua huwezi angalia dalili za mtu na kujua ugonjwa lazima ujue kupitia vipimo ndipo chanzo pamoja na the diesease itself will provide.

Pili, The system it self ndio chanzo. Thats why hata wewe upo hapa ili ujue why you have been discredited and fed lies for yo life time. Wamekufundisha kuhusu mabaya na mazuri wameweka kwao. So if you have been told those lies toka zama za utoto, thats why hutonielewa au itakua vigumu kunielewa nikikuambia the system ndio imekuharibu.

The third thing, the lady you have just quoted her post you should be ashamed. Yeye anapambania ujue kua as a black man upo na good history, but you as a damn fool you just speak what you speak, your view as a blackman hazionekani.

Think why we are here to uncover your mental inferiority acts. Ili uone umuhimu wako duniani na si kujishusha.
Peace.
Kuchanganya kwako Tu lugha kunaonesha ni kiasi gani hata lugha yako ni Omba omba.ovyo kabisa

Vitoto vimehitimu shule juzi bado vinasumu_Mtapoa Tu Dunia haina mbwembwe hii.

Mavuno ni Matokeo ya alichopanda Mtu, Huwezi kuta Nyoka ndani ya nyumba yako halafu ukaanza kulakamika eti nyoka siku hizi wajanja.! Ujinga.

Kwanini hukufunga Mlango na Madirisha asipenye.!? Na kama ulishindwa kulijua hilo basi nyoka anajielewa kuliko wewe.
 


Maelfu ya miaka watu weusi walikwenda bara Asia na Ulaya na kufanya ustaarabu huko, mtu mweusi ndiye aliyestaarabisha Dunia, uliyofundishwa darasani Ni historia changa mno, Tena ya karibu mno, mtu mweusi hujitambui, ungelijijua wewe....!!!!!! Dunia itatikisika, sisi tulikuwa wenyeji asilia wa bara la Asia na Ulaya maelfu ya miaka kabla ya biashara ya utumwa, kimsingi wenyeji asilia wa dunia ni sisi, mwalimu wako wa history anakwambia ulikwenda Ulaya Kama mtumwa???????!!!!!

The British, with the "Modern" Germans, were the originators of revisionist history. It was they who first began to write Blacks out of history after the “Race/Religious Wars" of the late medieval. Now look, the British will soon start teaching their children the truth: that Blacks were the original people of Britain. But please know, this is not the result of truth seeking, those truths were always known
Je mkuu ni blacks wa mjini au waliotoka vijijini?!..maana ilibidi utuambie weusi gani hao na walitoka bara gani kwenye asia na ulaya kufundisha huo ustaarabu?!..je walioko amerika nao ilikuaje?...kwahiyo according na bullet yako i see kwmba blacks were the first people to exist kwenye uso wa dunia...na mafundisho ya dini yalipokelewa na blacks before all....
 
Kuchanganya kwako Tu lugha kunaonesha ni kiasi gani hata lugha yako ni Omba omba.ovyo kabisa

Vitoto vimehitimu shule juzi bado vinasumu_Mtapoa Tu Dunia haina mbwembwe hii.

Mavuno ni Matokeo ya alichopanda Mtu, Huwezi kuta Nyoka ndani ya nyumba yako halafu ukaanza kulakamika eti nyoka siku hizi wajanja.! Ujinga.

Kwanini hukufunga Mlango na Madirisha asipenye.!? Na kama ulishindwa kulijua hilo basi nyoka anajielewa kuliko wewe.

Umekimbia hoja unaanza kufanya crafting, hapo sitakuweza kwakua i only know facts . This proves to me how weak you are.

Jenga hoja, kinyume na hapo ni bora usini quote kabisa au hata ukiniona kwenye mijadala iwe jukwaa lolote ni bora ukimbie. Kwanini? Kwasababu huwezi jenga hoja nikakuelewa.
 
Umekimbia hoja unaanza kufanya crafting, hapo sitakuweza kwakua i only know facts . This proves to me how weak you are.

Jenga hoja, kinyume na hapo ni bora usini quote kabisa au hata ukiniona kwenye mijadala iwe jukwaa lolote ni bora ukimbie. Kwanini? Kwasababu huwezi jenga hoja nikakuelewa.
Post ya [HASHTAG]#721[/HASHTAG] nani alim quote mwenzake!?

Inaonekana kumbukumbu huna na kwa ufupi hujielewi.
 
Staha + Arabuni = 'Staha ya Arabia'

1.Staha_yenye kusimamia kujiendesha katika Utu, kiasi na utaratibu mwema.

2.Na Arabia_hii najua unafahamu

Atakaye tafsiri tofauti na hivi ujue Mnazi wa Lugha.

Yaani kila Kona Mtu mweusi anavishwa Joho la kumsitiri asiaibike.

Vijana sijui wanatoa wapi Ujasiri wa kujiona wanastahili.!?
As I will say. I am talking with
someone whom the system has
already corrupt him mentaly and so
the physical view.
Hivi neno kama linatumika
uarabuni, does that justify anything
concerning the act of the word
"ustaarabu".? Yani kama neno
tembea lilianza tumika Africa does it
mean kwamba Ulaya na Asia
hawatembei?

Hii ndio tunaiita brainwashing, and
nothing else.

NB: No crafting or else. Ni hoja kwa hoja. Sasa nijibu hoja zangu hapo juu twende.
 
Mtu mweusi kabarikiwa sana kwa taarifa yako. Ndo maana aliweza kuenea dunia nzima ndani ya muda mchache usiozidi miaka 150 baada ya evolution kukamilika. Baada ya kuenea ulimwenguni, mtu mweusi alipatwa na mkosi wa kuzaa zeru zeru aka albino (ambaye ndo mzungu wa leo). Maalbino wanajiita majina feki feki ili tuone kama nao ni watu wa kawaida. Utasikia wanajiita caucasoids (ulaya na marekani) au aryans (india). Ukweli ni kuwa hawa ni watu wenye matatizo ya ngozi.. yaani ulemavu wa ngozi aka albino. Hawa siyo watu wa zamani, ni watu wa hivi majuzi kuonekana kwenye uso wa dunia. Story iliyokuwepo ni kwamba kwa ajili ya ulemavu wao, watu weusi walikuwa wanawanyanyapaa sana.. kwa hiyo hawakupata fursa ya kuzaliana na watu weusi bali walikuwa wanazaana wenyewewe kwa wenyewe (incest). Maana walikuwa wanajificha mapangoni yaliyoko Asia ya kati. Kutokana na kuzaliana wenyewe kwa wenyewe, waliongezeka kwa kasi na wakawa wengi. Kuna kabila linaitwa Mongols wakaanza kuwafukuza kutoka huko Asia ya kati na kuelekea magharibi ndo kisa wakaingia bara la ulaya.
Kusema kwamba watu weusi hawakubarikiwa huu ni upuuzi tu wa maalbino kufikiri kuwa wao ni bora na kuliko wengine ilhali ni maalbino.. yaani walemavu wa ngozi.

Kazi zote zilizofanywa na watu weusi maelfu kwa maelfu ya miaka zipo zimejaa tele kuanzia Afrika.. Ulaya, Asia na Americas.. hata baada ya walemavu wa ngozi kuhujumu watu wenyewe na kazi zao.

Wahindi, waarabu l, waturuki, wa spanish, watu wa America ya kusini, wachina wote hao ni machotara kati ya watu weusi na albinos. Which means, ukimuona mwarabu au mhindi au mchina anamcheka mtu mweusi mdharau tu kwa sababu ni idiot anacheka ancestor wake
asante ndugu
 
I see naona kama kuna kaukweli kabisaa maana ukicheki vitu wanavyofundishwa wazungu ni vichache na simple sasa njoo bongo hapa unakuta mzee baba una course 10 na zote unanyoosha mabanda [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Africaaaaaaaaaaaaaa
So much love to share[emoji111][emoji111][emoji111][emoji111]
 
Back
Top Bottom