Watu weusi watabaki masikini na duni milele

Kuna watu hata hawatambui maendeleo yanatakiwa yaanzaje broo
 
Kwa hiyo ukipindua serikali tu tayari thamani yako kama mtu mweusi itapanda?

Tupe ushahidi wa utofauti wa ukuaji wa kiuchumi wa nchi zinazoongozwa Kijeshi na hizi zinazoongozwa Kiraia.
 
Umeongea ujinga mkubwa sana, mbinguni Unapajua wewe? Uliendaga lini?
 
Kila tatizo lina chanzo chake ... wengi tunachukia waafrika kuwa masikini, kudharaulika,nk je wengi tunajua pamoja na sababu nyingine walizosema wengine sababu kubwa ni weupe wamehakikisha tunakuwa masikini, na tunaendelea kutojitambua ili waendele kututawala....kumbuka ukimwamsha aliyelala utalala wewe...
 
Afrika hii ije iendelee wakati kila siku ni kurudi nyuma kama treni ya Godegode. Afrika nzima ilikuwa nzuri sana wakati wa ukoloni kuliko ilivyo leo.

Afrika bure kabisa. Watawala tulio nao leo ni mafisi watupu halafu eti ndio Afrika iendelee? Endelea kujitekenya na kucheka mwenyewe.
 
Watu weusi wana uwezo mdogo wa kiakili na ndio maana nchi nyingi za kiafrica bado kuna umaskini wa kutupwa.

Hatuna uwezo wa kutatua changamoto zetu.

Barabara tunajengewa, madaraja tunajengewa, tunaagiza asilimia kubwa ya vitu tunavyotumia.

Ni nadra sana kusikia kampuni ya kitanzania imepata tenda ya kufanya kazi fulani kwenye nchi nyingine.
 
Tatizo kubwa linaanza kwetu wala si kwa weupe
 
Kwa hiyo ukipindua serikali tu tayari thamani yako kama mtu mweusi itapanda?

Tupe ushahidi wa utofauti wa ukuaji wa kiuchumi wa nchi zinazoongozwa Kijeshi na hizi zinazoongozwa Kiraia.
Kwani ukiipindua nchi ndiyo lazima uingoze kijeshi ?

Gaddafi ile ya Libya ilikuwaje ?

Ukiruhusu demokrasia itumike kwenye kila kitu hautoendelea.

Weka demokrasia baada ya kuwa umeshaendelea tayari
 
Kiongozi wa nchi ya fulani ya Kiafrika aliulizwa kwanini nchi yako masikini ilihali ina kila kitu jibu alilotoa ni kwamba hajui[emoji24]
 
Mapinduzi ya kijeshi hayajawahi kuwakomboa wananch kiuchumi.
 
Hawa wazungu baada ya kuondoka tunawatumia kama kisingizio.
Hatupaswi kusahau ukatili wao na ukoloni.
Lakini kwa suala la maendeleo, ni suala la nchi husika.
Hata Tanzania 80 ya uchumi inashikiliwa na Asians.

Huku wazawa wakibanwa vilivyo, hususan kama hautokei katika familia au koo zenye reputation nzuri ya wakina Oyee...Oyeee.

Hakuna mipango thabiti ya maendeleo kwa kweli.
 
Alhamdulillah, Sipo kwenye list ya mleta mada.mi mweusi na nikmesafiri nchi kadhaa, nimewazidi weupe mambo kadhaa na wao wamenizidi kadhaa.
 
Story fupi ya kuchekesha na kusikitisha ni kwamba watu weusi wao kwa wao hawapendani na wanafitinishana na wako radhi kuchomeana utambi kwa maboss zao weupe, ili mmoja aharibikiwe mmoja akidhani atakuwa juu na atapendwa.

Mawazo ya maji machafu! 😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…