Watu weusi watabaki masikini na duni milele

Watu weusi watabaki masikini na duni milele

Mkuu approach yako ya kutumia Kiswahili kama lugha kuu kwenye nyanja zote ingetutoa hata kwenye nafasi yetu ya 10 kiuchumi barani.

Ungedumaza maendeleo zaidi na kututoa katika soko la ushindani wa ajira na kila kitu. Hapa tu tulipo, miongoni mwa sababu nyingi zinazotuponza ni kutokujua lugha ya Kiingereza.

Najua utawaza mfano wa China na Russia ila angalia wanavyohangaika na kupoteza hela kwa kuajiri wakalimani kila kona waendapo kuwekeza.
Si kweli.

Naona umewaza kwenye soko la ajira tu lakini mimi sina dhana hiyo.

Mimi dhana yangu ni kujitegemea kiuchumi kuyatafta maendeleo yetu wenyewe na wala si kwenda kwenye soko la ajira kimataifa.

Lugha yako asilia haiwezi kuwa kizingiti cha wewe kupiga hatua mbele.

Kwani Ujeruamani lugha rasmi ni kingereza ? kwani wao hawajawekeza ?

Ufaransa Je, wanatumia kingereza ? Ulaya in general ukitoa UK wanatumia kingereza kama lugha rasmi ?


Haya DUBAI hapo falme za kiarabu wanatumia kingereza kuwa lugha rasmi ? Saudia Arabia Je, na South Korea au Japan je ?

Hoja ya kuacha kiswahili na kufata lugha zingine haina nguvu kabisa.
 
Una uhakika gani hawakuathirika na umasikini???? Wewe umasikini umeuangalia kwa kutumia murtadha upi????? Kiuchumi, kisiasa, kijamii au kiutamaduni????? Unajua maana ya picha pana????

Naomba uwe na picha pana kidogo, usitumie mhemko na papara. Naomba unijibu swali lifuatalo.


Kwa mfumo wa kidunia huu wa sasa (world order) unahisi unaweza kumkomboa mwafrika?????


Unaujua huu mfumo uliundwaje??? Unafanyaje kazi???

Vitabu vimeandikwa na kuandikwa kuhusu huu mfumo na njia za kujitoa, unahisi kwa nini imeshindikana????

Umeshawahi kufanya kazi serikalini??? Ule mfumo mbovu ulioko kule unaweza kupambana nao????

Vuta picha, huo mfumo wa serikalini umekushinda, utauweza mfumo unaoendesha dunia?????Tena umeundwa karne na karne???

Muulize Putin anavyohangaika na lidude asiloweza kujua mwisho wake ingawaje nia yake ni nzuri na njema ya kuikomboa dunia kutoka katika makucha ya wamagharibi wanaoendesha dunia kupitia mfumo wao!!!!!!!!!!

Waafrika tunaweza ila kuna gharama za kulipa!!!!!!!!!!Wewe binafsi uko tayari kulipa hizo gharama?? Muulize Urusi gharama anazolipa kuukabili huu mfumo!!!!!!!!!!!!
Wewe sema tu umeridhika na hali uliyonayo ila hakuna kinachoshindikana.

Huo mfumo umeanzishawa na wanadamu ni kipi kishindikane ?

Hivi nguvu ya ROMAN EMPIRE ulikuwa unaijua wewe ?

Na ilitawala kwa miaka zaidi ya 1000 tena takribani nusu ya eneleo lote la dunia lilikuwa chini ya roman empire na bado ilianguka.

Leo USA na kambi yake ya ubepari isianguke kwanini ?

Usiwe na limitation na knowledge broo.

Gharama za ukombozi lazima ziwepo na za muda mrefu, lakini isitufanye sisi tukate tamaa kwamba hatuwezi
 
Si kweli.

Naona umewaza kwenye soko la ajira tu lakini mimi sina dhana hiyo.

Mimi dhana yangu ni kujitegemea kiuchumi kuyatafta maendeleo yetu wenyewe na wala si kwenda kwenye soko la ajira kimataifa.

Lugha yako asilia haiwezi kuwa kizingiti cha wewe kupiga hatua mbele.

Kwani Ujeruamani lugha rasmi ni kingereza ? kwani wao hawajawekeza ?

Ufaransa Je, wanatumia kingereza ? Ulaya in general ukitoa UK wanatumia kingereza kama lugha rasmi ?


Haya DUBAI hapo falme za kiarabu wanatumia kingereza kuwa lugha rasmi ? Saudia Arabia Je, na South Korea au Japan je ?

Hoja ya kuacha kiswahili na kufata lugha zingine haina nguvu kabisa.

Vyuo vya nchi zote ulizotaja hapo juu havitoi elimu kwa local language, kwanini?

Hotel na public establishment zote kwenye nchi hizo zinaweka English as a subsidiary medium of instruction, kwanini?

Bidhaa zinazoundwa kwenye nchi ulizoainisha kwa lengo la export zinakua na maelekezo ya lugha za UN, kwanini?

Yaani kuweka hiyari kwenye kujifunza lugha ya Kiingereza ni kugongelea msumari wa mwisho kwenye jeneza. Athari zake hazipo tu kwenye ajira, zipo kwenye biashara, teknolojia, sanaa mpaka afya.

Huwezi kuwa na jeuri hiyo kama nchi yako bado ipo nyuma kimaendeleo. Nakupa mfano wa mama yangu anaenunua dawa na kutumezesha bila kujua kilichoelezwa kwenye maelekezo.
 
Vyuo vya nchi zote ulizotaja hapo juu havitoi elimu kwa local language, kwanini?

Hotel na public establishment zote kwenye nchi hizo zinaweka English as a subsidiary medium of instruction, kwanini?

Bidhaa zinazoundwa kwenye nchi ulizoainisha kwa lengo la export zinakua na maelekezo ya lugha za UN, kwanini?

Yaani kuweka hiyari kwenye kujifunza lugha ya Kiingereza ni kugongelea msumari wa mwisho kwenye jeneza. Athari zake hazipo tu kwenye ajira, zipo kwenye biashara, teknolojia, sanaa mpaka afya.

Huwezi kuwa na jeuri hiyo kama nchi yako bado ipo nyuma kimaendeleo. Nakupa mfano wa mama yangu anaenunua dawa na kutumezesha bila kujua kilichoelezwa kwenye maelekezo.
Hoja yako ya lugha bado haiwezi kuwa na nguvu hata kidogo.

Kwa sababu sisi ni wategemezi kwao kwenye kila kitu na ndiyo maana unaona lugha ina impacts.

Mfano wa dawa uliotolea, kwani sisi tungekuwa wa wataalamu wetu hapa wa kutengeneza dawa ulikuwa unaona kuna una umuhimu wa wewe kununua hizo dawa ?

Sisi kama tutajitosheleza vitu vingi hapa utaona umhimu gani wa kufata kitu nje ?

Kwa hiyo unataka kunambia taasisi za elimu ya juu huko nje kama iran, china,korea,japan, uturuki, ufaransa, ujerumani n.k lugha rasmi ya kufundishia ni kingereza siyo ?
 
Hoja yako ya lugha bado haiwezi kuwa na nguvu hata kidogo.

Kwa sababu sisi ni wategemezi kwao kwenye kila kitu na ndiyo maana unaona lugha ina impacts.

Mfano wa dawa uliotolea, kwani sisi tungekuwa wa wataalamu wetu hapa wa kutengeneza dawa ulikuwa unaona kuna una umuhimu wa wewe kununua hizo dawa ?

Sisi kama tutajitosheleza vitu vingi hapa utaona umhimu gani wa kufata kitu nje ?

Kwa hiyo unataka kunambia taasisi za elimu ya juu huko nje kama iran, china,korea,japan, uturuki, ufaransa, ujerumani n.k lugha rasmi ya kufundishia ni kingereza siyo ?

Kwa nukuu yako hii nadhani umeshaelewa ninachokwambia, "Kwa sababu sisi ni wategemezi kwao kwenye kila kitu na ndiyo maana unaona lugha ina impacts."

NDIO. Majority ya vyuo vilivyopo diaspora vinafundisha kwa lugha la Kiingereza. Ni uongo?
 
Kwa nukuu yako hii nadhani umeshaelewa ninachokwambia, "Kwa sababu sisi ni wategemezi kwao kwenye kila kitu na ndiyo maana unaona lugha ina impacts."

NDIO. Majority ya vyuo vilivyopo diaspora vinafundisha kwa lugha la Kiingereza. Ni uongo?
Dogo akili umeficha wapi ? Lugha ya kiingereza haiwezi kuifanya Afrika kuwa Europe au Asia kimaendeleo, Afrika kuna upumbavu mwingi sana unao kwamisha maendeleo ya Afrika mojawapo haya mawazo yako.
 
Miafrika hovyooo!

Mijitu inaiba trillions halafu wenzao hawana hata ule uwezo wa kununua hata Aspirin. Who does that? Hata monkeys huwa wanajaliana na kusaidiana kuliko Mwafrika kwa

Kwa nukuu yako hii nadhani umeshaelewa ninachokwambia, "Kwa sababu sisi ni wategemezi kwao kwenye kila kitu na ndiyo maana unaona lugha ina impacts."

NDIO. Majority ya vyuo vilivyopo diaspora vinafundisha kwa lugha la Kiingereza. Ni uongo?
Ni uwongo ndiyo.

Majority universities kwa nchi za wenzetu wanafundishana kwa lugha zao wenyewe.

Ni vyuo vichache sana tena kwa ajili ya minorities zaidi ndiyo wanafundisha baadhi ya kozi kwa lugha ya kingereza.

Hivi nikuulize swali la mfano : INTERNATIONAL SCHOOL of TANGANYIKA, au ST COSTANTINE INTERNATIONAL SCHOOL, or FEZA SCHOOLS maybe ambazo zote zipo Tanzania na zinatumia mitaala ya elimu ya CAMBRIGE, unaweza kutumia hizo shule kama kigezo cha kusema kwamba shule za msingi na sekondari tanzania zinatumia mitaala ya chuo cha CMBRIGE uwingereza ?
 

Attachments

  • Gallery_1691483870243.jpg
    Gallery_1691483870243.jpg
    83.1 KB · Views: 1
Leo nna hasira najikuta sitaki hata salamu.

Japo inauma lakini ukweli ndiyo huo inabidi tuukubali kwamba "Watu weusi tutabaki kuwa duni milele".

Nimekuwa nikifatilia historia ya mtu mweusi since enzi za utumwa kuja huku mbele hadi leo, sijaona dalili za mtu mweusi kuheshimika, kujikomboa kifikra na kiuchumi.

Mpaka naanza kuwa na dhana huenda material yaliyotumika kutokea kwa mwanadamu mweusi yalikuwa tofauti sana na hayana thamani kama ambayo yalitumika kutokea kwa mwanadamu mweupe.

Yeah acheni tu nifikiri hivo maana sioni dalili ya ukombozi wa mtu mweusi dhidi ya uduni alionao.

Mtu mweusi awe anaishi nje ya AFRICA, popote duniani anapoishi ili mradi ni mweusi,huwa anakuwa treated tofauti kabisa na walio weupe.

Kifupi hatuna tunachoweza kujivunia kwamba sisi ni miongoni mwa watu duniani, kuanzia humu humu kwetu AFRICA tunamoishi hatuna kabisa cha maana tunachoweza ku-offer kwa ulimwengu zaidi ya ujinga na unafiki.

Nakupa mifano dhabiti kuanzia hapa hapa kwetu TANZANIA kwa kuangalia hali za kiuchumi.

Angalia matajiri wakubwa hapa TANZANIA wanaoshikilia uchumi wa nchi, wengi wao utagundua si weusi kwa asili, walio wengi ni waarabu na wahindi ndiyo wanaoshikilia biashara kubwa kubwa hapa kwetu, sisi weusi tunaambulia kuwa madalali wao tu na biashara za kawaida sana.

Si mahoteli makubwa makubwa, si viwandani wala biashara za bandarini kote huko ni waarabu au wahindi ndiyo wamiliki, sisi weusi tupo tupo tu yaani tukiamini wanatumia ushirikina kufanikiwa.

Nenda Zanzibar hapo kisiwani wanakosema tanganyika inawanyonya, hakuna kitu.

Zanzibar biashara zote kubwa kubwa ni Bakressa na waarabu/wahindi wenzake, lakini wazawa wao wanaishia kuwa wanunuzi tu au wauza madafu na ukwaju, hakuna biashara za maana ambazo weusi wazawa wanazimiliki.

Nenda kwenye mahoteli makubwa makubwa ya nyota 5 hadi 7 zanzibar uone wamiliki wake, ni wazungu wala siyo weupe, sisi tunaishiwa tu kuajiriwa kama ma-garderner na ma-house keeping kwa miashara ya laki tatu kila mwezi wakati wao wanavuna mabilion ya pesa kwa mda mfupi tu.

Angalia SOUTH AFRICA ambako tunaona ndiyo imeendelea sana kwa hapa Africa, lakini in fact hayo maendeleo ni ya weupe siyo ya weusi.

Data za WOLRD BANK zilizotolewa mwaka 2021 zinaonesha kuwa population ya wazungu south africa ni 10% tu, huku wenyeji wakichukua almost 90% ya population nzima.

Lakini cha kushangaza pamoja na wazungu kuwa wachache south, bado wao ndiyo wanamiliki asilimia 80% ya uchumi wa South Africa, that means the majority of south africans wana miliki only 20% of the whole south african economy.

Sasa hapo kuna pa-kujisifia kuwa weusi wenzetu wa kule wamepiga hatua ?

Kwa kifupi tumewaruhusu wazungu watutumie kujitajirisha hapa hapa kwetu, waumiliki uchumi wetu hapa hapa kwetu alafu sisi tukiishia kuwa vibarua wao, what hell is this ?

Alafu tunawashangilia kabisa na mara pengine sisi wenyewe tuna msaidia kutu-pora sisi.

Sisi watu weusi wakati wa uumbaji kuna kitu itakuwa hakikwenda sawa kabisa.

Sisi kwa sisi hatupendani na kuthaminiana kama wenzetu weupe, kipindi cha utumwa kuna weusi wenzetu walishirikiana na wazungu kuuza weusi wenzao kwa wakoloni, tumepita huko tumekuja sasahivi kwenye uhuru wa bendera, viongozi wetu wa kisiasa wa ki-africa wanawauzia wazungu na kuwa-binafsishia rasilimali zetu kwa bei chee kabisa kwa maslahi yao binfsi bila kuangalia maslahi ya wengi anao waongoza.

Hii ndiyo hali ya mtu mweusi ilivyo, na bado ukienda nchi za wenzetu na rangi yako unabaguliwa na kuonekana siyo binadamu mwenzao, wakati wao wakiwa huku unawachukulia kama malaika, what stupid is this [emoji35]

Yaani nchi za wenzetu wanaungana wawe wamoja na nguvu kwa ajli ya kujenga taifa lenye nguvu kwa ajli ya vizazi vyao, lakini sisi tunachojua ni kutengana,ubinafsi,usaliti, unafiki, mawazo finyu badala ya kufanya kazi unakimbilia kwa mwaposa kwenda kufata sijui udongo, maji na mafuta ya upako, yaani ni ujinga mtupu.

I wish ningekuwa mkuu jeshini, hii nchi ningeipundua mchana kweupe alafu niwafunze watu ni namna gani tunapaswa tuwe.

Africans we have a lot of excuces in attaining develepment.

To day I declare that, Being black is an Evil
Una kitu, usikilizwe
 
Lugha na utamaduni ndiyo hoja zake
Anaongoe upuuzi tu. huwezi kufundisha wanafunzi kwa lugha ya kiingereza hapa Tanzania wakati matumizi ya lugha ya kiingereza bongo ni hafifu kabisa ninaweza kusema hayapo.

Watu wanapiga kiswahili mitaani kuanzia asubuhi mpaka usiku hakuna kiingereza sehemu yoyote halafu unataka hawa watu uwafundishe kwa kiingereza lazima uwapoteza ndicho kinacho tokea bongo upuuzi wa wizara ya elimu katika lugha ya kufundishia.
 
Dogo akili umeficha wapi ? Lugha ya kiingereza haiwezi kuifanya Afrika kuwa Europe au Asia kimaendeleo, Afrika kuna upumbavu mwingi sana unao kwamisha maendeleo ya Afrika mojawapo haya mawazo yako.

Huwa sijibu AD HOMINEM mkubwa. Chukua ushindi wa mezani.
 
Anaongoe upuuzi tu. huwezi kufundisha wanafunzi kwa lugha ya kiingereza hapa Tanzania wakati matumizi ya lugha ya kiingereza bongo ni hafifu kabisa ninaweza kusema hayapo.

Watu wanapiga kiswahili mitaani kuanzia asubuhi mpaka usiku hakuna kiingereza sehemu yoyote halafu unataka hawa watu uwafundishe kwa kiingereza lazima uwapoteza ndicho kinacho tokea bongo upuuzi wa wizara ya elimu katika lugha ya kufundishia.
Upuuzi tena sana.

Mimi naamini lugha kiswahili ingekuwa lugha ya kufundishia kwa ngazi zote, tungekuwa na wapumbavu wachache tu.

Maana kwanza wadogo zetu wa O-level wengi wao wanaendaga kukariri vitu wanavyofundishwa kwa ajili ya kuja kuvifanyia mtihani na siyo kuvielewa vitu vimsaidie.

Japo napo lugha sehemu tu vitu vochache vinavyochangia kufeli kwetu,ila tatizo hasa lipo kwa uongozi mbovu, hawana maono mazuri, wanatusaliti kwa ajili ya maslahi ya mabepari na kuahidiwa kitu kidogo, na pia zaidi watanzania/waafrica hatujafunzwa kujipenda na kuwa wazalendo utaifa wetu
 
Ni uwongo ndiyo.

Majority universities kwa nchi za wenzetu wanafundishana kwa lugha zao wenyewe.

Ni vyuo vichache sana tena kwa ajili ya minorities zaidi ndiyo wanafundisha baadhi ya kozi kwa lugha ya kingereza.

Hivi nikuulize swali la mfano : INTERNATIONAL SCHOOL of TANGANYIKA, au ST COSTANTINE INTERNATIONAL SCHOOL, or FEZA SCHOOLS maybe ambazo zote zipo Tanzania na zinatumia mitaala ya elimu ya CAMBRIGE, unaweza kutumia hizo shule kama kigezo cha kusema kwamba shule za msingi na sekondari tanzania zinatumia mitaala ya chuo cha CMBRIGE uwingereza ?

Miezi kadhaa iliyopita, embassy ya Japan ilitangaza scholarship kwaajili ya undergraduates. Kwenye web yao, top 10 ya vyuo vyote vilivyoweka vinatoa elimu kwa Kiingereza. Clause ya kujifunza lugha yao kwa muda fulani sio kwasababu ndiyo inayotumika kufundishia courses zote.

Arguably, top 100 universities worldwide zinatumia English.
 
Miezi kadhaa iliyopita, embassy ya Japan ilitangaza scholarship kwaajili ya undergraduates. Kwenye web yao, top 10 ya vyuo vyote vilivyoweka vinatoa elimu kwa Kiingereza. Clause ya kujifunza lugha yao kwa muda fulani sio kwasababu ndiyo inayotumika kufundishia courses zote.

Arguably, top 100 universities worldwide zinatumia English.

Broo kuwa mwelewa, lugha siyo kikwazo strong cha sisi kuendelea huo ni umbulula.

Mbona zimbambwe wanatumia kingereza umeona wamekuwa matajiri ?

Maendeleo hayana excuse ya lugha bali sisi tuna na maujinga tu mengine ya ki-utawala na kukosa uzalendo wa kujipenda.

Mimi nazungumzia majority universities huko ng'ambo siyo vyuo vya binfsi vya kigeni.

Kwani hapa tanzania hakuna mtu yeyote mgeni akaamua kuanzisha chuo akaanza kufundisha kozi zake kwa kichina ? Sasa hiyo ndiyo utasema vyuma vya nchi husika hiyo vinatumia kichina.

Majority universites kwenye nchi za wenzetu wanatumia lugha zao wenyewe na siyo kingereza kama unavyo ng'ang'ana wewe.

Kwani maendeleo ya wachina kipindi cha MAO ZE DONG yaliletwa na kingereza ?

USSR ya JOSEPH STALIN ilifanya modern industrilization kwa kingereza ?

Mbona kuna vitu vina uelewa wa kawaida sana ?
 
Wewe umefanya nini kusaidia watu weusi wapate maendeleo.

Au unaishia kulalamika na kulaumu tu. Hata ukilaumu, unamlaumu nani sasa?

Mtu unakuta analaumu Afrika ni maskini, sawa ni maskini lakini je? wewe umefanya nini kuondoa huo umaskini?

Mtu anasema Afrika elimu yetu ni mbovu ya kukariri, sawa ni mbovu ya kukariri. Wewe umefanya nini ili kuibadili?

Kulaumu na kulalamika, wakati wewe mwenyewe hujafanya chochote huwa naona nao ni upumbavu tu.
 
Upuuzi tena sana.

Mimi naamini lugha kiswahili ingekuwa lugha ya kufundishia kwa ngazi zote, tungekuwa na wapumbavu wachache tu.

Maana kwanza wadogo zetu wa O-level wengi wao wanaendaga kukariri vitu wanavyofundishwa kwa ajili ya kuja kuvifanyia mtihani na siyo kuvielewa vitu vimsaidie.

Japo napo lugha sehemu tu vitu vochache vinavyochangia kufeli kwetu,ila tatizo hasa lipo kwa uongozi mbovu, hawana maono mazuri, wanatusaliti kwa ajili ya maslahi ya mabepari na kuahidiwa kitu kidogo, na pia zaidi watanzania/waafrica hatujafunzwa kujipenda na kuwa wazalendo utaifa wetu

Haya umefanikisha jambo lako, tumepata wahitimu waliosoma kwa kutumia lugha ya Kiswahili mpaka walipohitimu chuo, wataisaidiaje nchi kupata maendeleo na wakati mambo yote yatakuwa mageni kwao?

Tumefanikiwa kumpata daktari aliesoma kwa lugha ya Kiswahili, dawa zote tunapokea kutoka nje zikiwa na maelekezo ya lugha ngeni kwake, tuajiri na mkalimani tena?

Tumepata fundi magari msomi ila magari yote na vifaa vyote vimetoka nje ya nchi na vimeletwa vikiwa na maelekezo ya lugha ya kigeni, tuanze kuajiri watafsiri pia?

Sipuuzi umuhimu wa kuendeleza lugha yetu ila ninapinga kuitumia kama lugha kuu katika mambo nyeti ambayo bado hatujawa na uwezo wa kujitegemea.
 
Haya umefanikisha jambo lako, tumepata wahitimu waliosoma kwa kutumia lugha ya Kiswahili mpaka walipohitimu chuo, wataisaidiaje nchi kupata maendeleo na wakati mambo yote yatakuwa mageni kwao?

Tumefanikiwa kumpata daktari aliesoma kwa lugha ya Kiswahili, dawa zote tunapokea kutoka nje zikiwa na maelekezo ya lugha ngeni kwake, tuajiri na mkalimani tena?

Tumepata fundi magari msomi ila magari yote na vifaa vyote vimetoka nje ya nchi na vimeletwa vikiwa na maelekezo ya lugha ya kigeni, tuanze kuajiri watafsiri pia?

Sipuuzi umuhimu wa kuendeleza lugha yetu ila ninapinga kuitumia kama lugha kuu katika mambo nyeti ambayo bado hatujawa na uwezo wa kujitegemea.
Upuuzi ni wewe kuweka lugha mbele kwamba ndiyo inaleta maendeleo.

Lugha ni chombo tu kinacholeta umoja, mshikamano na ushirikiano maana tukishaanza kuelewena ni rahisi kwenda pamoja kuliko tusipoelewana.

Hivi imagine kiswahili kisingelikuwepo, hii tanzania ingevunjika vipande kuwa nchi ngapi
 
Back
Top Bottom