Watu weusi watabaki masikini na duni milele

Watu weusi watabaki masikini na duni milele

Huwezi kujiona sahihi iwapo unaweza kuiga mfumo wa mtu mwingine na hauwezi kuutumia au kuufuata, lazima uwe tofauti naye tu na yeye akuongoze maana ndiyo mwenye mfumo wake uliotokana na akili yake

Waafrika ni watu Bora sana kuliko unavyotaka kujidharau, kilichokosekana ambacho kilitokea mbali ni mambo makuu matatu tu

Ilipaswa kua hivi:

1. Africa iwe nchi moja

2. Yenye Lugha moja na pesa moja ya kwake

3. Yenye mfumo wa elimu ya kwake nje kabisa na mfumo wa mtu mwingine kama wafanyavyo Russia na China

Katika hayo mambo matatu Kuna matawi mengi sana ndani yake ambayo yangetufanya tujiendeshe na si kujidharau kama mtu mweusi sijui ni wa hovyo, basi tungekua wa hovyo hivyo hivyo kupitia hayo mashina matatu niliyosema na tungefanya nao biashara hivyo hivyo kulingana na u hovyo wetu

Sisi ni watu wagumu,wenye ngozi nzuri,nywele nzuri,wavumilivu wa hali ya hewa, wenye akili ya kwetu na MUNGU alituweka kwa makusudi Bora kabisa Duniani

Kamwe sita udharau utu wa mtu mweusi hata siku moja
Hayo matatu uliyoyasema ni miongoni mwa mazuri sana.

Na hata waasisi wa mataifa yetu kama kina nyerere, nkurumah na Gaddafi walishawahi kuwa na hayo mawazo.

Lakini mabeberu wakawafelisha kwa kuwatumia waafrica hao hao.

Sasa kama tumeshindwa kufikia malengo hayo na tuona kabisa dalili za kufikia hazipo, kama si laana ni nini ?
 
Wanatushinda hata Waarabu wa Kangwani kweli...[emoji848]
Leo hii wanadiriki kwa hila kuzitawala mali asili zetu na wanapewa na sisi weusi huku tukishangilia.

Watu Waafrika weusi kweli tuna kazi kubwa ya kufanya ili tuwe sawa.

Imefikia kamji ka Dubai kaliko sawa na Mafia kwa ukubwa kanaitikisa Tanganyika.
Kanalitikisa Bunge letu kweli...[emoji848]
Ukishakuwa na akili hata uwe na udogo kama wa VATICAN CITY unweza kuitawala dunia nzima kama haina akili.

Dubai inapewa loliondo na ngorongoro eti watuhifadhie misitu wakati wao kwao ni jangwani hawaja wahi kuwa hata na misitu.

Hivi mtu ambae hawajawahi kuwa na mti unawezaje kumpa mti akutunzie ?
 
Bakhresa ni Muislamu mbona hajaathirika na kuwa maskini?Reginald Mengi ni Mkristo mbona hakuathirika na kuwa duni?
Una uhakika gani hawakuathirika na umasikini???? Wewe umasikini umeuangalia kwa kutumia murtadha upi????? Kiuchumi, kisiasa, kijamii au kiutamaduni????? Unajua maana ya picha pana????
Kifupi naweza kusema waafrica tupo hapa tulipo kwa sababu ya kutaka sisi wenyewe wala hatupaswi kumlaumu mzungu
Naomba uwe na picha pana kidogo, usitumie mhemko na papara. Naomba unijibu swali lifuatalo.


Kwa mfumo wa kidunia huu wa sasa (world order) unahisi unaweza kumkomboa mwafrika?????


Unaujua huu mfumo uliundwaje??? Unafanyaje kazi???

Vitabu vimeandikwa na kuandikwa kuhusu huu mfumo na njia za kujitoa, unahisi kwa nini imeshindikana????

Umeshawahi kufanya kazi serikalini??? Ule mfumo mbovu ulioko kule unaweza kupambana nao????

Vuta picha, huo mfumo wa serikalini umekushinda, utauweza mfumo unaoendesha dunia?????Tena umeundwa karne na karne???

Muulize Putin anavyohangaika na lidude asiloweza kujua mwisho wake ingawaje nia yake ni nzuri na njema ya kuikomboa dunia kutoka katika makucha ya wamagharibi wanaoendesha dunia kupitia mfumo wao!!!!!!!!!!

Waafrika tunaweza ila kuna gharama za kulipa!!!!!!!!!!Wewe binafsi uko tayari kulipa hizo gharama?? Muulize Urusi gharama anazolipa kuukabili huu mfumo!!!!!!!!!!!!
 
Tatizo lipo zaidi kwa wenye madaraka/wanao tuongoza.

Hao wakishakosa vision nzuri ni ngumu sana tabaka linalotawaliwa kuchukuma njia mbadala.

Baadhi ya waasisi wetu wa zamani kama kina nkurumah, nyerere na wengineo.

Walijaribu kutuonesha vision lakini wakafelishwa na mbinu za mabepari kwa kuwatumia waafrica wenzetu hao hao
Mbona kina dangote wameweza ?
Wa.naijeria waliisha ona kuwa viongozi wao hawana maono hivyi they create the vision themselves.
Mbona kina MOE wamekuwa matajiri hapa.
Slkys na Nchambis damily wame improve from poverty tukiwaona kwa macho yetu.
Tani gunasubiyu juisi ts ubuyu atutengenezee MOE sisi kazi yetu kumuokotea mibuyy na ukwaju.
Mibuyu na ukwaju kuokota ni bure, viongozi wanahusikaje hapo?
Kila kitu tunasingizia viongozi. Sisi ni binadamu tutumie akili kujikwamua.
Tutalalama mpaka lini?
 
Mbona kina dangote wameweza ?
Wa.naijeria waliisha ona kuwa viongozi wao hawana maono hivyi they create the vision themselves.
Mbona kina MOE wamekuwa matajiri hapa.
Slkys na Nchambis damily wame improve from poverty tukiwaona kwa macho yetu.
Tani gunasubiyu juisi ts ubuyu atutengenezee MOE sisi kazi yetu kumuokotea mibuyy na ukwaju.
Mibuyu na ukwaju kuokota ni bure, viongozi wanahusikaje hapo?
Kila kitu tunasingizia viongozi. Sisi ni binadamu tutumie akili kujikwamua.
Tutalalama mpaka lini?
Hatuongelei maendeleo ya mtu mmoja mmoja.

Tuna ongelea maendeleo ya waafrika kwa ujumla kama bara.

Bara lenye maendeleo duni ni Afrika na huo ndio uhalisia ulivyo.

Huwezi kutumia maendeleo ya mtu mmoja mmoja kufanya "Generalization" ya Bara zima la Afrika.
 
Una uhakika gani hawakuathirika na umasikini???? Wewe umasikini umeuangalia kwa kutumia murtadha upi????? Kiuchumi, kisiasa, kijamii au kiutamaduni????? Unajua maana ya picha pana????

Naomba uwe na picha pana kidogo, usitumie mhemko na papara. Naomba unijibu swali lifuatalo.


Kwa mfumo wa kidunia huu wa sasa (world order) unahisi unaweza kumkomboa mwafrika?????


Unaujua huu mfumo uliundwaje??? Unafanyaje kazi???

Vitabu vimeandikwa na kuandikwa kuhusu huu mfumo na njia za kujitoa, unahisi kwa nini imeshindikana????

Umeshawahi kufanya kazi serikalini??? Ule mfumo mbovu ulioko kule unaweza kupambana nao????

Vuta picha, huo mfumo wa serikalini umekushinda, utauweza mfumo unaoendesha dunia?????Tena umeundwa karne na karne???

Muulize Putin anavyohangaika na lidude asiloweza kujua mwisho wake ingawaje nia yake ni nzuri na njema ya kuikomboa dunia kutoka katika makucha ya wamagharibi wanaoendesha dunia kupitia mfumo wao!!!!!!!!!!

Waafrika tunaweza ila kuna gharama za kulipa!!!!!!!!!!Wewe binafsi uko tayari kulipa hizo gharama?? Muulize Urusi gharama anazolipa kuukabili huu mfumo!!!!!!!!!!!!
Mfumo wa Warumi ulikufa, huu wa western utashindwaje kufa?
Mchina, Iran amewezaje sisi tushindwe, mwarabu nae si mtumwa wa huo mfumo amewezaje. Shida ni ukibaraka.
BRICKS WANAENDA KUVUNJA HUO MFUMO TEGEMEZI.
Zamani ilikuwa ngumu sasa itawezekana kwa sababu teknolojia imesambaa tayari Asia yote.
Rejea vikwazo mfumo wa fedha wa wazungu mrusi mchina wameweka mfumo wao.
Nini wanachoweza kuzuia wazungu hakipatikani Asia hebu taja?
Mrusi anawatoa mabwanyeye Franko country taratibu, Borkina faso Niger.
Amewafurusha huko Asia kama Syria, Afghanstan,Iraq nk.
Kwa hio huo mfumo utakufa tu tena kwenye kizazi chetu kama ukoloni ulivyokufa.
Uliwai waza kuwa miundombinu itajengwa na ka kampuni za Asia? Zamani kila kampuni zilikuwa za wazungu kama SIEMENS, NOREMKO nk leo hazipo hata ofisi sidhani kama zipo.
Ukipewa nafasi ya masmuzi utaendelea kuwa mtumwa wa mabwanyenye au utaamua ujikwamue?
Wazungu tunatakiwa tuwawekee terms za fair business sio kuwaogopa.
Maneno yako yanaashiria kukata tamaa.
 
Lugha ya kiswahili inajitosheleza,kutumia maneno ya lugha nyingine katikati ya sentensi ya kiswahili ni uzwazwa. Tuheshimu vya kwetu. Tujipe heshima sisi wenyewe,tusisubiri kupewa na wengine. Uliwahi kuona muingereza akichanganya kiswahili kwenye maandishi yake? Kuna waingereza wangapi wanashabikia timu zetu huku Tz?

Mkuu kwa heshima na taadhima naomba nikufahamishe kwamba lugha ya Kiswahili HAIJITOSHELEZI. Lugha ya Kiswahili si tajiri wa misamiati. Lugha ya Kiswahili bado inaendelea kukua.

Japo ni kweli kwamba ndiyo lugha timilifu zaidi kati ya lugha zote zenye chimbuko la bara la Afrika.

Pia, huwezi msikia muingereza hawezi ama hachanganyi mara kwa mara Kiswahili katika mawasiliano yake kwakua lugha yake ndiyo inayotumika zaidi duniani hivyo hana uhitaji wa ziada.

Nawasilisha.
 
Mkuu kwa heshima na taadhima naomba nikufahamishe kwamba lugha ya Kiswahili HAIJITOSHELEZI. Lugha ya Kiswahili si tajiri wa misamiati. Lugha ya Kiswahili bado inaendelea kukua.

Japo ni kweli kwamba ndiyo lugha timilifu zaidi kati ya lugha zote zenye chimbuko la bara la Afrika.

Pia, huwezi msikia muingereza hawezi ama hachanganyi mara kwa mara Kiswahili katika mawasiliano yake kwakua lugha yake ndiyo inayotumika zaidi duniani hivyo hana uhitaji wa ziada.

Nawasilisha.
Bandiko lako lote halina hata neno moja kiingereza,hukueleweka?
 
Soma katikati ya mistari, weka pembeni ujuaji na ubishi.
Pole mkuu,hata sina ujuaji kivile. Nimesahau tuu kuweka neno 'la' kwenye bandiko langu. Nilimaanisha bandiko lako lote halina neno la kiingereza,lakini si limeeleweka? Na ninasisitiza kuwa kwenye mijadala humu tunaweza andika kwa kiswahili kitupu bila kuchanganya na maneno ya kiingereza na tukaelewana. Ni hilo tu.
 
Pole mkuu,hata sina ujuaji kivile. Nimesahau tuu kuweka neno 'la' kwenye bandiko langu. Nilimaanisha bandiko lako lote halina neno la kiingereza,lakini si limeeleweka? Na ninasisitiza kuwa kwenye mijadala humu tunaweza andika kwa kiswahili kitupu bila kuchanganya na maneno ya kiingereza na tukaelewana. Ni hilo tu.

Hatuwezi kutumia lugha ya Kiswahili pekee kwakua yapo maneno kibao hayana Kiswahili chake hivyo tunaishia kuyatamka na kuyaandika kwa mfumo wetu wa lugha tu. Mfano wa maneno mengi ya aina hii yanapatikana katika nyanja ya sayansi na teknolojia (haya mawili tu unaweza kuona namna yalivyokopwa moja kwa moja). Intaneti, Fizikia, data, Baiolojia sijui Biolojia, na mengineyo mengi.

Hivi rangi Pink inaitwaje kwa Kiswahili?
 
Pole mkuu,hata sina ujuaji kivile. Nimesahau tuu kuweka neno 'la' kwenye bandiko langu. Nilimaanisha bandiko lako lote halina neno la kiingereza,lakini si limeeleweka? Na ninasisitiza kuwa kwenye mijadala humu tunaweza andika kwa kiswahili kitupu bila kuchanganya na maneno ya kiingereza na tukaelewana. Ni hilo tu.
Usitulaumu sisi kuchanganya kingereza na kiswahili kwa pamoja.

Laumu mfumo wetu wa elimu kutumia lugha ya kingereza kama lugha rasmi ya kufundishia kuanzia ngazi ya shule ya upili na kuendelea.

Sasa kama tunaisoma tusiitumie ?

Angalia zaidi content nilicho kizungumzia achana na lugha.

Hata mimi ningekuwa rais leo ningefuta kizungu kuwa lugha ya kufundishia shuleni bali ningefanya kizungu kuwa kama lugha ya kujifunza tu kwa hiari tena.

Ila kiswahili ndiyo ingekuwa lugha ya lazima kwa kila kitu
 
Hatuwezi kutumia lugha ya Kiswahili pekee kwakua yapo maneno kibao hayana Kiswahili chake hivyo tunaishia kuyatamka na kuyaandika kwa mfumo wetu wa lugha tu. Mfano wa maneno mengi ya aina hii yanapatikana katika nyanja ya sayansi na teknolojia (haya mawili tu unaweza kuona namna yalivyokopwa moja kwa moja). Intaneti, Fizikia, data, Baiolojia sijui Biolojia, na mengineyo mengi.

Hivi rangi Pink inaitwaje kwa Kiswahili?
Hata lugha tu ya kiswahili inajulikana kuwa ni kibantu.

Na kibantu maana yake ni mkusanyiko wa lugha nyingi.
 
Usitulaumu sisi kuchanganya kingereza na kiswahili kwa pamoja.

Laumu mfumo wetu wa elimu kutumia lugha ya kingereza kama lugha rasmi ya kufundishia kuanzia ngazi ya shule ya upili na kuendelea.

Sasa kama tunaisoma tusiitumie ?

Angalia zaidi content nilicho kizungumzia achana na lugha.

Hata mimi ningekuwa rais leo ningefuta kizungu kuwa lugha ya kufundishia shuleni bali ningefanya kizungu kuwa kama lugha ya kujifunza tu kwa hiari tena.

Ila kiswahili ndiyo ingekuwa lugha ya lazima kwa kila kitu

Mkuu approach yako ya kutumia Kiswahili kama lugha kuu kwenye nyanja zote ingetutoa hata kwenye nafasi yetu ya 10 kiuchumi barani.

Ungedumaza maendeleo zaidi na kututoa katika soko la ushindani wa ajira na kila kitu. Hapa tu tulipo, miongoni mwa sababu nyingi zinazotuponza ni kutokujua lugha ya Kiingereza.

Najua utawaza mfano wa China na Russia ila angalia wanavyohangaika na kupoteza hela kwa kuajiri wakalimani kila kona waendapo kuwekeza.
 
Utamaduni upi, ushoga au upi unausemea.

Maana kama utamaduni wao tunaishi nao sana mpaka sasahivi.

Tangu kwenye ukoloni wametuachia utamaduni wao mpaka leo na wamefanya tukavisahau vya kwetu.
Tuliza akili basi kisha kasome multicultural policy na zimekuwa na impact gani huko kwao.
 
Mfumo wa Warumi ulikufa, huu wa western utashindwaje kufa?
Mchina, Iran amewezaje sisi tushindwe, mwarabu nae si mtumwa wa huo mfumo amewezaje. Shida ni ukibaraka.
BRICKS WANAENDA KUVUNJA HUO MFUMO TEGEMEZI.
Zamani ilikuwa ngumu sasa itawezekana kwa sababu teknolojia imesambaa tayari Asia yote.
Rejea vikwazo mfumo wa fedha wa wazungu mrusi mchina wameweka mfumo wao.
Nini wanachoweza kuzuia wazungu hakipatikani Asia hebu taja?
Mrusi anawatoa mabwanyeye Franko country taratibu, Borkina faso Niger.
Amewafurusha huko Asia kama Syria, Afghanstan,Iraq nk.
Kwa hio huo mfumo utakufa tu tena kwenye kizazi chetu kama ukoloni ulivyokufa.
Uliwai waza kuwa miundombinu itajengwa na ka kampuni za Asia? Zamani kila kampuni zilikuwa za wazungu kama SIEMENS, NOREMKO nk leo hazipo hata ofisi sidhani kama zipo.
Ukipewa nafasi ya masmuzi utaendelea kuwa mtumwa wa mabwanyenye au utaamua ujikwamue?
Wazungu tunatakiwa tuwawekee terms za fair business sio kuwaogopa.
Maneno yako yanaashiria kukata tamaa.
Yaani nakupongeza umemwelewesha vizuri sana.

Tatizo watu wengi wana uelewa tu ubeberu wa sasa (imperialism) bila kujua kuwa kabla huu ubeberu wa sasa kulikuwa na mifumo kadhaa huko nyuma yenye nguvu na ilitawala kwa ukatili wote ni ilikuja kuanguka ikainuka mingine.

Kwani tangu duniani iumbwe kuna dola lililowahi kuwa na nguvu na utawala wa kikatali na wa muda mrefu kama DOLA LA RUMI ? sidhani kama lipo dola la kuizidi RUMI tangu duniani imeumbwa.

Tena rumi ilitawala for more than 1000 years na bado ilianguka tu zikainuka dola zingine.

Ziliwahi kuwepo dola zingine zenye nguvu pia kama Babeli (Babylon) ambayo ni Iraq ya leo lakini ilianguka tu.

Ugiriki pia (uyunani) iliwahi kuwa na nguvu na ikaanguka, nadhani hapa mtu mkumbuka jenerali ELEXANDER THE GREAT aliisumbua sana dunia enzi zake na hajawahi kutokea jenerali wa jeshi mwenye nguvu kama huyu tena mpaka leo.

Uajemi (persia) au Iran ya leo iliwahi kusumbua sana huko nyuma lakini ikapita na sasa inainuka tena.

Kina NAPOLEON wa FRANCE kwani enzi zao si waliteka ulaya yote mpaka middle east lakini waliishia wapi.

Umekuja uwingereza si alisumbua akapita sasahivi tu ndiyo mareakani amekuja kum-take over.

Hivyo hata marekani na kambi yake ya magharibi wataakunguka na watainuka wengine.

Hakuna mfumo utakao dorminate dunia forever kama anavyoamini huyo jamaa mwenye mawazo potofu.

Ukombozi wetu hautakuwa na muda mfupi, na pia utakuwa na gharama kubwa, lakini ni bora tupambane hata waje wafaidi vizazi vyetu kuliko kuridhika na hii hali tuliyonayo au hata kama haturidhiki lakini hatuchukui hatua.
 
Back
Top Bottom