Watu weusi watabaki masikini na duni milele

Hio Id yako umejiita Putin hapo hapo unapinga weupe wakati id inashabikia weupe anza na id yako wewe ndio mwafrica halisi unachosema na unachopractice opposite kabisa.
Mimi nimepinga weupe au nimesema sisi waafrica ni wajinga, kuzaliwa mweusi imekuwa kama laana
 
Tatizo lipo kwenye vichwa vyetu broo.

Sijui IQ zetu ziliwekewa nini
 
Umechukua paragraph yangu ya kwanza ambayo ilikuwa inaelezea kwamba things change na since beginning of time kabla ya ukoloni na kuvamiwa african were living a more fulfilling and sustainable life.... Mtizamo wangu wa pili wala haujauzungumzia na ili tuone kama tupo on the same page nijibu hii picha inayofuata...


Kwa mtizamo wako hao ni masikini na duni au matajiri na wamefanikiwa (Accomplishing the Best they want to be) ?
 
Mtu mweusi ndio baba wa weupe.Baba siku zote anawajali wanawe.Ndio ukaona mtu mweusi anamuonea huruma mtu mweupe,na kumsaidia akiwa na tatizo.Mtu mweusi ndio baba wa mtu mweupe,udongo mweusi ndio udongo wa mwanzo kuumbwa binadamu,baadaye ndio wakapatikana weupe.
 
Mstari unaomtenganisha mtu mweusi na nyani ni mwembamba sana. Wenyewe hatujikubali,hatuwezi andika maneno matano bila kuweka huko kiingereza. Mleta mada mwenyewe ana jina la mzungu. Sisi ni manyani yaliyochangamka.
🤣🤣🤣🤣
 
Poa tajiri mzungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…