Watu weusi watabaki masikini na duni milele

Watu weusi watabaki masikini na duni milele

Ecowas yuko tayari kushirikiana weupe kumtwanga Niger wakati wananchi wameyaunga mkono mapinduzi,Afrika bara lililoacha utamaduni wake na kufata tamaduni za weupe[emoji24][emoji24]
Si ndio hapo,eti ECOWAS, Nigeria, ufaransa na USA ndio wanaumia kupinduliwa kwa kibaraka wao badala ya wananchi ndio waumie
 
Leo nna hasira najikuta sitaki hata salamu.

Japo inauma lakini ukweli ndiyo huo inabidi tuukubali kwamba "Watu weusi tutabaki kuwa duni milele".

Nimekuwa nikifatilia historia ya mtu mweusi since enzi za utumwa kuja huku mbele hadi leo, sijaona dalili za mtu mweusi kuheshimika, kujikomboa kifikra na kiuchumi.

Mpaka naanza kuwa na dhana huenda material yaliyotumika kutokea kwa mwanadamu mweusi yalikuwa tofauti sana na hayana thamani kama ambayo yalitumika kutokea kwa mwanadamu mweupe.

Yeah acheni tu nifikiri hivo maana sioni dalili ya ukombozi wa mtu mweusi dhidi ya uduni alionao.

Mtu mweusi awe anaishi nje ya AFRICA, popote duniani anapoishi ili mradi ni mweusi,huwa anakuwa treated tofauti kabisa na walio weupe.

Kifupi hatuna tunachoweza kujivunia kwamba sisi ni miongoni mwa watu duniani, kuanzia humu humu kwetu AFRICA tunamoishi hatuna kabisa cha maana tunachoweza ku-offer kwa ulimwengu zaidi ya ujinga na unafiki.

Nakupa mifano dhabiti kuanzia hapa hapa kwetu TANZANIA kwa kuangalia hali za kiuchumi.

Angalia matajiri wakubwa hapa TANZANIA wanaoshikilia uchumi wa nchi, wengi wao utagundua si weusi kwa asili, walio wengi ni waarabu na wahindi ndiyo wanaoshikilia biashara kubwa kubwa hapa kwetu, sisi weusi tunaambulia kuwa madalali wao tu na biashara za kawaida sana.

Si mahoteli makubwa makubwa, si viwandani wala biashara za bandarini kote huko ni waarabu au wahindi ndiyo wamiliki, sisi weusi tupo tupo tu yaani tukiamini wanatumia ushirikina kufanikiwa.

Nenda Zanzibar hapo kisiwani wanakosema tanganyika inawanyonya, hakuna kitu.

Zanzibar biashara zote kubwa kubwa ni Bakressa na waarabu/wahindi wenzake, lakini wazawa wao wanaishia kuwa wanunuzi tu au wauza madafu na ukwaju, hakuna biashara za maana ambazo weusi wazawa wanazimiliki.

Nenda kwenye mahoteli makubwa makubwa ya nyota 5 hadi 7 zanzibar uone wamiliki wake, ni wazungu wala siyo weupe, sisi tunaishiwa tu kuajiriwa kama ma-garderner na ma-house keeping kwa miashara ya laki tatu kila mwezi wakati wao wanavuna mabilion ya pesa kwa mda mfupi tu.

Angalia SOUTH AFRICA ambako tunaona ndiyo imeendelea sana kwa hapa Africa, lakini in fact hayo maendeleo ni ya weupe siyo ya weusi.

Data za WOLRD BANK zilizotolewa mwaka 2021 zinaonesha kuwa population ya wazungu south africa ni 10% tu, huku wenyeji wakichukua almost 90% ya population nzima.

Lakini cha kushangaza pamoja na wazungu kuwa wachache south, bado wao ndiyo wanamiliki asilimia 80% ya uchumi wa South Africa, that means the majority of south africans wana miliki only 20% of the whole south african economy.

Sasa hapo kuna pa-kujisifia kuwa weusi wenzetu wa kule wamepiga hatua ?

Kwa kifupi tumewaruhusu wazungu watutumie kujitajirisha hapa hapa kwetu, waumiliki uchumi wetu hapa hapa kwetu alafu sisi tukiishia kuwa vibarua wao, what hell is this ?

Alafu tunawashangilia kabisa na mara pengine sisi wenyewe tuna msaidia kutu-pora sisi.

Sisi watu weusi wakati wa uumbaji kuna kitu itakuwa hakikwenda sawa kabisa.

Sisi kwa sisi hatupendani na kuthaminiana kama wenzetu weupe, kipindi cha utumwa kuna weusi wenzetu walishirikiana na wazungu kuuza weusi wenzao kwa wakoloni, tumepita huko tumekuja sasahivi kwenye uhuru wa bendera, viongozi wetu wa kisiasa wa ki-africa wanawauzia wazungu na kuwa-binafsishia rasilimali zetu kwa bei chee kabisa kwa maslahi yao binfsi bila kuangalia maslahi ya wengi anao waongoza.

Hii ndiyo hali ya mtu mweusi ilivyo, na bado ukienda nchi za wenzetu na rangi yako unabaguliwa na kuonekana siyo binadamu mwenzao, wakati wao wakiwa huku unawachukulia kama malaika, what stupid is this [emoji35]

Yaani nchi za wenzetu wanaungana wawe wamoja na nguvu kwa ajli ya kujenga taifa lenye nguvu kwa ajli ya vizazi vyao, lakini sisi tunachojua ni kutengana,ubinafsi,usaliti, unafiki, mawazo finyu badala ya kufanya kazi unakimbilia kwa mwaposa kwenda kufata sijui udongo, maji na mafuta ya upako, yaani ni ujinga mtupu.

I wish ningekuwa mkuu jeshini, hii nchi ningeipundua mchana kweupe alafu niwafunze watu ni namna gani tunapaswa tuwe.

Africans we have a lot of excuces in attaining develepment.

To day I declare that, Being black is an Evil
Hata hao wazungu katka swala la imani shetani wanamfananisha na mtu mweusi ...... sisi tunamfananisha yesu na mzungu [emoji125][emoji125]
 
Sisi hatujikubali na hiyo ndio shida inapoanza.
Ni wepesi wa kupuuza asili yetu na kucopy ya wengine.

Kingine tunasema tunabaguliwa wakati ubaguzi tunauanza sisi kwa kubaguana sisi kwa sisi.

Kuna mdau hapo kasema USA ilipata uhuru wake miaka 200+ iliyopita huko so na sisi twende taratibu, mimi sikubaliani na hoja ya jamaa kwasababu hizi..

Kipindi hao watu wanajijenga kwa kupitia vita, maandamano ya ndani, kupishana mawazo na mitazamo hakukua na msukumo sana toka nchi kubwa za wakati huo na ukizingatia USA ilikua na watu wa mataifa tofauti duniani.
Leo hii uanze kujitafuta mabeberu watakutupia jicho, mrusi atakutupia jicho, mchina atakutupia jicho, mwarabu atakutupia jicho wote hao watataka ukaribu nawe ili wakupige kwa kujifanya ni rafiki yao mpya.
Ukikaidi wataungana na hutafika popote tena.

Naweza kusema nadhani nchi nyingi za Africa ni kama tumechelewa, kipindi cha kukua kilikua kile tulichotawaliwa, kilikua kile ambacho tumepata uhuru(walau tungejipigapiga) ila kwa sasa mikono ni mingi mno.

Tutajifariji tu ila kupiga hatua kua kama wao sio leo.
 
Km umekata tamaa ya masiha qwe jinyonge tu jiubge na mtetezi wa wanyonge, Nigeria ni pure blacks na ni nchi ya kwanza kwa uchumi Afrika, tajiri wa kwanza Afrika ni pure black Dangote, nchi km Botswana ni blacks na wana uchumi mzuri sana. We una inferiority complex na kweli kwa akili hiyo hutatoboa wakati wenzio wanapambana. Marekani tangia ipate uhuru ina miaka 247, sisi tuna miaka 60, kwa akil yako unafikiri miaka mingine 200 ijayo Afrika itakuwa wapi. Ndugu tuliza boli kila jambo lina pakuanzia, hayo maendeleo yameanza Ulaya yatafika hata Afrika. Hata Ulaya kulikuwa kuna rushwa sana, hayo mambo hayataisha, muhimu tupambane tuiunge serikali yetu mkono kwakufanya kazi kwa bidii na kulipa kodi stahiki.
Wao wakiwa na miaka 60 ya uhuru,hali ya uchumi ilikuwa sawa na hii ya kwetu?
 
Huyu Bingwa alikuwa anatuheshimisha
Wakamtumia Nyerere amvuruge
1691439047548.jpeg

1691439083425.jpeg

1691439119507.jpeg
 
Kama Burkina Faso kaamua kusimama na Niger ni jambo zuri sana,ni wakati wa Afrika kusimama na kuwa kitu kimoja ni kheri tuwe masikini tukiwa na mali zetu kuliko kuwa masikini uku tukiachiwa mashimo tupu
Unazungumziaje kuhusu bandari yetu!
 
Hata ulipokea Imani yao ya Kikristu, una uhakika na Yesu wao. Kwa wenye Imani Kali mtanipinga, leteni mapovu.
 
Changes start with you. By JKN.
Ukibadirika wewe waafrika watakuwa wamebadirika.
Wanao ibadili marekani sio wengi ni wacgache kabda 10% tu.
Wengine ni mkumbo ndio unaowabeba.
 
Leo nna hasira najikuta sitaki hata salamu.

Japo inauma lakini ukweli ndiyo huo inabidi tuukubali kwamba "Watu weusi tutabaki kuwa duni milele".

Nimekuwa nikifatilia historia ya mtu mweusi since enzi za utumwa kuja huku mbele hadi leo, sijaona dalili za mtu mweusi kuheshimika, kujikomboa kifikra na kiuchumi.

Mpaka naanza kuwa na dhana huenda material yaliyotumika kutokea kwa mwanadamu mweusi yalikuwa tofauti sana na hayana thamani kama ambayo yalitumika kutokea kwa mwanadamu mweupe.

Yeah acheni tu nifikiri hivo maana sioni dalili ya ukombozi wa mtu mweusi dhidi ya uduni alionao.

Mtu mweusi awe anaishi nje ya AFRICA, popote duniani anapoishi ili mradi ni mweusi,huwa anakuwa treated tofauti kabisa na walio weupe.

Kifupi hatuna tunachoweza kujivunia kwamba sisi ni miongoni mwa watu duniani, kuanzia humu humu kwetu AFRICA tunamoishi hatuna kabisa cha maana tunachoweza ku-offer kwa ulimwengu zaidi ya ujinga na unafiki.

Nakupa mifano dhabiti kuanzia hapa hapa kwetu TANZANIA kwa kuangalia hali za kiuchumi.

Angalia matajiri wakubwa hapa TANZANIA wanaoshikilia uchumi wa nchi, wengi wao utagundua si weusi kwa asili, walio wengi ni waarabu na wahindi ndiyo wanaoshikilia biashara kubwa kubwa hapa kwetu, sisi weusi tunaambulia kuwa madalali wao tu na biashara za kawaida sana.

Si mahoteli makubwa makubwa, si viwandani wala biashara za bandarini kote huko ni waarabu au wahindi ndiyo wamiliki, sisi weusi tupo tupo tu yaani tukiamini wanatumia ushirikina kufanikiwa.

Nenda Zanzibar hapo kisiwani wanakosema tanganyika inawanyonya, hakuna kitu.

Zanzibar biashara zote kubwa kubwa ni Bakressa na waarabu/wahindi wenzake, lakini wazawa wao wanaishia kuwa wanunuzi tu au wauza madafu na ukwaju, hakuna biashara za maana ambazo weusi wazawa wanazimiliki.

Nenda kwenye mahoteli makubwa makubwa ya nyota 5 hadi 7 zanzibar uone wamiliki wake, ni wazungu wala siyo weupe, sisi tunaishiwa tu kuajiriwa kama ma-garderner na ma-house keeping kwa miashara ya laki tatu kila mwezi wakati wao wanavuna mabilion ya pesa kwa mda mfupi tu.

Angalia SOUTH AFRICA ambako tunaona ndiyo imeendelea sana kwa hapa Africa, lakini in fact hayo maendeleo ni ya weupe siyo ya weusi.

Data za WOLRD BANK zilizotolewa mwaka 2021 zinaonesha kuwa population ya wazungu south africa ni 10% tu, huku wenyeji wakichukua almost 90% ya population nzima.

Lakini cha kushangaza pamoja na wazungu kuwa wachache south, bado wao ndiyo wanamiliki asilimia 80% ya uchumi wa South Africa, that means the majority of south africans wana miliki only 20% of the whole south african economy.

Sasa hapo kuna pa-kujisifia kuwa weusi wenzetu wa kule wamepiga hatua ?

Kwa kifupi tumewaruhusu wazungu watutumie kujitajirisha hapa hapa kwetu, waumiliki uchumi wetu hapa hapa kwetu alafu sisi tukiishia kuwa vibarua wao, what hell is this ?

Alafu tunawashangilia kabisa na mara pengine sisi wenyewe tuna msaidia kutu-pora sisi.

Sisi watu weusi wakati wa uumbaji kuna kitu itakuwa hakikwenda sawa kabisa.

Sisi kwa sisi hatupendani na kuthaminiana kama wenzetu weupe, kipindi cha utumwa kuna weusi wenzetu walishirikiana na wazungu kuuza weusi wenzao kwa wakoloni, tumepita huko tumekuja sasahivi kwenye uhuru wa bendera, viongozi wetu wa kisiasa wa ki-africa wanawauzia wazungu na kuwa-binafsishia rasilimali zetu kwa bei chee kabisa kwa maslahi yao binfsi bila kuangalia maslahi ya wengi anao waongoza.

Hii ndiyo hali ya mtu mweusi ilivyo, na bado ukienda nchi za wenzetu na rangi yako unabaguliwa na kuonekana siyo binadamu mwenzao, wakati wao wakiwa huku unawachukulia kama malaika, what stupid is this [emoji35]

Yaani nchi za wenzetu wanaungana wawe wamoja na nguvu kwa ajli ya kujenga taifa lenye nguvu kwa ajli ya vizazi vyao, lakini sisi tunachojua ni kutengana,ubinafsi,usaliti, unafiki, mawazo finyu badala ya kufanya kazi unakimbilia kwa mwaposa kwenda kufata sijui udongo, maji na mafuta ya upako, yaani ni ujinga mtupu.

I wish ningekuwa mkuu jeshini, hii nchi ningeipundua mchana kweupe alafu niwafunze watu ni namna gani tunapaswa tuwe.

Africans we have a lot of excuces in attaining develepment.

To day I declare that, Being black is an Evil
Kitu kikubwa ambacho kilifanyika ni kuumaliza utamaduni wetu na hii ilifanyika kupitia dini. Dini ni sehemu ya utamaduni. Huwezi kuendelea katika nyanja zozote ikiwa huna utamaduni wako unaokuongoza.


Mwarabu, mzungu,myahudi,mchina,mhindi, mjapani n.k wote hawa wana utamaduni wao ambao wameamrishwa waufuate na kuutekeleza mpaka kwenye vitabu vyao vya dini.Hali hii imewapelekea kujikubali,kujiamini,kujithamini,kujiheshimu, kujipenda n.k!!!!!!!!!


Ustaarabu ni hatua ya juu ya maendeleo iliyopigwa na jamii fulani katika nyanja zote. Ustaarabu huigwa, hakuna jamii isiyoiga utamaduni wa jamii fulani kwa lengo la kuboresha bila kuharibu msingi mzima wa utamaduni husika.


Leo hii jambo lolote linatazamwa kwa kutumia picha ya mwarabu (uislamu), mzungu (ukristo) na kwa mbali uyahudi!!!!!!!!! Siyo kwa mtazamo wa kiafrika tena!!!!!!
Naamini hiki ndiyo kifungo kikuu na kibaya kuliko vyote ambavyo mwafrika amefungwa!!!!!!!!!

Naomba kuwasilisha!!!!!!!!!!!!


How culture is related to development?



Culture influences development from the moment we're born, making an impact on us as we grow. For instance, culture can affect how children build values, language, belief systems, and an understanding of themselves as individuals and as members of society.


Cultural Influences on Child Development | Maryville Online


https://online.maryville.edu
 
Tatizo linaanzia Kwa watu weusi wenyewe Kwa wenyewe wanabaguana, wachache wakipata hawataki wengine wapate (Ubinafsi)
Ushirikiano kwenye mambo ya maana ni wakinafki Tu .

Viongozi wanaongoza kusema watu walipe Kodi wkt wao wanongoza Kwa kughushi na kuiba hizo Kodi 🥴

Kuanzia viongozi WA juu mpka Kwa Mwenyekiti wa mtaa asilimia kubwa Wana mitazamo ya kibinafsi na kilafi .
 
Back
Top Bottom