Brojust
JF-Expert Member
- Sep 17, 2016
- 349
- 1,024
Shalom watu wa Mungu.
Moja kwa moja kwenye mada, wanasayansi na wana imani watatusaidia.
Je, Uhai wako ulianza tu pale ambapo mbegu moja ya mzee wako ilipokutana na yai la mama yako ?
Je ulikuwa unajitambua kwamba tayari mimi ni binadamu na ile miezi tisa wakati uko tumboni ulikuwa unahisi nini (najua hisia zilikuwa kwa mbali sana) je, ulikuwa unahisi?
Je, Baada tu ya kuzaliwa ukirudisha memory zako nyuma utakumbuka siku yako ya kuzaliwa yaani kuingia kwenye ulimwengu?
Je ni katika nipindi cha miaka mingapi ulijitambua na kuanza kujielewa na kufanya matendo kama binadamu wa kawaida mpaka hii leo ni mtu mzima na umejiunga na JamiiForums na unasoma post hii.
Mimi binafsi kuna kumbukumbu huwa inakuja ila machoni mwangu nilikuwa naona rangi nyekundu tu. Lakini nahisi pale ndio uhai uliingia kwenye roho na nikatokea mimi ambaye sasahv nipo jamiiforum na naandika post hii.
NB; mnaopendaga kuweka vikombe vya chai kwenye comment piteni mbali kabisa na hii mada.
Nawasilisha.
Moja kwa moja kwenye mada, wanasayansi na wana imani watatusaidia.
Je, Uhai wako ulianza tu pale ambapo mbegu moja ya mzee wako ilipokutana na yai la mama yako ?
Je ulikuwa unajitambua kwamba tayari mimi ni binadamu na ile miezi tisa wakati uko tumboni ulikuwa unahisi nini (najua hisia zilikuwa kwa mbali sana) je, ulikuwa unahisi?
Je, Baada tu ya kuzaliwa ukirudisha memory zako nyuma utakumbuka siku yako ya kuzaliwa yaani kuingia kwenye ulimwengu?
Je ni katika nipindi cha miaka mingapi ulijitambua na kuanza kujielewa na kufanya matendo kama binadamu wa kawaida mpaka hii leo ni mtu mzima na umejiunga na JamiiForums na unasoma post hii.
Mimi binafsi kuna kumbukumbu huwa inakuja ila machoni mwangu nilikuwa naona rangi nyekundu tu. Lakini nahisi pale ndio uhai uliingia kwenye roho na nikatokea mimi ambaye sasahv nipo jamiiforum na naandika post hii.
NB; mnaopendaga kuweka vikombe vya chai kwenye comment piteni mbali kabisa na hii mada.
Nawasilisha.