Watu zaidi ya 100 wauawa Kaskazini mwa Syria ndani ya saa 48 zilizopita

Watu zaidi ya 100 wauawa Kaskazini mwa Syria ndani ya saa 48 zilizopita

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Mapigano makali yameripotiwa kati ya vikosi vya Kikurdi na vikosi vinavyoungwa mkono na Uturuki kaskazini mwa Syria, ambapo zaidi ya watu 100 wameuawa ndani ya saa 48 zilizopita.

Taarifa iliyotolewa jana na Shirika la Haki za Binadamu la Syria imesema waliouawa kwenye mapigano hayo ni wapiganaji 85 wanaoungwa mkono na Uturuki na 16 kutoka kundi la Syrian Democratic Forces (SDF), jeshi la Wakurdi wa Syria wanaoungwa mkono na Marekani.

Hali kwenye mji wa kaskazini mwa Syria, Manbij imezidi kuwa mbaya baada ya wanajeshi wa Uturuki kuzidisha mashambulizi yao ya angani na ardhini.

Pande hizo mbili zinawania udhibit wa bwawa la Tishrin, ambalo ni muhimu kwa rasilimali za maji na umeme. Bwawa lenyewe linaripotiwa kuwa limeanza kuharibiwa kutokana na mapigano hayo.

SyriA.png

Sehemu kubwa ya kaskazini mwa Syria iko mikononi mwa wapiganaji wa SDF, ambao waliongoza vita vilivyolishinda kundi linalojiita Dola la Kiislamu mnamo mwaka 2019.

========================================================
Since Friday evening, clashes in several villages around the city of Manbij have left 101 dead, including 85 members of pro-Turkish groups and 16 from the Kurdish-dominated Syrian Democratic Forces (SDF), the Britain-based Syrian Observatory for Human Rights said.

The SDF said it had repelled "all the attacks from Turkey's mercenaries supported by Turkish drones and aviation".

The Turkish defence ministry said it had "neutralised" 32 Kurdish fighters in northern Syria, without providing further details.

Turkish-backed factions in northern Syria resumed their fight with the SDF at the same time as Islamist-led rebels were launching an offensive on November 27 that overthrew Syrian president Bashar al-Assad just 11 days later.

The pro-Ankara groups succeeded in capturing Kurdish-held Manbij and Tal Rifaat in northern Aleppo province, despite US-led efforts to establish a truce in the Manbij area.

The fighting has continued since, with mounting casualties.
 
Mapigano makali yameripotiwa kati ya vikosi vya Kikurdi na vikosi vinavyoungwa mkono na Uturuki kaskazini mwa Syria, ambapo zaidi ya watu 100 wameuawa ndani ya saa 48 zilizopita.

Taarifa iliyotolewa jana na Shirika la Haki za Binadamu la Syria imesema waliouawa kwenye mapigano hayo ni wapiganaji 85 wanaoungwa mkono na Uturuki na 16 kutoka kundi la Syrian Democratic Forces (SDF), jeshi la Wakurdi wa Syria wanaoungwa mkono na Marekani.

Hali kwenye mji wa kaskazini mwa Syria, Manbij imezidi kuwa mbaya baada ya wanajeshi wa Uturuki kuzidisha mashambulizi yao ya angani na ardhini.

Pande hizo mbili zinawania udhibit wa bwawa la Tishrin, ambalo ni muhimu kwa rasilimali za maji na umeme. Bwawa lenyewe linaripotiwa kuwa limeanza kuharibiwa kutokana na mapigano hayo.


Sehemu kubwa ya kaskazini mwa Syria iko mikononi mwa wapiganaji wa SDF, ambao waliongoza vita vilivyolishinda kundi linalojiita Dola la Kiislamu mnamo mwaka 2019.

========================================================
Since Friday evening, clashes in several villages around the city of Manbij have left 101 dead, including 85 members of pro-Turkish groups and 16 from the Kurdish-dominated Syrian Democratic Forces (SDF), the Britain-based Syrian Observatory for Human Rights said.

The SDF said it had repelled "all the attacks from Turkey's mercenaries supported by Turkish drones and aviation".

The Turkish defence ministry said it had "neutralised" 32 Kurdish fighters in northern Syria, without providing further details.

Turkish-backed factions in northern Syria resumed their fight with the SDF at the same time as Islamist-led rebels were launching an offensive on November 27 that overthrew Syrian president Bashar al-Assad just 11 days later.

The pro-Ankara groups succeeded in capturing Kurdish-held Manbij and Tal Rifaat in northern Aleppo province, despite US-led efforts to establish a truce in the Manbij area.

The fighting has continued since, with mounting casualties.
Uturuki anaivuruga Syria.....ila serikali mpya ya Al Sharaa ipo kimya tu.

T14 Armata
 
Kosa lao nini. Maana nao ni ka wapalestina
Wakirudi wapo nchi tatu zinazopakana,iraq,syria na uturuki,sasa wao wanataka waunde taifa lao badala ya kila mmoja kuwa raia kwenye nchi husika,yaani kama wamasai,wanyasa,wayao,wamakonde wawe na harakati za kuunda mataifa yao
 
Wakirudi wapo nchi tatu zinazopakana,iraq,syria na uturuki,sasa wao wanataka waunde taifa lao badala ya kila mmoja kuwa raia kwenye nchi husika,yaani kama wamasai,wanyasa,wayao,wamakonde wawe na harakati za kuunda mataifa yao
Hapana walishakuwa na nchi yao kabla so hiz tawala za kikoloni ndio ziliwatenga. Wanataka eneo llile lile waepukqne na mateso wanayopitia
 
Hapana walishakuwa na nchi yao kabla so hiz tawala za kikoloni ndio ziliwatenga. Wanataka eneo llile lile waepukqne na mateso wanayopitia
Hakuna mateso wanayopitia bali wao kutaka 'nchi yao'..yaani leo kagera walilie buganda kingdom,wamasai kadhalika!!?..haiwezekani
 
Back
Top Bottom