Upande wa Azerbaijan na Iraq.Iran kapakana na uturuki upande gani?
Na wana share mpaka kama wa kilometa 500.
Na Kurdistan ipo katikati ya nchi nne,Iran,Iraq,Syria na Uturuki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upande wa Azerbaijan na Iraq.Iran kapakana na uturuki upande gani?
Ukianza na CCM.Wewe ukipewa silaha na Marekani umalize watanzania wenzako ambao ni ndugu na jamaa zako, utakubali kufanya ukatili huo?
About your mother landUkabila na Udini hautaisha middle east.
Vita zote za middle east zinamzizi kwenye Ukabila.
Waarabu Watu wa middle waeast wanamatabaka ya kiukoo sana...
Na kila Ukoo/Kabila lina Silaha nyingi sana.. mfano hapo Gaza tu, kuna koo zinasilaha za kuigeuza Gaza kwenye vita ya wenyewe kwa wenyewe
Tanzania ina afadhali, ulinganisha na haoHow
About your mother land
wakuu wa dunia wapo, wawape tu hiyo nchi ya Kurdistan. Wamege uturuki, syria na iran waliko hao wakurdiWakirudi wapo nchi tatu zinazopakana,iraq,syria na uturuki,sasa wao wanataka waunde taifa lao badala ya kila mmoja kuwa raia kwenye nchi husika,yaani kama wamasai,wanyasa,wayao,wamakonde wawe na harakati za kuunda mataifa yao