Watu zaidi ya 100 wauawa Kaskazini mwa Syria ndani ya saa 48 zilizopita

How
About your mother land
 
Wakirudi wapo nchi tatu zinazopakana,iraq,syria na uturuki,sasa wao wanataka waunde taifa lao badala ya kila mmoja kuwa raia kwenye nchi husika,yaani kama wamasai,wanyasa,wayao,wamakonde wawe na harakati za kuunda mataifa yao
wakuu wa dunia wapo, wawape tu hiyo nchi ya Kurdistan. Wamege uturuki, syria na iran waliko hao wakurdi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…