mdudu
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 7,013
- 10,000
Wapelekewe miti shamba,maana kwa Sasa dawa za Mabeberu hazitakuwi,hata upasuaji tutapiga Nyungu.Wataalamu wa afya wafanye uchunguzi haraka kubaini chanzo ili kudhibiti.
pole kwa watanzania wenzetu walio ifiwa, Mungu azipokee roho zao