MoneyHeist4
JF-Expert Member
- Jul 10, 2017
- 2,134
- 3,192
Na huu mlipuko wa Homa ya Mafua tunajikinga vipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana ninamkosoa huyo, kwamba hatupaswi kuwaogopa,ndio maana nikasema Kama ni kweli watatuua.Na wewe unalaani bure. Umeamini kweli ni mabeberu? Hii nchi tumefikia kwenye hali ya chini sana ya kufikiri. Mawazo ya wajinga ndiyo yanaongoza nchi.
Huko shughuli za uchimbaji hufanyika. Inaweza kuwa vinahusiana.Si karibu na mgodi kweli maana kuna mtu amewahi kuleta uzi wa ugonjwa kama huo katika harakati zake za mgodini.
Mkisema ni corona mtapungukiwa nini?
[emoji2][emoji2]COVID PRO MAX
Wapinzani wametuchelewesha sana