Watuhumiwa wa mande ya Ubakaji na ulawiti waliotumwa na afande wakamatwa

Watuhumiwa wa mande ya Ubakaji na ulawiti waliotumwa na afande wakamatwa

1. WAtaje wazazi wao kwa majina na kazi za wazazi wao.
2. Wataje makabila yao.
3. Wataje kazi zao n marafiki zao.
Hii ni kuwatia shame na kuwaacha na sonona.
Wazazi wao watajwe kwani wazazi ndo waliwatuma? Marafiki kwani ndo waliwatuma? Usimamizi wa sheria hauhitaji mihemko ndo maana watuhumiwa wote wanayo haki ya kisheria kuwa na mawakili
 
Wazazi wao watajwe kwani wazazi ndo waliwatuma? Marafiki kwani ndo waliwatuma? Usimamizi wa sheria hauhitaji mihemko ndo maana watuhumiwa wote wanayo haki ya kisheria kuwa na mawakili
Mimi kama ni wakili siko tayari kuwatetea wateja wa namna hiyo.

Jinai yao iko wazi pasi na shaka yoyote with vivid evidence, sasa hapo mtu timamu unawatetea nini?
 
Ni wewe ndo haupo tayari ila wanayo haki ya kuwa na wakili
Na mawakili wanayo haki ya kuwakataa kusimamia kesi yao.

IMG_5491.jpeg
 
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni amesema tayari vyombo vya dola vimeshawatia nguvuni watuhumiwa wa ubakaji na ulawiti wa msichana anayedaiwa kuwa ni mkazi wa Yombo Dovya jijini Dar es Salaam.

Agosti 4, 2024 zilisambaa video katika mitandao ya kijamii zikiwaonyesha vijana watano wakimbaka na kumlawiti binti huyo, huku wakimtuhumu kwa kile kilichosikika katika video hiyo kuwa ametembea na mume wa mtu.

Kadhalika, katika video hiyo inayodaiwa kuchukuliwa na vijana hao, binti huyo alisikika akieleza anakotokea na kumwomba msamaha mtu aliyetambulishwa kwa jina la afande.

Masauni amethibitisha kutiwa nguvuni kwa vijana hao leo, Jumanne Agosti 6, 2024 alipotafutwa na Mwananchi Digital kwa njia ya WhatsApp.

Katika ujumbe mfupi aliotumiwa kuulizwa iwapo watuhumiwa hao wameshakamatwa, Masauni alijibu kwa kuandika “tayari” kupitia ujumbe huohuo wa njia ya WhatsApp.

Hata hivyo, Waziri Masauni hajafafanua zaidi kwani amesema bado yupo kwenye mkutano kwa sasa.

Pia soma
Naona kama kajibu kinamna sana.. Nina mashaka kama ni kweli wameshatiwa nguvuni
Kajibu ilimradi kumridhisha muuliza swali.
Hii ishu inahusisha majeshi yetu ya usalama na hapo kuna swala la NIDHAMU hivyo wanai handle kwa umakini mkubwa sana
Kwa taratibu za kijeshi itabidi kwanza waafukuzwe jeshini wawe raia wa kawaida ndio wakabidhiwe polisi wafunguliwe mashtaka ambapo tuhuma zao hazina dhamana
Kivumbi kiko kwa boss aliyewatuma! Je jeshi litakuwa tayari kujivua gamba na kumuweka hadharani na kumuunganisha na watuhumiwa wengine? Tuupe muda wakati
 
Jamii haitaki kuzungumzia msingi wa tatizo ni nini?

Tatizo ni wanawake wakiolewa wanaota mapembe na kugeuza ndoa ni jukwaa la mashindano.

Meanwhile wanawake haohao ukimpa cheo cha nyumba ndogo anakupa heshima zote na unamgegeda muda wowote unaojisikia hupangiwi uchi wa mgao na anakutii.

Kinyume chake mke wa ndoa anageuza nyumba uwanja wa mabishano, hana heshima, na uchi wake akupe anavyojisikia yeye, wewe uwe kama sex toy yake tu na hapa wahusika ni wanawake wenye viajira vyao vimewatia ujinga kufikia kudhani nafasi ya mwanaume kwenye nyumba inaweza kuwa replaced, never.

Tutaendelea kuwala wanawake wanaojuwa kutreat mwanaume na hao wote hawajaolewa, walioolewa tiwaache wakae na viburi vyao.
Mkuu hebu fafanua kidogo. Hii inahusianaje na hawa mbwa kumbaka huyu binti? 😳
 
Na mawakili wanayo haki ya kuwakataa kusimamia kesi yao.

View attachment 3062875
Kuwa na haki ni kitu kingine na mawakili kukataa ni kitu kingine ndo maana siyo kila mtuhumiwa ana wakili lakini haimaanishi hana haki ya kuwa na wakili.
Haki ya kuwa na wakili ni haki ya kila mtuhumiwa.
 
Duniani kote kuna sheria kali za kuwalinda wanawake na watoto dhidi ya vitendo vya kikatili, hili jambo likiachwa lipite bila hatua kali kuchukuliwa litajenga taswira mbaya sana kwa nchi.
 
Back
Top Bottom