Watuma salamu maarufu waliotamba kwenye vipindi mbalimbali vya Redio

Natamanigi sana kumsikia mogile machuki kutoka kisii kenya bila mafanikio
 
Kuwaya Waya wa Kuwaya Waya kutoka Lizaboni Nyumbi hii bombi hii!

Huyu mwamba alikuwa comedian balaa
 
Hivi huyu asiatu damumbaya ndio nani wakuu..

Maana zamani kidogo kila kwenye radio lazima nimsikie.
 
Chivalavala S. Chivalavsla
na
Chesco Mzee wa Matunda

Wote wakazi wa Mwenge
 
Funga kazi ni Top manyota huyu jamaa ilikua wakiruhusu tuuu simu zipigwe yumo tena nafasi ya kwanza kabisa.

Kuna Edward Kabamba kama sikosei mtu wa manyara

Bila kusahau kule mbeya kuna mzee Lawena aka baba mzazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…