Watuma salamu maarufu waliotamba kwenye vipindi mbalimbali vya Redio

Watuma salamu maarufu waliotamba kwenye vipindi mbalimbali vya Redio

Zamani tulipenda sana kusikiliza redio sasa hivi sijui kwanini. Redio labda mtu asikilize kwenye gari ila nyumbani wachache sana. RFA na Kiss FM Kiss Fm. Miaka imesonga
 
Huyo Paul Msalaba nilipofika namanyere-Nkasi nilimtafuta ili nimuone kabisa kwasababu sio kwa kutuma salamu zile kwa wingi tena kila siku pale DW
Ulifanikiwa kukutana na paul misalaba wa nama nyere nkas

Mm pia niliwai kufanya Kaz pale nilimtafuta sijampat
 
Ulifanikiwa kukutana na paul misalaba wa nama nyere nkas

Mm pia niliwai kufanya Kaz pale nilimtafuta sijampat
Paul msalaba yupo mkuu....nilimpata na huyo msalaba ni baba yake,msukuma Fulani hivi wana ng'ombe wengi sana

Pale namanyere ulikuwa unafanya kazi wapi?......coz ule mji naujua vzr
 
Paul msalaba yupo mkuu....nilimpata na huyo msalaba ni baba yake,msukuma Fulani hivi wana ng'ombe wengi sana

Pale namanyere ulikuwa unafanya kazi wapi?......coz ule mji naujua vzr
Ahahaha ilikuwa Ni afsa ktk kampuni fln Sasa nilkuwa naenda marakwamara sna
 
Paul msalaba yupo mkuu....nilimpata na huyo msalaba ni baba yake,msukuma Fulani hivi wana ng'ombe wengi sana

Pale namanyere ulikuwa unafanya kazi wapi?......coz ule mji naujua vzr
Je Paulo yuko pale pale mjini au njje kidg wa mji wa nnkasi
 
Huyu MSONDA nilikuwa napenda sana kumsikia amepiga simu kipindi cha "Ushauri wako" redio Free Africa. Naye alikuawa anapenda kupiga simu kipindi kinapotaka kuisha. Kabla unakuta watu wametoa ushauri wao sana wengine michango yao ya fedha na wengine wametoa ahadi au wameshauri client kuenda kwa DC au makanisani ili asaidiwe, then mwishoni anapiga simu baba mzazi eee babaaa[emoji3], utasikia huyo Client aje makongorosi Chunya nitamtunza Mimi au nitagharamia matibabu yake yoteeeee[emoji56] basi mimi hadi machozi ya furaha yalikuwa yananitoka

Umewahi kupita kule mkuu? Sasa hiyo miaka miundo mbinu si ilikuwa ovyo sana mkuu?
Mm pia nimepita makongoros chunya lupa tingatinga
 
Kung'ombe Chacha Mrema Sukari Muhiri Obare
Mtangazaji: Muhiri Obareee
Muhiri Obare: Naaaaaaaaaaaaaam
[emoji28][emoji28] huyu jamaa naaaaam alikuwa anauwezo wa kuivuta hata dk nzima dah!
 
Je Paulo yuko pale pale mjini au njje kidg wa mji wa nnkasi
Pale pale mjini na ndio maana ikawa ni rahisi kumpata.....ni watu maarufu kwenye mji ule,tena kwasasa huyo Paul ana duka la jumla la retail shop

Nitarudi tena kwenye ule mji muda si mrefu nimepakumbuka ni almost miaka 2 sijafika
 
Huyu MSONDA nilikuwa napenda sana kumsikia amepiga simu kipindi cha "Ushauri wako" redio Free Africa. Naye alikuawa anapenda kupiga simu kipindi kinapotaka kuisha. Kabla unakuta watu wametoa ushauri wao sana wengine michango yao ya fedha na wengine wametoa ahadi au wameshauri client kuenda kwa DC au makanisani ili asaidiwe, then mwishoni anapiga simu baba mzazi eee babaaa😀, utasikia huyo Client aje makongorosi Chunya nitamtunza Mimi au nitagharamia matibabu yake yoteeeee😇 basi mimi hadi machozi ya furaha yalikuwa yananitoka

Umewahi kupita kule mkuu? Sasa hiyo miaka miundo mbinu si ilikuwa ovyo sana mkuu?
Kulikua poa tu...
 
Elia Mbukwa pande za Mbeya,, utazani bonge la mtu, kumbe alikuwa muuza vocha, na sasa bodaboda na mnywaji wa pombe za kienyeji,,,
Saa saba mchana enzi hizo. Dw Ujerumanj
 
Hasan Ngaptula,
Ngaliba Jongo,
Abdala kidevu wa Mahuta Shimoni,
Mhiri Obare,
Masanja Kuyanja,
 
Miaka imesonga sana, maisha yamebadilika Kwa kiasi kikubwa.Tofauti na sasa ambapo ukiwa na simu janja au tarakirishi unapata taarifa zote zilizotokea na zilizovunjika 'breaking news', Zamani redio ilikuwa chombo muhimu ktk kupata taarifa na burudani.

Leo nimewakumbuka wale watuma salamu maarufu enzi zile,ingawa hata sasa wapo baadhi ya watu ambao ni maarufu ktk vipindi mbalimbali ukisikiliza redio km Clouds mfano kuna heri dereva babaji,shangwe dereva babaji, Daudi wakota n.k

Enzi hizo ukisikiliza kipindi cha mirindimo asilia na Malima Nderema au salamu Kwa wagonjwa,kuna majina maarufu huwezi kuacha kuyasikia wakati wa kutuma salamu.

Kuna huyu jamaa wa kuitwa Wajadi fundi Wajadi binadamu mashaka,yeye kila siku yupo safarini kuelekea mahuta shimoni, fundi Khamisi full migebuka wa mwandiga fashion sokoni Kigoma.

Lawena Msonda Baba mzazi kutoka chunya Mbeya.

Ally Mrangi Gigiri Mresa yeye mar kila siku yupo safarini kuelekea mabibo Dar es Salaam.

Zakaria Ndemfoo, Issa Mzee wa urembo kutoka Moshi.Lupa tingatinga "mdau asiyechuja" ndiyo ilikuwa slogan yake bila kumsahau Chesko Mzee wa matunda kutoka Africa Sana.

Kuna mdau akiitwa Limonga Justine Limonga na kuna huyu mama Abuu wa majani mapana.Kuna jamaa aliitwa Fikiri Dario Gakala wa GGM Geita na Filbert Kyenshambi kutoka Muleba-Nshambi, wapo wengi sn na tulikuwa tunaenjoy sn Enzi hizo

Unawakumbuka baadhi? Unazikumbuka kauli mbiu zao maarufu zilizotamba?
Kuna yule wa Igoma Mwanza wakuitwa Muhili Obale muite sasa jina lake uone balaa lake. Anaitika robo saa nzima. Hiyo ilikua Radio Free Africa.
 
Back
Top Bottom