Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
Thread 'Mnawakumbuka watuma salamu maarufu redioni wa enzi hizo? Tujikumbushe kwa kuwataja...' Mnawakumbuka watuma salamu maarufu redioni wa enzi hizo? Tujikumbushe kwa kuwataja...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yupo kagongwa kahama ni dalali wa maroli nimeanza kumsikia tokanipo chali hadi nimekuwa mtu mzima mara ya kwanza naonana nae 2020 hadi saiv nina number yakeChacha Muhiri Obare
Ni dalali banaChesko Kula redio unamsikia.Pia Enzi hizo RFA jamaa alikuwa anaitwa Muiri bhale,sasa hivi ni meneja biashara united FC..Mkurya mmoja kutoka igoma mwanza
Masumbuko LamwayKuna yule wa Makongorosi Chunya namkumbuka kwa jina 1 tu la Masumbuko,halafu kuna bingwa wa kuning'inia kwenye tawi la mchicha,nafikiri huyu atakuwa wa Dodoma.
Anaitwa Kung'ombe Chacha Mrema Sukari Muhiri ObareNi dalali bana
Kuna jamaa alikuwa akitaka kutuma salamu clouds FM alikuwa akianza na neno Niambiiiiiiieee!!Miaka imesonga sana, maisha yamebadilika Kwa kiasi kikubwa.Tofauti na sasa ambapo ukiwa na simu janja au tarakirishi unapata taarifa zote zilizotokea na zilizovunjika 'breaking news', Zamani redio ilikuwa chombo muhimu ktk kupata taarifa na burudani.
Leo nimewakumbuka wale watuma salamu maarufu enzi zile,ingawa hata sasa wapo baadhi ya watu ambao ni maarufu ktk vipindi mbalimbali ukisikiliza redio km Clouds mfano kuna heri dereva babaji,shangwe dereva babaji, Daudi wakota n.k
Enzi hizo ukisikiliza kipindi cha mirindimo asilia na Malima Nderema au salamu Kwa wagonjwa,kuna majina maarufu huwezi kuacha kuyasikia wakati wa kutuma salamu.
Kuna huyu jamaa wa kuitwa Wajadi fundi Wajadi binadamu mashaka,yeye kila siku yupo safarini kuelekea mahuta shimoni, fundi Khamisi full migebuka wa mwandiga fashion sokoni Kigoma.
Lawena Msonda Baba mzazi kutoka chunya Mbeya.
Ally Mrangi Gigiri Mresa yeye mar kila siku yupo safarini kuelekea mabibo Dar es Salaam.
Zakaria Ndemfoo, Issa Mzee wa urembo kutoka Moshi.Lupa tingatinga "mdau asiyechuja" ndiyo ilikuwa slogan yake bila kumsahau Chesko Mzee wa matunda kutoka Africa Sana.
Kuna mdau akiitwa Limonga Justine Limonga na kuna huyu mama Abuu wa majani mapana.Kuna jamaa aliitwa Fikiri Dario Gakala wa GGM Geita na Filbert Kyenshambi kutoka Muleba-Nshambi, wapo wengi sn na tulikuwa tunaenjoy sn Enzi hizo
Unawakumbuka baadhi? Unazikumbuka kauli mbiu zao maarufu zilizotamba?
fala sana huyo jamaaGolgotha magabe namjua😅
walikua wana vibe sana na FredwaHahah....hivi hii ilikuwa RFA?
Dah nilitaka nishangae mtoa mada kataja wote kasahau dullah one[emoji38][emoji38][emoji38]...Imakulaya -Mwananyamala kwa kopa sela sela nukta nukta.
John Zenze
Baba Dulla One Majani Mapana - M.A.P
Manase R. Muhaha Ng'hambako kutoka Lumumba DSM
Salumu Chumu
Kwasasa kuna Magufuli Jikono Jandama - RFA Huyu Kwenye kipindi cha Hakuna Kulala Na Faustine Stephano
Alafu unakuta mtangazaji anataka Kwa kujaza hiyo KAGONGWA KAHAMA 😅😅Yupo kagongwa kahama ni dalali wa maroli nimeanza kumsikia tokanipo chali hadi nimekuwa mtu mzima mara ya kwanza naonana nae 2020 hadi saiv nina number yake
Wewe mkongwe sn mkuuImakulaya -Mwananyamala kwa kopa sela sela nukta nukta.
John Zenze
Baba Dulla One Majani Mapana - M.A.P
Manase R. Muhaha Ng'hambako kutoka Lumumba DSM
Salumu Chumu
Kwasasa kuna Magufuli Jikono Jandama - RFA Huyu Kwenye kipindi cha Hakuna Kulala Na Faustine Stephano
Na kuna mmoja alikuwa anaitwa masumbuko shombe sijui kama unalikumbuka hilo jinaBaba mzazi baba eh baba naachia laini. Nampenda sana huyu jamaa ni burudani kumsikiliza.
Hata kwenye matangazo ya mpira wale wanaoitakia ushindi timu flan utamskiaWajadi fundi wajadi kutoka mahuta shimoni newala
Kung'ombe Chacha Mrema Sukari Muhiri Obare
Mtangazaji: Muhiri Obareee
Muhiri Obare: Naaaaaaaaaaaaaam
Aah qmamake wahah!! 2006-2007 hiyo! Kumbe nimekua aiseee!!!