Watuma salamu maarufu waliotamba kwenye vipindi mbalimbali vya Redio

Watuma salamu maarufu waliotamba kwenye vipindi mbalimbali vya Redio

kuna MWALIMU KENNEDY MPEMBA nae ni mdau balaa
Siku hizi Ukisikiliza Deutsch welle (DW) na BBC kuna jamaa mmoja maarufu sana anaitwa Jumanne mpenda Amani yeye kila akipiga simu kutoa maoni yake mwishoni lazima amalize na hii kauli mbiu "ni busara Urusi Waache vita haraka" anafurahisha Sn
Kuna Filberty kyauke wa Mlandizi Tanzania, Baba Nurhat, fundi shani, Cheusi Mpambaji wa mashati Rombo,Mzee kwafi wa keni garden mzee ndemfoo(R.I.P)n.k nk
 
Miaka imesonga sana, maisha yamebadilika Kwa kiasi kikubwa.Tofauti na sasa ambapo ukiwa na simu janja au tarakirishi unapata taarifa zote zilizotokea na zilizovunjika 'breaking news' , Zamani redio ilikuwa chombo muhimu ktk kupata taarifa na burudani

Leo nimewakumbuka wale watuma salamu maarufu enzi zile,ingawa hata sasa wapo baadhi ya watu ambao ni maarufu ktk vipindi mbalimbali ukisikiliza redio km clouds mfano kuna heri dereva babaji,shangwe dereva babaji, Daudi wakota nk

Enzi hizo ukisikiliza kipindi cha mirindimo asilia na Malima Nderema au salamu Kwa wagonjwa,kuna majina maarufu huwezi kuacha kuyasikia wakati wa kutuma salamu

Kuna huyu jamaa wa kuitwa Wajadi fundi Wajadi binadamu mashaka,yeye kila siku yupo safarini kuelekea mahuta shimoni,fundi Khamisi full migebuka wa mwandiga fashion sokoni kigoma

Lawena Msonda Baba mzazi kutoka chunya Mbeya
Ally Mrangi Gigiri Mresa yeye mar kila siku yupo safarini kuelekea mabibo Dar es salaam

Zakaria Ndemfoo, Issa Mzee wa urembo kutoka Moshi.Lupa tingatinga "mdau asiyechuja" ndiyo ilikuwa slogan yake
Bila kumsahau Chesko Mzee wa matunda kutoka Africa Sana

Kuna mdau akiitwa Limonga Justine Limonga na kuna huyu mama Abuu wa majani mapana.Kuna jamaa aliitwa Fikiri Dario Gakala wa GGM Geita na Filbert Kyenshambi kutoka Muleba-Nshambi,wapo wengi sn na tulikuwa tunaenjoy sn Enzi hizo

Unawakumbuka baadhi? Unazikumbuka kauli mbiu zao maarufu zilizotamba?
Pasco Mzee Wa matunda sinza
 
Hapana, huyu alikuwa akianza kuitika inabidi na muziki uzimwe studio. Alipenda sana kupiga simu RFA ila siku moja nikamsikia Radio One. Naaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaam


Aah qmamake wahah!! 2006-2007 hiyo! Kumbe nimekua aiseee!!!
 
Back
Top Bottom