Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 6,432
- 25,646
- Thread starter
- #21
Fundi Hamisi full migebuka [emoji116][emoji116]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu muhiri obaree alikuwa ananifurahisha sanaKung'ombe Chacha Mrema Sukari Muhiri Obare
Mtangazaji: Muhiri Obareee
Muhiri Obare: Naaaaaaaaaaaaaam
dah top manyota kitambo sanaWengi walkuepo ila Top Manyota Top Manyota alkua kiboko yao
Huyo Paul Msalaba nilipofika namanyere-Nkasi nilimtafuta ili nimuone kabisa kwasababu sio kwa kutuma salamu zile kwa wingi tena kila siku pale DWKuna Paul misalaba wa namanyire nkasi
Golgota magabe wa shinyanga
hao huwa wakosekani ktk kipindi Cha ddw matangazon ya mchana kutoa kero au kupanda katka jukwa la manufa
he was very interesting this guy kwakweliKung'ombe Chacha Mrema Sukari Muhiri Obare
Mtangazaji: Muhiri Obareee
Muhiri Obare: Naaaaaaaaaaaaaam
Huyu alikua akisikika sana.Wajadi fundi wajadi kutoka mahuta shimoni newala
Nasikia ni hayati huyu Kwa sasa..R.i.pWajadi fundi wajadi kutoka mahuta shimoni newala
Hadi Leo ukisikiliza TBC taifa hao watuma salamu za kugombea timu Fulani ifungwe bado wapo..Utamsikia yanga funga hao Azam goli mbili bila,alafu kipindi mtangazaji anasoma Tyr yanga wameshachezea kimoja na Mechi ipo dakika ya 88..unaishia kucheka Tu[emoji28]Mimi nakumbuka wakati mechi zinatangazwa kupitia R.T.D ilikua wakati wa half time kuna salam walizotuma watu zilikua zinasomwa,
Utasikia "Simba team funga hao Yanga mpaka wasione mlango wa kutokea,huu mwaka ni wetu"
Ilikua burudani sana.
Huyu wa kuning'inia kwenye Tawi la mchicha nimecheka sn asee[emoji28]..alafu siyo tu ananing'inia,bali pia bingwa wa kuning'inia' ahahahaKuna yule wa Makongorosi Chunya namkumbuka kwa jina 1 tu la Masumbuko,halafu kuna bingwa wa kuning'inia kwenye tawi la mchicha,nafikiri huyu atakuwa wa Dodoma.