Watuma salamu maarufu waliotamba kwenye vipindi mbalimbali vya Redio

Watuma salamu maarufu waliotamba kwenye vipindi mbalimbali vya Redio

Namkumbuka Kuna jamaa alikuwa anaitwa" Dibro dibara double D ,D kubwa mbili zenye ujazo" alikuwa lazima atume salamu kituo cha redio Ebony Fm
Ebony juzi hapa, kuna RFA miaka ya 2000 mwanzoni.., RTD
 
Jay Mo Juma Muhamad na Chesco Matunda.

Nilikua nawakubali sana hawa jamaa.

Hapo nasikiliza Kipusa ile ukikosa swali inagonga kengere au RFA.

Nipo Makete uko mliopo Dar naona kama mmetusua kinoma.
 
Huyu LAWENA MSONDA nilikuwa napenda sana kumsikia amepiga simu kipindi cha "Ushauri wako" redio Free Africa. Naye alikuawa anapenda kupiga simu kipindi kinapotaka kuisha. Kabla unakuta watu wametoa ushauri wao sana wengine michango yao ya fedha na wengine wametoa ahadi au wameshauri client kuenda kwa DC au makanisani ili asaidiwe, then mwishoni anapiga simu baba mzazi baba eee babaaa😀, utasikia huyo Client aje makongorosi Chunya nitamtunza Mimi au nitagharamia matibabu yake yoteeeee😇 basi mimi hadi machozi ya furaha yalikuwa yananitoka aiseee.
Daah makongorosi chunya inanikumbusha way back 1978
 
Kuna mmoja kutoka Kagongwa- Kahama mwingine Makongorosi mwingine GGM mwingine Muhiri Obare Naaaaaaam dah huyu jamaa alikuwa anafurahisha sana

Yule full migebuka

mwingine Manka Mushi

Mwingine yule Mahuta yaani hawa sijui kazi walikuwa/wanafanya kazi mda gani!!
 
Unamuachaje CHIEF MASANJA wale wa Radio One kipindi hicho wanamjua sana
 
Huyu MSONDA nilikuwa napenda sana kumsikia amepiga simu kipindi cha "Ushauri wako" redio Free Africa. Naye alikuawa anapenda kupiga simu kipindi kinapotaka kuisha. Kabla unakuta watu wametoa ushauri wao sana wengine michango yao ya fedha na wengine wametoa ahadi au wameshauri client kuenda kwa DC au makanisani ili asaidiwe, then mwishoni anapiga simu baba mzazi eee babaaa😀, utasikia huyo Client aje makongorosi Chunya nitamtunza Mimi au nitagharamia matibabu yake yoteeeee😇 basi mimi hadi machozi ya furaha yalikuwa yananitoka
Daah makongorosi chunya inanikumbusha way back 1978
Umewahi kupita kule mkuu? Sasa hiyo miaka miundo mbinu si ilikuwa ovyo sana mkuu?
 
Kuna Paul misalaba wa namanyire nkasi

Golgota magabe wa shinyanga

hao huwa wakosekani ktk kipindi Cha ddw matangazon ya mchana kutoa kero au kupanda katka jukwa la manufa
Correction
Ni Namanyere Nkasi.
 
Back
Top Bottom