Watumia mkongo wanatuharibia kizazi hiki, wapelekwe mahakamani

Watumia mkongo wanatuharibia kizazi hiki, wapelekwe mahakamani

opondo

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2017
Posts
526
Reaction score
1,321
Wanawake wako tofauti tofauti sifa, tabia, mwenendo wao pia ni tofauti kamwe hutoweza kumridhisha Mwanamke kwa chochote.

Nilikua na mpenzi wangu, during sex kwa muda mfupi sana alikua anamaliza na anakua yuko satisfied, hutoki jasho jingii kama vile unaponda mawe.

Nikapata mwingine pia ndani ya dakika 20 ameshafika na Mimi najikuta nimemaliza kuendelea sijui bao 3,4 hiyo ni bonus tu.

Nikadondokea kwa ngumbaru moja hiyo ni noma unapiga mzigo mpaka viungo vyote vinauma anakwambia bado kabisa, juzi nimejikuta napiga masaa matatu then ananiuliza "" hapo ndio umefanya nini sasa Mwanaume unakua livivu livivu tu"...

imagine masaa 3 bado anaona hujafanya kitu?

Mwaka 2023 kiukweli nitaenda na plan mpya nitakua kama kuku, ndani ya dakika 5 nikimaliza naondoka kwenda kujenga taifa, Mambo ya kutumia masaa 3 ni kupoteza muda.
Hupo kwenye kwichikwichi mtu anamuwaza jamaa yake aliyekua anatumia mkongo, he hii ni sahii?

Watumia mkongo msituharibie hiki kizazi.
 
Mweeee masaa matatu wanaume tuna shida .Ungemuambia mbadilishe style akae juu Yako aikatikie anavyoweza mpaka aridhike sio kulala kama gogo alafu anasema "sasa ndyo umefanya nini?”.
Concentration yake inaonekana ilikuwa mbali masaa matatu kwani umeajiriwa katika kitengo Cha kufanya ngono.
 
Yaani hapo ndiyo ujue kuwa hata ukimpakia mkongo wewe ndiyo unaumia...lile. Ni pira tu
 
Wanawake wako tofauti tofauti sifa, tabia, mwenendo wao pia ni tofauti kamwe hutoweza kumridhisha Mwanamke kwa chochote.

Nilikua na mpenzi wangu, during sex kwa muda mfupi sana alikua anamaliza na anakua yuko satisfied, hutoki jasho jingii kama vile unaponda mawe.

Nikapata mwingine pia ndani ya dakika 20 ameshafika na Mimi najikuta nimemaliza kuendelea sijui bao 3,4 hiyo ni bonus tu.

Nikadondokea kwa ngumbaru moja hiyo ni noma unapiga mzigo mpaka viungo vyote vinauma anakwambia bado kabisa, juzi nimejikuta napiga masaa matatu then ananiuliza "" hapo ndio umefanya nini sasa Mwanaume unakua livivu livivu tu"...

imagine masaa 3 bado anaona hujafanya kitu?

Mwaka 2023 kiukweli nitaenda na plan mpya nitakua kama kuku, ndani ya dakika 5 nikimaliza naondoka kwenda kujenga taifa, Mambo ya kutumia masaa 3 ni kupoteza muda.
Hupo kwenye kwichikwichi mtu anamuwaza jamaa yake aliyekua anatumia mkongo, he hii ni sahii?

Watumia mkongo msituharibie hiki kizazi.
Una kitu utafika mbali
 
Kama kichwa cha mtoto kinapita,hiyo ndizi sukari yako itaenea kweli?
 
HISIA,HISIA,HISIA HISIA
Mwanamke kama hana hisia na ww hata ukeshe ni kazi bure!..me wangu nikimshika tu analegea nikipiga ndani ya dkk 2 kashakojoa yaan nikipiga ndani ya nusu saa ujue kakojoa mara dufu
 
HISIA,HISIA,HISIA HISIA
Mwanamke kama hana hisia na ww hata ukeshe ni kazi bure!..me wangu nikimshika tu analegea nikipiga ndani ya dkk 2 kashakojoa yaan nikipiga ndani ya nusu saa ujue kakojoa mara dufu

Ushatoboa wewe….hakuchoshi sana huyo
 
Back
Top Bottom