Watumiaji wa gesi asilia kwenye magari wamefikiwa, wawekewa tozo ya 382 kwa kila kilo

Watumiaji wa gesi asilia kwenye magari wamefikiwa, wawekewa tozo ya 382 kwa kila kilo

Replica

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
1,681
Reaction score
8,887
Bajeti ya Mwigulu Nchemba inayosomwa leo imependekeza tozo ya Tshs 382 kwa kila kilo ya gesi asilia inayotumika kwenye magari ikiwa na lengo la kuchangia mfuko wa kutengeneza barabara na kuleta usawa kwa magari yanayotumia mafuta.

Bajeti_Gesi.JPG

Swali langu kwa Mwigulu, kwanini ahangaike na kuleta usawa na kitu ambacho hakizalishwi nchini? Wewe unazalisha gesi halafu unataka iwe sawa na mafuta usiyozalisha, hadi baba wa demokrasia Marekani kila siku anadhibiti bidhaa asizolisha kutoka China japo kinyume na sera ya biashara huru!

Haitapunguza morali ya kuhamia kwenye gesi na ambayo inapunguza matumizi ya fedha za kigeni kuagizia mafuta ambazo sasa zinatafutwa kwa tochi! Hata watu binafsi wanaoanza kuwekeza kwenye vituo vya kujazia gesi vilivyo haba wataanza kutafuta biashara nyingine kwani huku hakuna ishara njema tena.

Gesi Magari.jpg

Napendekeza waache watumiaji waongezeke, wakiwa wengi waweke tozo ndogo isiyo na athari ya chini ya tshs 100, kwasababu watakuwa wengi wakati ujao wakiichangia kidogo kidogo itakuwa kubwa kuliko kuharibu sasa na kuendelea kuhangaika na uhaba wa dola.

Pia, soma=> Dkt. Mwigulu: Tusamehe ushuru wa magari ya umeme na Gesi
 
Bajeti ya Mwigulu Nchemba inayosomwa leo imependekeza tozo ya Tshs 382 kwa kila kilo ya gesi asilia inayotumika kwenye magari ikiwa na lengo la kuchangia mfuko wa kutengeneza barabara na kuleta usawa kwa magari yanayotumia mafuta.

Swali langu kwa Mwigulu, kwanini ahangaike na kuleta usawa na kitu ambacho hakizalishwi nchini? Haitapunguza morali ya kuhamia kwenye gesi na kupunguza matumizi ya fedha za kigeni kuagizia mafuta ambazo sasa zinatafutwa kwa tochi!
Kwani mwanzoni mlikuwa mnajaza kwa bei gani?
 
Bajeti ya Mwigulu Nchemba inayosomwa leo imependekeza tozo ya Tshs 382 kwa kila kilo ya gesi asilia inayotumika kwenye magari ikiwa na lengo la kuchangia mfuko wa kutengeneza barabara na kuleta usawa kwa magari yanayotumia mafuta.

Swali langu kwa Mwigulu, kwanini ahangaike na kuleta usawa na kitu ambacho hakizalishwi nchini? Haitapunguza morali ya kuhamia kwenye gesi na kupunguza matumizi ya fedha za kigeni kuagizia mafuta ambazo sasa zinatafutwa kwa tochi!
Hakuna ubunifu yaani tuna mawaziri wa hovyo kabisa
 
Bajeti ya Mwigulu Nchemba inayosomwa leo imependekeza tozo ya Tshs 382 kwa kila kilo ya gesi asilia inayotumika kwenye magari ikiwa na lengo la kuchangia mfuko wa kutengeneza barabara na kuleta usawa kwa magari yanayotumia mafuta.

Swali langu kwa Mwigulu, kwanini ahangaike na kuleta usawa na kitu ambacho hakizalishwi nchini? Haitapunguza morali ya kuhamia kwenye gesi na kupunguza matumizi ya fedha za kigeni kuagizia mafuta ambazo sasa zinatafutwa kwa tochi!
Kama hamtaki kulipa hamieni Burundi.
 
Not very smart, gas ya kwetu wenyewe hatutumii pesa za kigeni kuagiza, angekuwa na akili angepunguza zaidi na kushauri watu wengi zaidi waingie kwenye gas ili kupunguza matumizi ya mafuta, sasa tunarudi kwenye petrol ambayo lazima tuagize kwa pesa za kigeni ambazo hatuna.

Huu ujinga wa wanasiasa wasiofikiria ni majanga kwa Taifa, kwa wasiojua mafuta ya petrol/diesel ndio yanagharimu pesa nyingi sana Serikali kuliko kitu chochote na lazima yalipwe in dollars, wangekuwa na akili wangepunguza kodi kwenye magari ya umeme na vifaa vote vya umeme wa jua, pesa za kigeni zitumike kuagiza mitambo mizito ya kujenga base za maendeleo.
 
Bajeti ya Mwigulu Nchemba inayosomwa leo imependekeza tozo ya Tshs 382 kwa kila kilo ya gesi asilia inayotumika kwenye magari ikiwa na lengo la kuchangia mfuko wa kutengeneza barabara na kuleta usawa kwa magari yanayotumia mafuta.

Swali langu kwa Mwigulu, kwanini ahangaike na kuleta usawa na kitu ambacho hakizalishwi nchini? Wewe unazalisha gesi halafu unataka iwe sawa na mafuta usiyozalisha, hadi baba wa demokrasia Marekani kila siku anadhibiti bidhaa asizolisha kutoka China japo kinyume na sera ya biashara huru!

Haitapunguza morali ya kuhamia kwenye gesi na ambayo inapunguza matumizi ya fedha za kigeni kuagizia mafuta ambazo sasa zinatafutwa kwa tochi! Hata watu binafsi wanaoanza kuwekeza kwenye vituo vya kujazia gesi vilivyo haba wataanza kutafuta biashara nyingine kwani huku hakuna ishara njema tena.

Napendekeza waache watumiaji waongezeke, wakiwa wengi waweke tozo ndogo isiyo na athari ya chini ya tshs 100, kwasababu watakuwa wengi wakati ujao wakiichangia kidogo kidogo itakuwa kubwa kuliko kuharibu sasa na kuendelea kuhangaika na uhaba wa dola.
Dah!!! Hii nchi tutakimbilia wapi Sasa?? Huyu mama na vijana wake Wana shida gani?
 
Bajeti ya Mwigulu Nchemba inayosomwa leo imependekeza tozo ya Tshs 382 kwa kila kilo ya gesi asilia inayotumika kwenye magari ikiwa na lengo la kuchangia mfuko wa kutengeneza barabara na kuleta usawa kwa magari yanayotumia mafuta.

Swali langu kwa Mwigulu, kwanini ahangaike na kuleta usawa na kitu ambacho hakizalishwi nchini? Wewe unazalisha gesi halafu unataka iwe sawa na mafuta usiyozalisha, hadi baba wa demokrasia Marekani kila siku anadhibiti bidhaa asizolisha kutoka China japo kinyume na sera ya biashara huru!

Haitapunguza morali ya kuhamia kwenye gesi na ambayo inapunguza matumizi ya fedha za kigeni kuagizia mafuta ambazo sasa zinatafutwa kwa tochi! Hata watu binafsi wanaoanza kuwekeza kwenye vituo vya kujazia gesi vilivyo haba wataanza kutafuta biashara nyingine kwani huku hakuna ishara njema tena.

Napendekeza waache watumiaji waongezeke, wakiwa wengi waweke tozo ndogo isiyo na athari ya chini ya tshs 100, kwasababu watakuwa wengi wakati ujao wakiichangia kidogo kidogo itakuwa kubwa kuliko kuharibu sasa na kuendelea kuhangaika na uhaba wa dola.
Imekua poa
 
Bajeti ya Mwigulu Nchemba inayosomwa leo imependekeza tozo ya Tshs 382 kwa kila kilo ya gesi asilia inayotumika kwenye magari ikiwa na lengo la kuchangia mfuko wa kutengeneza barabara na kuleta usawa kwa magari yanayotumia mafuta.

Swali langu kwa Mwigulu, kwanini ahangaike na kuleta usawa na kitu ambacho hakizalishwi nchini? Wewe unazalisha gesi halafu unataka iwe sawa na mafuta usiyozalisha, hadi baba wa demokrasia Marekani kila siku anadhibiti bidhaa asizolisha kutoka China japo kinyume na sera ya biashara huru!

Haitapunguza morali ya kuhamia kwenye gesi na ambayo inapunguza matumizi ya fedha za kigeni kuagizia mafuta ambazo sasa zinatafutwa kwa tochi! Hata watu binafsi wanaoanza kuwekeza kwenye vituo vya kujazia gesi vilivyo haba wataanza kutafuta biashara nyingine kwani huku hakuna ishara njema tena.

Napendekeza waache watumiaji waongezeke, wakiwa wengi waweke tozo ndogo isiyo na athari ya chini ya tshs 100, kwasababu watakuwa wengi wakati ujao wakiichangia kidogo kidogo itakuwa kubwa kuliko kuharibu sasa na kuendelea kuhangaika na uhaba wa dola.
👍👌👏🤝🛡️
 
Back
Top Bottom