zero to hero 199
Member
- Sep 8, 2021
- 55
- 78
Bwana mkubwa kukwazika na mambo ya watu kiasi iko ni mental illness jaribu kujitafakari naamini sio hili tu la watu kuweka status najua kuna mengi unakwazika kuusu watu wasiokuhusu if you want to live free husijihusishe na mambo ya watu yawe mema au mabaya pita kushotoembu tulia bwana mdogo
Telegram sio league za whatsapp kabisa,yaani ukitumia whatsapp unaona kama ya kitoto.Wenzao kule Telegram unaweza kuweka series ya 24 hours seasons zote.
Kwa iyo ukiona viewers pale 400+ unafurahi mwenyewemimi huwa siweki status nyingi.....ila napost chochote ntakachoamua
Naona umedhamiria.. unaandika gazeti kama kule statuz[emoji3][emoji3]Bwana mkubwa kukwazika na mambo ya watu kiasi iko ni mental illness jaribu kujitafakari naamini sio hili tu la watu kuweka status najua kuna mengi unakwazika kuusu watu wasiokuhusu if you want to live free husijihusishe na mambo ya watu yawe mema au mabaya pita kushoto
WhatsApp imeanza kufanya majaribio ya kuongeza urefu wa video ambayo mtu anaweza kuweka katika sehemu ya WhatsApp Status.
WhatsApp imeanza kuweka limit ya dakika 1 (sekunde 60) katika video za WhatsApp Status. Kwa kawaida limit yake ni sekunde 30!
Majaribio haya yameanza kwa watumiaji wa Android.
Uwa na hide views mkuu.Kwa iyo ukiona viewers pale 400+ unafurahi mwenyewe
[emoji23][emoji23][emoji23] na sasahiv wamewekewa sekunde 60 mbona itakua balaa..Now days WhatsApp status kwenye list ya contacts zangu naona hakuna cha maana aisee ni memes ...video za kipuuzi tuu...kuna wale wanaweka status mpk inakua vidoti
Kweli bhana hata mimi niliwahi itumia hiyoKuna mode flani ya WhatsApp nilikuwa natumia, ilikuwa inaweka status hadi ya dakika 5.
Sema ndio hivo tena wameifunga.
Aiseee yani ni ku mute tuu mana hakuna cha maana kama hutaki kumaliza MB zako bora watu uwa mute maana ukiangalia every single day mtu anapost memes zinafika mpaka ike cycle inakua vi nukta[emoji23][emoji23][emoji23] na sasahiv wamewekewa sekunde 60 mbona itakua balaa..