Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Kwa siku matumizi yangu ni around 3GBspeed hiyo mtu anakwambia kwa siku nzima huwezi tumia zaidi ya GB 60
Hivi mnadhani ni Movie tuu ndio zinakula bando eeh? hamjui matumizi mengineUnlimited ya halotel ya 1500 kuanzia saa 6 usiku to saa 12 atakuwa anakesha dah.
Haya mambo yana watu wake, akina DJ mack, Dj Murphy kwenye download movie.
Subilia wataalum wa heavy user wanakuja
Wakuu nasumbuka sana, nimenunua smile kumbe ni hovyo, halotel nayo hovyo japo wanaisifia hapa, labda wameiboresha? Ttcl ndo takataka kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu unahitaji flagship angalau kuanzia mwaka 2015 simu kama note 5 ama s6 kupanda, ikiwa s7, s8, s9, s10,s20 ni bora zaidi, na sio lazima iwe ya samsung kampuni yoyote kubwa inayotumia snapdragon soc inafaa, ikiwa oneplus, sony, lg, xiaomi etc cha muhimu iwe na snapdragon highend kama sd 820, 835, 845, 855, 865 etc. ili upate speed kubwa halotel simu yako inabidi iwe na;
1.mimo 2x2 hii ni multiple input na output, uwezo wa simu kupokea mawimbi minara miwili kwa mpigo inaongeza sana speed.
2. band 2600 ya 4g, hii inapatiakana simu chache, michina mingi hawana
3. download speed kubwa na upload kubwa, gigabit lte inapendeza zaidi, kuna simu zina lte lakini lte yake haina nguvu ni 150mbps tu.
hivyo ukikidhi vigezo vya kuwa na simu nzuri kama nilivyosema hapo juu hayo mambo matatu hatakusumbua. unaunga tu kifurushi na ku enjoy.
Yes ni kweli boss, huduma ya zuku ni nzuri na ni bora kabisa kwa sasa, wateja wetu wengi wanaipenda mnoo, jamkKuna Jamaa alisema ZUKU wana internet very cheap...ni FIBER na unapewa na IPTV.. hebu check kwa website yao
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu karibu zuku fiber, changamoto tupo maeneo haya, masaki, msasani,kinondoni,upanga, kkoo na oysterbay. Internet ya uhakika na yenye kasi. Tuwasiliane.Wakuu nasumbuka sana, nimenunua smile kumbe ni hovyo, halotel nayo hovyo japo wanaisifia hapa, labda wameiboresha? Ttcl ndo takataka kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni laini yoyote mkuu haina ulazima iwe ya chuo ila kwa sasa waambie wakupe ya 4g zile za zamani zina 3g tuHii Halotel ni kwa line zote au ni zile za chuo tu na baadhi baadhi?
Vipi Halotel wanakuwa na moderm za ku support hiyo speed, maana natumia kwenye comuter mainly, sasa kutumia hotspot ya simu sana kumeua betri ya simu yangusoma hii comment hapa chini halafu rudi tumia Halotel tena baada ya kuielewa hii comment vizuri
👇👇👇
Ni kweli zuku wana internet ya fibre inacharaza sanaKuna Jamaa alisema ZUKU wana internet very cheap...ni FIBER na unapewa na IPTV.. hebu check kwa website yao
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni mgeni kwenye Halotel,baada yakufungua hii threadVipi Halotel wanakuwa na moderm za ku support hiyo speed, maana natumia kwenye comuter mainly, sasa kutumia hotspot ya simu sana kumeua betri ya simu yangu
shukrani mkuuni laini yoyote mkuu haina ulazima iwe ya chuo ila kwa sasa waambie wakupe ya 4g zile za zamani zina 3g tu
Sent using Jamii Forums mobile app
kwann mpo tu huko mjini tu na msije huku ndani ndani kama wenzenu?Yes ni kweli boss, huduma ya zuku ni nzuri na ni bora kabisa kwa sasa, wateja wetu wengi wanaipenda mnoo, jamk
Mkuu karibu zuku fiber, changamoto tupo maeneo haya, masaki, msasani,kinondoni,upanga, kkoo na oysterbay. Internet ya uhakika na yenye kasi. Tuwasiliane.
Mkuu pole Sana. Na mimi naomba kuulizia Kama una namna naweza pata free DStv mkuu. Natanguliza shukrani zangu za dhatiNi katika kuelimishana tu na kushtuana kama ilivyokua kipindi kile wakati nikijiona mjanja kulipia DSTV package na kupata vitu vizuri kumbe kuna wajanja wanakula channel zangu za DSTV kwa kutumia huduma za cable, FTA DISH, nk nk. Baada ya kusanuka nikaingia ulimwengu ule nilijishangaa sana kwa kuchelewa kujua vitu.
Sasa leo nimekuja kuulizia tena katika suala la internet. Wenzangu nyie mnatumia kampuni gani kurahisisha mambo, au mnatumia nini kupata Unlimited Data Flow yenye bei nafuu, na bado mkapata kile mlichokihitaji na huduma bora 24hrs?
Kwa upande wangu mimi nilikua mteja wa TTCL kwa muda sana ila baadaye huduma zao zikawa mbovu na takataka kabisa; nikaachana nao nikaamua kuwa mteja wa kampuni moja hivi ya Liquid Telecom ambayo nipo nayo mwaka wa pili huu; hadi hivi sasa sina tatizo nao ila tu kuna vitu nataka kufahamu zaidi kutoka kwa watumiaji wengine.
TTCL kabla sijawaacha kwenye mataa nilikua natumia kifurishi chao cha
Business Gold 3Mbps 126,000.00/=
Kwa hawa marafiki zangu Liquid wananipa tabasamu kila iitwapo leo, na kifurushi changu ni cha speed ile ile 3Mbps kinanitosha sana ambacho kwa hawa wao hawana 3Mbps, wao wameanzia
Wakaenda kwa speed tofauti to 8Mbps ambayo wao wanacharge 180 dollar. Basi hawa ndio Liquid ambao kwangu mimi sioni shida kutoka kwao zaidi tu ni burudani ila sitaki kujiona nina tabasaamu kumbe kuna wenzangu mpo mmeuchuna mahali mnakula tu vitu kama ilivyokua kwenye TV.
- 1mbpd, Dedicated Burst up to 5Mbps @ 75 dollar (hiki ndio kifurushi changu)
Hapa leo nimekuja nahitaji kujua kama kuna kampuni mnayoifahamu inayoizidi Liquid na wenye bei pungufu yao au kama kuna njia nyingine naweza itumia kupata internet unlimited sio kupimiwa halafu mseme ni unlimited kama walivyo Tigo, Voda na mitandao mingine wanaojitangaza wanatoa unlimited wakati ni limited packages.
Karibuni:
Ni kwa wale Heavy Users tu wa internet jamani na walio in this game not less than 2 years. Naombeni ushauri wenu/ushuhuda na vyovyote mnavyoweza nishauri maisha yakazidi kuwa mazuri na matamu zaidi.
Nawasilisha.
Hiyo Zuku unaipataje?? SielewiMi natumia zuku mkuu, 10 mbps 69,000. Ila ipo mijini tu, na siku hizi wana offer uki renew kabla ya tarehe kuisha wana double speed inakuwa 20mbps.
Kama upo pembezoni vifurushi vya usiku ndio best bet tafuta simu nzuri yenye flagship soc hata kama ya zamani kidogo utapata speed nzuri ya 4g. Kwa halotel unaweza download hadi GB 100 kwa usiku mmoja.
Numbers never lie, kwa hicho Kifurushi cha 5 megabits per second ni ndoto kutumia hayo matumizi yako mkuu, au ulisahau kuongeza sifuru kwenu hio 5Tufanye nimewapikia chai,mimi sinaga Muda kumuelekeza mtu
kitu ninachofanya maana hakiwezi kukusaidia kwa namna yeyote ile.
Hamnaga Free DSTV mkuu,labda niwe sijakuelewa.Mkuu pole Sana. Na mimi naomba kuulizia Kama una namna naweza pata free DStv mkuu. Natanguliza shukrani zangu za dhati
Sent using Jamii Forums mobile app
1. Uwe maeneo ya mjini posta, kariakoo, upanga masaki penisula, mpaka kinondoni ya Morocco.
Line yoyote ya kawaida na kifurushi ni cha usiku saa 6 mpaka 12 asubuhi.Hapo nimekuelewa sana chief,naomba nisaidie kunitajia simu walau 3 unazozikubali
ambazo unaamini kbsa zinaweza kunifaa,nitajie brand yyte (isiwe iphone) halafu mwisho
tumalizie kwenye hawa Halotel wenyewe,ni laini gani hiyo na ni kifurushi kipi ambacho ntajiunga
cha kuweza nipatia hizo unlimited,laini ni yeyote tu hz zinazopatkana kwa mawakala mitaani
au kuna special line ambazo zinakua na hizo ofa,na upatikanaji wake upo vipi?
Line yoyote ya kawaida na kifurushi ni cha usiku saa 6 mpaka 12 asubuhi.
Simu nimezisort kwa soc ambazo bei zake si ghali sana laki 5 kushuka
Phone Finder results - GSMArena.com
Phone Finder results - GSMArena.com
Phone Finder results - GSMArena.com
Na kwa mimi ninayoikubali ni oneplus 5/5t zimeshuka bei sana siku hizi around $200 na zina specs nzuri.
Most ya hizo router ulizotaja zinakupa wifi ila hazina source ya internet, ili zikupe speed kubwa itabidi utumie modem nzuri ama uwe na fiber internet yenye speed kubwa.Chief nina swali,kati ya simu na hizi Router kama tp link na d link au kina netgear
ipi Bora kiufanisi? kwasababu lengo si mawasiliano lengo ni internet na speed nzuri
sasa kati ya hizo simu hapo juu lizoniorodheshea na hizi router kwa ushauri wako
wa kitaalamu unashauri mtu anunue simu au anunue hizi router? na katika hizo router
ni zipi unazozikubali kwa utendaji kazi uliotukuka? nazo umeziweka ktk makundi kama simu
au zenyewe umeziweka ktk mpangilio wa aina gani,suala letu ni maxmum speed Real 4G
Chief-Mkwawa
Halotel Router zao wanaziuzaje kwani na zinapatikana kwa sasa?Most ya hizo router ulizotaja zinakupa wifi ila hazina source ya internet, ili zikupe speed kubwa itabidi utumie modem nzuri ama uwe na fiber internet yenye speed kubwa.
Kwa mitandao yetu hii ya kibongo bongo hizi 4g router za kampuni kama Huawei na zte zinamake sense zaidi, tafuta tu angalau yenye Lte Advance speed kuanzia 300mbps. Nyingi zinakuwa ni 150mbps ambazo ni basic lte hazina speed sana. Bila kusahau kuangalia band, halotel ni 2600 ni router chache zina hio band.