Watumishi 15,578 waliobainika kughushi vyeti na kupata ajira hawastahili kurudishwa kazini wala kulipwa malipo yoyote!

Ccm yenyewe huiba kura sembuse waliofoji vyeti?
Ndio maana tunahitaji katiba itakayowatoa hawa mahayawani madarakani. Unapohalalisha kosa moja kwa kulinganisha na kosa lingine, huku ukionekana msomi kabisa...it raises eyebrows!

Mtu mwizi ni mwizi tu, anastahili adhabu, haijalishi kaiba kwa kalam au silaha. Hili linchi kimekuwa hovyo sana, watu wake tumékuwa wa hovyo zaidi.
 
Huu ndio ukweli wenyewe
 
Roho mbaya za kubaniana mbona kikwete aliwalipa wote hao na kuajiri maelfu ya vijana kuanzia ualimu Hadi udaktari

Mumshukuru sana Magufuli aliishia kuwafuta ktk ajira lakn laiti mimi ndie ningekuwa Rais wa nchi ningewapandisha mahakamani kwa makosa ya ubadhirifu, uhujumu uchumi na kughushi

Watu wanahangaika kuitafuta elimu ya kweli ila nyinyi mnatumia shortcut ku-make life
 
Elon musk huajiri watu bila kujali sana vyeti bali weledi, hio ni kauli yake ipo mitandaoni.
Ana maarifa makubwa sana ya Rocket science hajasomea chuo chochote diniani na hana cheti .
Ameanzisha dhule kwa ajili ya watoto wake isiojali vyeti bali maarifa.
Hilo lizungu lina akili kuliko watanzania wote ila sisi tunajifanya tunajua kuliko wajuzi wanaounda vitu.
Kuna mdada mmoja USA ni self made engineer ameshiriki project nyingi na hana vyeti, anaitwa elieti nendeni you tube mtaona project zake.
Waafrika umasikini wa akili unatusimbua, tunajali vyeti hata mashine ya kuunda njiti za kibiri hatuwezi upumbavu tu unatusumbua.
 
You are so wise I admired your comment
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…