ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Ndio maana tunahitaji katiba itakayowatoa hawa mahayawani madarakani. Unapohalalisha kosa moja kwa kulinganisha na kosa lingine, huku ukionekana msomi kabisa...it raises eyebrows!Ccm yenyewe huiba kura sembuse waliofoji vyeti?
Mtu mwizi ni mwizi tu, anastahili adhabu, haijalishi kaiba kwa kalam au silaha. Hili linchi kimekuwa hovyo sana, watu wake tumékuwa wa hovyo zaidi.