Watumishi 22 TRA kuchunguzwa, madai kubambikia watu kodi yatajwa

Watumishi 22 TRA kuchunguzwa, madai kubambikia watu kodi yatajwa

gimmy's

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2011
Posts
3,312
Reaction score
3,345

Waziri wa Fedha, usiwatoe kafara watendaji wako. Wewe ndiye chanzo cha mayowe ya kodi kandamizi kwa wafanyabiashara​

Ndugu zangu wanabodi, huwa napenda sana kuishi kwa kujifunza kutoka kwenye hotuba za viongozi na kupitia hotuba hizo huwa nanyakuwa baadhi ya mambo ambayo kwangu ninayoyaona yanamantiki.

Ipo hotuba moja iliwahi kutolewa na Rais wa sasa Mh. Magufuli na kwenye hotuba hio alikuwa akilalamika kwamba licha ya tanzania kuwa na idadi kubwa ya watu kuliko nchi zilizotuzunguka lakini ndio nchi ambayo idadi yake ya walipakodi (tax base) ni ndogo kuliko nchi ambazo zinawananchi(population) wachache. Ni dhihiri hapa ndipo kulitakiwa kuwekewe mkazo lakini badala yake kodi inakusanywa kwa faini na kubambikizia wafanyabiashara kodi kubwa.

Zipo taarifa zinazagaa kwamba TRA wapewa target yakukusanya trilioni mbili kwa mwezi. Mimi sina tatizo na hili lakini tatizo langu ni mkakati haramu uliolenga kuwaongezea na kuwabambikizia wafanyabiashara kodi ili ku meet target.

Mh. Mpango anapaswa kujua hawa watendaji 22 aliowasimamisha kazi wapo ambao wamelazimika kuwabambikizia kodi kubwa wafanyabiashara ili kulinda nafasi zao kwani wasipofikia lengo nafasi zao zipo mashakani.

Mh mpango anapaswa kujua hii target ya trillion mbili kwa mwezi imekua si mwiba tu kwa wafanyabiashara ila pia imekua ndio chanzo cha wafanyakazi wa TRA kukosa uadilifu.

Nasisitiza mtambue hali huku mtaani imekua mbaya sana, zamani watu walikua wakiogopa polisi lakini leo TRA wanahofiwa zaidi ya chochote.

Nimelizie kwakisema kama chanzo cha haya machungu tunayoyapitia wananchi kwa sasa ni umeme wa Stigglers basi ni heri tukarudi kwenye mgao wa umeme hii miradi ikasimama kuliko haya mateso ya TRA.

Mh Mpango nakusihi twendeni taratibu tutafika lakini huu mwendo wa sasa sio sawa na mayoe yataendelea kuwa mengi kila mahali.

====

Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango ameagiza watumishi 22 wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kusimamishwa kazi kupisha uchunguzi wa tuhuma zinazowakabili.

Amesema wameshindwa kutekeleza majukumu yao ipasavyo kwa kujihusisha na ufisadi na kuikosesha Serikali mapato na kumtaka kamishna mkuu wa mamlaka hiyo, Dk Edwin Mhede kuwasimamisha kazi.

Amebainisha kuwa wanatuhumiwa kujihusisha na vitendo vya rushwa, kutosimamia ipasavyo matumizi ya mashine za kutolea stakabadhi (EFD’s), kuwabambikia kodi kubwa wafanyabiashara na kuagiza apatiwe taarifa ya utekelezaji wa maelekezo yake ndani ya siku 90 kuanzia leo.

Dk Mpango ametoa maagizo hayo leo Jumatano Desemba 16, 2020 mjini Dodoma katika kikao kilichozihusisha bodi za wakurugenzi, menejimenti na mameneja wa mikoa wa mamlaka hiyo.

Lengo la kikao hicho ilikuwa kupanga mikakati namna ya kuboresha mazingira ya ufanyaji biashara nchini pamoja na kuongeza wigo wa ukusanyaji wa mapato ya kodi na maduhuli ya Serikali.

“Nakuagiza kamishna mkuu uwapumzishe kazi kuanzia leo kwa mujibu wa kanuni ya 37 ya Kanuni za Utumishi wa Umma za Mwaka 2003 na umwagize mkuu wa idara ya mambo ya ndani awachunguze wahusika wote ndani ya siku 90 na nipatiwe nakala ya taarifa hiyo ya uchunguzi na hatua zilizochukuliwa dhidi ya kila mmoja wao,” amesema Dk Mpango


Chanzo: Mwananchi
 
Nilipo sema suala la hizi kodi luchunguzwe wengi hasa wale nduguzangu wa ufipa walinibeza. Lakni sasa hivi sheria imefuata mkondo kelele zimekuwa kibao.Kwa taarifa tu wengi sana linawahusu hili hasa maafisa wa TRA waliohusika.
 
Yale maandamano aliyikuwa anahamasisha CHADEMA kwa sasa yataamka siku moja kwa kuhamasishwa na ubambikiaji kesi
 
Tulipe kodi kwa maendeleo ya nchi yetu au nasema uongo ndugu zanguuu
 
Tukusanye kodi kwa weledi na siyo kulazimisha ubambikaji ili mradi kufikia malengo. Waziri waelekeze TRA wawe wabunifu siyo kutumia nguvu tu Mhede ameshindwa kuibadili TRA.
 

Waziri wa Fedha, usiwatoe kafara watendaji wako. Wewe ndiye chanzo cha mayowe ya kodi kandamizi kwa wafanyabiashara​

Ndugu zangu wanabodi, huwa napenda sana kuishi kwa kujifunza kutoka kwenye hotuba za viongozi na kupitia hotuba hizo huwa nanyakuwa baadhi ya mambo ambayo kwangu ninayoyaona yanamantiki.

Ipo hotuba moja iliwahi kutolewa na Rais wa sasa Mh. Magufuli na kwenye hotuba hio alikuwa akilalamika kwamba licha ya tanzania kuwa na idadi kubwa ya watu kuliko nchi zilizotuzunguka lakini ndio nchi ambayo idadi yake ya walipakodi (tax base) ni ndogo kuliko nchi ambazo zinawananchi(population) wachache. Ni dhihiri hapa ndipo kulitakiwa kuwekewe mkazo lakini badala yake kodi inakusanywa kwa faini na kubambikizia wafanyabiashara kodi kubwa.

Zipo taarifa zinazagaa kwamba TRA wapewa target yakukusanya trilioni mbili kwa mwezi. Mimi sina tatizo na hili lakini tatizo langu ni mkakati haramu uliolenga kuwaongezea na kuwabambikizia wafanyabiashara kodi ili ku meet target.

Mh. Mpango anapaswa kujua hawa watendaji 22 aliowasimamisha kazi wapo ambao wamelazimika kuwabambikizia kodi kubwa wafanyabiashara ili kulinda nafasi zao kwani wasipofikia lengo nafasi zao zipo mashakani.

Mh mpango anapaswa kujua hii target ya trillion mbili kwa mwezi imekua si mwiba tu kwa wafanyabiashara ila pia imekua ndio chanzo cha wafanyakazi wa TRA kukosa uadilifu.

Nasisitiza mtambue hali huku mtaani imekua mbaya sana, zamani watu walikua wakiogopa polisi lakini leo TRA wanahofiwa zaidi ya chochote.

Nimelizie kwakisema kama chanzo cha haya machungu tunayoyapitia wananchi kwa sasa ni umeme wa Stigglers basi ni heri tukarudi kwenye mgao wa umeme hii miradi ikasimama kuliko haya mateso ya TRA.

Mh Mpango nakusihi twendeni taratibu tutafika lakini huu mwendo wa sasa sio sawa na mayoe yataendelea kuwa mengi kila mahali.

====



Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango ameagiza watumishi 22 wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kusimamishwa kazi kupisha uchunguzi wa tuhuma zinazowakabili.
Advertisement

Dar es Salaam. Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango ameagiza watumishi 22 wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kusimamishwa kazi kupisha uchunguzi wa tuhuma zinazowakabili.

Amesema wameshindwa kutekeleza majukumu yao ipasavyo kwa kujihusisha na ufisadi na kuikosesha Serikali mapato na kumtaka kamishna mkuu wa mamlaka hiyo, Dk Edwin Mhede kuwasimamisha kazi.
Amebainisha kuwa wanatuhumiwa kujihusisha na vitendo vya rushwa, kutosimamia ipasavyo matumizi ya mashine za kutolea stakabadhi (EFD’s), kuwabambikia kodi kubwa wafanyabiashara na kuagiza apatiwe taarifa ya utekelezaji wa maelekezo yake ndani ya siku 90 kuanzia leo.
Dk Mpango ametoa maagizo hayo leo Jumatano Desemba 16, 2020 mjini Dodoma katika kikao kilichozihusisha bodi za wakurugenzi, menejimenti na mameneja wa mikoa wa mamlaka hiyo.
Lengo la kikao hicho ilikuwa kupanga mikakati namna ya kuboresha mazingira ya ufanyaji biashara nchini pamoja na kuongeza wigo wa ukusanyaji wa mapato ya kodi na maduhuli ya Serikali.

“Nakuagiza kamishna mkuu uwapumzishe kazi kuanzia leo kwa mujibu wa kanuni ya 37 ya Kanuni za Utumishi wa Umma za Mwaka 2003 na umwagize mkuu wa idara ya mambo ya ndani awachunguze wahusika wote ndani ya siku 90 na nipatiwe nakala ya taarifa hiyo ya uchunguzi na hatua zilizochukuliwa dhidi ya kila mmoja wao,” amesema Dk Mpango

Chanzo: Mwananchi
Viongozi wa Chadema wamekuwa wanakwepa kodi, na kusababisha hasara kwa taifa, walikuwa wanaingiza magari kwa kudanganya ni mali ya Chadema wakati ni uongo.

Waziri wa fedha kuweka target ya tril mbili sio kuwa ameruhusu utovu nidhamu na kubambikia watu kodi ni ruksa.
 
Duhhh....ukifanya kazi uliyoelekezwa unabanwa. Usipofanya kazi pia unabanwa. Nawaonea huruma watumishi wa umma.
 
Nchi ya ajabu sana kutokana na hawa wahuni, ndio maana wawekezaji na wafanyabiashara wakubwa wanaikimbia.
 

Waziri wa Fedha, usiwatoe kafara watendaji wako. Wewe ndiye chanzo cha mayowe ya kodi kandamizi kwa wafanyabiashara​

Ndugu zangu wanabodi, huwa napenda sana kuishi kwa kujifunza kutoka kwenye hotuba za viongozi na kupitia hotuba hizo huwa nanyakuwa baadhi ya mambo ambayo kwangu ninayoyaona yanamantiki.

Ipo hotuba moja iliwahi kutolewa na Rais wa sasa Mh. Magufuli na kwenye hotuba hio alikuwa akilalamika kwamba licha ya tanzania kuwa na idadi kubwa ya watu kuliko nchi zilizotuzunguka lakini ndio nchi ambayo idadi yake ya walipakodi (tax base) ni ndogo kuliko nchi ambazo zinawananchi(population) wachache. Ni dhihiri hapa ndipo kulitakiwa kuwekewe mkazo lakini badala yake kodi inakusanywa kwa faini na kubambikizia wafanyabiashara kodi kubwa.

Zipo taarifa zinazagaa kwamba TRA wapewa target yakukusanya trilioni mbili kwa mwezi. Mimi sina tatizo na hili lakini tatizo langu ni mkakati haramu uliolenga kuwaongezea na kuwabambikizia wafanyabiashara kodi ili ku meet target.

Mh. Mpango anapaswa kujua hawa watendaji 22 aliowasimamisha kazi wapo ambao wamelazimika kuwabambikizia kodi kubwa wafanyabiashara ili kulinda nafasi zao kwani wasipofikia lengo nafasi zao zipo mashakani.

Mh mpango anapaswa kujua hii target ya trillion mbili kwa mwezi imekua si mwiba tu kwa wafanyabiashara ila pia imekua ndio chanzo cha wafanyakazi wa TRA kukosa uadilifu.

Nasisitiza mtambue hali huku mtaani imekua mbaya sana, zamani watu walikua wakiogopa polisi lakini leo TRA wanahofiwa zaidi ya chochote.

Nimelizie kwakisema kama chanzo cha haya machungu tunayoyapitia wananchi kwa sasa ni umeme wa Stigglers basi ni heri tukarudi kwenye mgao wa umeme hii miradi ikasimama kuliko haya mateso ya TRA.

Mh Mpango nakusihi twendeni taratibu tutafika lakini huu mwendo wa sasa sio sawa na mayoe yataendelea kuwa mengi kila mahali.

====



Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango ameagiza watumishi 22 wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kusimamishwa kazi kupisha uchunguzi wa tuhuma zinazowakabili.
Advertisement

Dar es Salaam. Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango ameagiza watumishi 22 wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kusimamishwa kazi kupisha uchunguzi wa tuhuma zinazowakabili.

Amesema wameshindwa kutekeleza majukumu yao ipasavyo kwa kujihusisha na ufisadi na kuikosesha Serikali mapato na kumtaka kamishna mkuu wa mamlaka hiyo, Dk Edwin Mhede kuwasimamisha kazi.
Amebainisha kuwa wanatuhumiwa kujihusisha na vitendo vya rushwa, kutosimamia ipasavyo matumizi ya mashine za kutolea stakabadhi (EFD’s), kuwabambikia kodi kubwa wafanyabiashara na kuagiza apatiwe taarifa ya utekelezaji wa maelekezo yake ndani ya siku 90 kuanzia leo.
Dk Mpango ametoa maagizo hayo leo Jumatano Desemba 16, 2020 mjini Dodoma katika kikao kilichozihusisha bodi za wakurugenzi, menejimenti na mameneja wa mikoa wa mamlaka hiyo.
Lengo la kikao hicho ilikuwa kupanga mikakati namna ya kuboresha mazingira ya ufanyaji biashara nchini pamoja na kuongeza wigo wa ukusanyaji wa mapato ya kodi na maduhuli ya Serikali.

“Nakuagiza kamishna mkuu uwapumzishe kazi kuanzia leo kwa mujibu wa kanuni ya 37 ya Kanuni za Utumishi wa Umma za Mwaka 2003 na umwagize mkuu wa idara ya mambo ya ndani awachunguze wahusika wote ndani ya siku 90 na nipatiwe nakala ya taarifa hiyo ya uchunguzi na hatua zilizochukuliwa dhidi ya kila mmoja wao,” amesema Dk Mpango

Chanzo: Mwananchi
Bado haitoshi ,serikali itapata pesa nyingi, Kama itawahakikishia usalama wao katika biashara zidi ya Hawa wanyanganyi,TRA wanakwiba Sana
SERIKALI undeni task force kila wilaya, mtashangaa,Hawa jamaa wanapiga Sana pesa za serikali hasa za kukwiba pitia MGONGO wa kukusanya kodi, wao ukibishana nao Wana likofuli lao wanafunga ofisi,na wanaandika ofisi umefungwa, unajiuliza Hata Kama mtu anadaiwa unawaka likofuli lako Sasa Hata pesa za kukulipa atatoa wapi ?so mpaka walitoe mtu kaisha pigwa
 

Waziri wa Fedha, usiwatoe kafara watendaji wako. Wewe ndiye chanzo cha mayowe ya kodi kandamizi kwa wafanyabiashara​

Ndugu zangu wanabodi, huwa napenda sana kuishi kwa kujifunza kutoka kwenye hotuba za viongozi na kupitia hotuba hizo huwa nanyakuwa baadhi ya mambo ambayo kwangu ninayoyaona yanamantiki.

Ipo hotuba moja iliwahi kutolewa na Rais wa sasa Mh. Magufuli na kwenye hotuba hio alikuwa akilalamika kwamba licha ya tanzania kuwa na idadi kubwa ya watu kuliko nchi zilizotuzunguka lakini ndio nchi ambayo idadi yake ya walipakodi (tax base) ni ndogo kuliko nchi ambazo zinawananchi(population) wachache. Ni dhihiri hapa ndipo kulitakiwa kuwekewe mkazo lakini badala yake kodi inakusanywa kwa faini na kubambikizia wafanyabiashara kodi kubwa.

Zipo taarifa zinazagaa kwamba TRA wapewa target yakukusanya trilioni mbili kwa mwezi. Mimi sina tatizo na hili lakini tatizo langu ni mkakati haramu uliolenga kuwaongezea na kuwabambikizia wafanyabiashara kodi ili ku meet target.

Mh. Mpango anapaswa kujua hawa watendaji 22 aliowasimamisha kazi wapo ambao wamelazimika kuwabambikizia kodi kubwa wafanyabiashara ili kulinda nafasi zao kwani wasipofikia lengo nafasi zao zipo mashakani.

Mh mpango anapaswa kujua hii target ya trillion mbili kwa mwezi imekua si mwiba tu kwa wafanyabiashara ila pia imekua ndio chanzo cha wafanyakazi wa TRA kukosa uadilifu.

Nasisitiza mtambue hali huku mtaani imekua mbaya sana, zamani watu walikua wakiogopa polisi lakini leo TRA wanahofiwa zaidi ya chochote.

Nimelizie kwakisema kama chanzo cha haya machungu tunayoyapitia wananchi kwa sasa ni umeme wa Stigglers basi ni heri tukarudi kwenye mgao wa umeme hii miradi ikasimama kuliko haya mateso ya TRA.

Mh Mpango nakusihi twendeni taratibu tutafika lakini huu mwendo wa sasa sio sawa na mayoe yataendelea kuwa mengi kila mahali.

====



Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango ameagiza watumishi 22 wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kusimamishwa kazi kupisha uchunguzi wa tuhuma zinazowakabili.
Advertisement

Dar es Salaam. Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango ameagiza watumishi 22 wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kusimamishwa kazi kupisha uchunguzi wa tuhuma zinazowakabili.

Amesema wameshindwa kutekeleza majukumu yao ipasavyo kwa kujihusisha na ufisadi na kuikosesha Serikali mapato na kumtaka kamishna mkuu wa mamlaka hiyo, Dk Edwin Mhede kuwasimamisha kazi.
Amebainisha kuwa wanatuhumiwa kujihusisha na vitendo vya rushwa, kutosimamia ipasavyo matumizi ya mashine za kutolea stakabadhi (EFD’s), kuwabambikia kodi kubwa wafanyabiashara na kuagiza apatiwe taarifa ya utekelezaji wa maelekezo yake ndani ya siku 90 kuanzia leo.
Dk Mpango ametoa maagizo hayo leo Jumatano Desemba 16, 2020 mjini Dodoma katika kikao kilichozihusisha bodi za wakurugenzi, menejimenti na mameneja wa mikoa wa mamlaka hiyo.
Lengo la kikao hicho ilikuwa kupanga mikakati namna ya kuboresha mazingira ya ufanyaji biashara nchini pamoja na kuongeza wigo wa ukusanyaji wa mapato ya kodi na maduhuli ya Serikali.

“Nakuagiza kamishna mkuu uwapumzishe kazi kuanzia leo kwa mujibu wa kanuni ya 37 ya Kanuni za Utumishi wa Umma za Mwaka 2003 na umwagize mkuu wa idara ya mambo ya ndani awachunguze wahusika wote ndani ya siku 90 na nipatiwe nakala ya taarifa hiyo ya uchunguzi na hatua zilizochukuliwa dhidi ya kila mmoja wao,” amesema Dk Mpango

Chanzo: Mwananchi
Mmechelewa Sana
 
Haya mambo ya Kodi magumu, wafanyabiashara kulipa Kodi bila shuruti huwa napo mbinde, maana leseni inajulikana ni sh ngapi lakini nenda kwenye maduka hata ya nguo tu uone Kama Kuna mtu ana leseni ya biashara, haya sasa Kodi ndo iruhusiwe kulipa mtu anavyojisikia na uhakika biashara za Kati zote hazitakipa Kodi Kama wasivyolipia leseni, biashara zinazolipa Kodi ni viwanda na kampuni kubwa nazo kwa magumashi ya kushikiwa mtutu na huku wakinyonya mtumiaji wa mwisho kwa kisingizio cha Kodi na Kodi yenyewe wahalipi mpaka wabanwe, hasa hizi biashara za Kati.
 
Bado haitoshi ,serikali itapata pesa nyingi, Kama itawahakikishia usalama wao katika biashara zidi ya Hawa wanyanganyi,TRA wanakwiba Sana
SERIKALI undeni task force kila wilaya, mtashangaa,Hawa jamaa wanapiga Sana pesa za serikali hasa za kukwiba pitia MGONGO wa kukusanya kodi, wao ukibishana nao Wana likofuli lao wanafunga ofisi,na wanaandika ofisi umefungwa, unajiuliza Hata Kama mtu anadaiwa unawaka likofuli lako Sasa Hata pesa za kukulipa atatoa wapi ?so mpaka walitoe mtu kaisha pigwa
Acha husda....lini umeona TRA wameweka kofuli kwenye biashara ya mtu?
 
Acha husda....lini umeona TRA wameweka kofuli kwenye biashara ya mtu?
Naunga mkono hoja Jana nimeshuhudia mitaa ya mwenge chadema na uniform zao wakifunga biashara za watu huku wananchi wakilia na kuomba ccm iwakomboe,hakika ccm nii chama cha wanyonge na kinawajali sanaa
 
Back
Top Bottom