Watumishi 22 TRA kuchunguzwa, madai kubambikia watu kodi yatajwa

Watumishi 22 TRA kuchunguzwa, madai kubambikia watu kodi yatajwa

Acha husda....lini umeona TRA wameweka kofuli kwenye biashara ya mtu?
Wenda wewe tangu umekaa kwako hujawahi TOKA nje ya mlango wako,hatuko hapa kuongea uongo kufuraisha mtu ,kitu Kama hujaona,kusikia fanya utafiti,uliza then ndo uje kucrash hapa,
 
Wenda wewe tangu umekaa kwako hujawahi TOKA nje ya mlango wako,hatuko hapa kuongea uongo kufuraisha mtu ,kitu Kama hujaona,kusikia fanya utafiti,uliza then ndo uje kucrash hapa,
Sijawahi ona na wala hawafanyi hicho kitu. Watu wenyekofuli ni halmashauri
 
Back
Top Bottom