Watumishi kujazana kwenye ATM tarehe za mishahara ni kielelezo tosha cha umaskini na ukiukwaji wa haki za watumishi

Watumishi kujazana kwenye ATM tarehe za mishahara ni kielelezo tosha cha umaskini na ukiukwaji wa haki za watumishi

Ni bora tukawapeleka huko maana walimu wa private nao lazima wafundishe kwa nguvu zote na juhudi zote njaa yao sio Kali sana kama nyie mnaotembea na mihogo kwenye vibegi au kashata au barafu za kuja kuwauzia wanafunzi,
Pia mwalimu wa private asipofundisha vizuri anafukuzwa sasa nyie huko government nani atakufukuza hata kama hujui lolote unakuwa unawajaza tu ujinga watoto.
Na naiomba tu serikali nyie walimu wasiwaongezee hata mia maana hamjielewi nyie na hamna hamfanyi kazi ipasavyo mpo mpo tu mnalalamika salary ndogo salary ndogo,, mnafanya kazi kiujanja ujanja mnataka salary kubwa ya nini? Ili muoongeze wake? Maana wafanyakazi wa government wanaongoza kwa kuwa na wake wengi ni walimu na police

Kwa namna unavyo jishaua shaua humu, kuna kila dalili wewe ni mtoto wa mama tu na ambaye umepata hiyo kazi unayojitutumua nayo humu kwa mgongo wa wazazi wako.

Kiufupi tu hujui maisha ni nini! na pia huna uelewa wowote wa kitu kinachoitwa "Division of Labour". Inawezekana vipi watu wote nchini wakafanya kazi katika NGO's! Halafu una uhakika kiasi gani hizo NGO's zinalipa hicho kiasi cha mshahara ulichokitaja?

Hoja zako nyingi ni dhaifu na za kipuuzi. Huna uelewa wa vitu vingi. Hivyo sina budi tu kukupa pole. Ni utoto tu unao kusumbua. Ukikua utaacha. Huwezi kudharau kazi ya mtu mwingine ambaye humsaidii chochote, kwa sababu tu ya mtazamo wako finyu wa kuamini kazi unayoifanya wewe ni nzuri na bora kuliko nyingine.

Shame on you!
 
Ni bora tukawapeleka huko maana walimu wa private nao lazima wafundishe kwa nguvu zote na juhudi zote njaa yao sio Kali sana kama nyie mnaotembea na mihogo kwenye vibegi au kashata au barafu za kuja kuwauzia wanafunzi,
Pia mwalimu wa private asipofundisha vizuri anafukuzwa sasa nyie huko government nani atakufukuza hata kama hujui lolote unakuwa unawajaza tu ujinga watoto.
Na naiomba tu serikali nyie walimu wasiwaongezee hata mia maana hamjielewi nyie na hamna hamfanyi kazi ipasavyo mpo mpo tu mnalalamika salary ndogo salary ndogo,, mnafanya kazi kiujanja ujanja mnataka salary kubwa ya nini? Ili muoongeze wake? Maana wafanyakazi wa government wanaongoza kwa kuwa na wake wengi ni walimu na police
Kwahiyo wewe ulisoma saint ipi mkuu?
Maana usikute ni sizitaki mbichi hizi
 
Si
Kwa namna unavyo jishaua shaua humu, kuna kila dalili wewe ni mtoto wa mama tu na ambaye umepata hiyo kazi unayojitutumua nayo humu kwa mgongo wa wazazi wako.

Kiufupi tu hujui maisha ni nini! na pia huna uelewa wowote wa kitu kinachoitwa "Division of Labour". Inawezekana vipi watu wote nchini wakafanya kazi katika NGO's! Halafu una uhakika kiasi gani hizo NGO's zinalipa hicho kiasi cha mshahara ulichokitaja?

Hoja zako nyingi ni dhaifu na za kipuuzi. Huna uelewa wa vitu vingi. Hivyo sina budi tu kukupa pole. Ni utoto tu unao kusumbua. Ukikua utaacha. Huwezi kudharau kazi ya mtu mwingine ambaye humsaidii chochote, kwa sababu tu ya mtazamo wako finyu wa kuamini kazi unayoifanya wewe ni nzuri na bora kuliko nyingine.

Shame on you!

Wewe utakuwa mwalimu tuu kimbilio la vilaza ,,ukweli utabaki kuwa ukweli tuu..
Hata mwanasiasa wakitaka kufanya majaribio wanayafanyia kwenu ..refer kwenye kujiandikisha wapiga kura, walimu waliyochapwa viboko Mara, sector gani inazalilishwa ovyo ovyo tu
 
Kwahiyo wewe ulisoma saint ipi mkuu?
Maana usikute ni sizitaki mbichi hizi
Hahahaha nimeishi
Kwa namna unavyo jishaua shaua humu, kuna kila dalili wewe ni mtoto wa mama tu na ambaye umepata hiyo kazi unayojitutumua nayo humu kwa mgongo wa wazazi wako.

Kiufupi tu hujui maisha ni nini! na pia huna uelewa wowote wa kitu kinachoitwa "Division of Labour". Inawezekana vipi watu wote nchini wakafanya kazi katika NGO's! Halafu una uhakika kiasi gani hizo NGO's zinalipa hicho kiasi cha mshahara ulichokitaja?

Hoja zako nyingi ni dhaifu na za kipuuzi. Huna uelewa wa vitu vingi. Hivyo sina budi tu kukupa pole. Ni utoto tu unao kusumbua. Ukikua utaacha. Huwezi kudharau kazi ya mtu mwingine ambaye humsaidii chochote, kwa sababu tu ya mtazamo wako finyu wa kuamini kazi unayoifanya wewe ni nzuri na bora kuliko nyingine.

Shame on you!
Mkenguwa mnajielewa mngekuwa mnapigwa biti na kuchezewa hivyo na wanasiasa? Kila mwanasiasa anataka kuwachezea tu nyie
 
Hii nchi ina shida moja, ingawa tumeambiwa hapa kazi tu lakini mitazamo ya watanzania wengi kuwa kazi lazima wakafanye huko kwenye makampuni sijui mashirika 'useless'.

Dharau kubwa hapa ni kuajiriliwa kwenye halmashauri na hasa mtu kuwa mwalimu. Huu ni upuuzi mkubwa sana.

Naomba kutanguliza kwanza mimi ni mwalimu tena wa primary kabisa. Katika maisha yangu ya utumishi sijawahi kuona mzazi anaekaa bila kumpeleka mwanae shuleni akafundishwe na mtu ambae mzazi mwenyewe hamwamini kama mnavyosema humu ndani. Yaan mwalimu mnamuona kama ndezi fulani hivi wakati hata huku kuandika andika huku mlifunzwa na walimu.

Kibaya zaidi, hata watoto wenu mnawapelekaga private mnalipa mamilion kulipia A for Apple, B for Bapple, C for Chapple et.al. Nyie punguzeni madharau Ualimu ni fani nzuri tu tena yenye heshima na angalia safu ya pale juu kwenye serikali hii wote ni walimu ingawa wametusahau kwa muda sisi walimu wenzao.

Mwisho, serikali ione umuhimu wa kuboresha fani hii. Hasa hizi dharau ni kwakuwa maboresho yake yapo chini sana. Walimu na Sisi tujaliwe mfano kuwe na madaraja mahususi kwa walimu wanaojiendeleza kwenye level za MA na PhD kulikoni ilivyo sasa ambapo unaambiwaa unajifurahisha ukiwa na level hizo za Elimu. Pia nasi tunastaili posho za chakula, makazi na za wenza wetu kama wajeda na kada nyingine
Nasikia wakati wa ukoloni walimu walithaminiwa sana. Labda hali ya sasa ni matunda ya uhuru (choices)
 
Sasa pesa zinatoka kwenye ATM we ulitaka wakajazane hospitali?
😀😀😀😀 hii inanikumbusha kipindi cha chuo boom likitoka, wale wenye boom mkienda kwenye ATM wenzenu wanawacheka ooh ona mnakimbilia boom sijui nini sasa unajiuliza ulitaka nikimbilie nini chooni .
 
😀😀😀😀 hii inanikumbusha kipindi cha chuo boom likitoka, wale wenye boom mkienda kwenye ATM wenzenu wanawacheka ooh ona mnakimbilia boom sijui nini sasa unajiuliza ulitaka nikimbilie nini chooni .
Hahahahaha
 
Kwema wakuu?
Miaka iliyopita mshahara ukitoka tu Maza alikuwa ananiambia nikamtolee fedha yote nitakayoikuta kwenye akaunti yake pindi tu mshahara unapoingia.

Nikifika tu NMB nakutana na foleni kubwa sana. Nikienda tarehe za kawaida kwa issue zingine pale Benki nikichungulia ATM sioni foleni kubwa.

Hii nimeishuhudia pia nilipoingia kwenye Utumishi wa Umma. Watumishi wa Umma na Wafanyakazi wa kampuni binafsi Tanzania hali zao ni ngumu, Waajiri wanakiuka haki za waajiriwa wao.

Waajiri (mabosi) wanawatesa watumishi wao kwa kuwapatia maslahi kiduchu huku wao wakipata viyoyozi nyumbani, kazini na barabarani. Watumishi wengine wana madeni mengi, furaha yao ni siku 5-10 tu ndani ya mwezi.

Mwingine anaweza kusema kama maslahi madogo acha kazi, na mwingine anaweza kusema shukuru maana wengine hata hicho kidogo hatuna, hizi ni hoja dhaifu na hazipaswi kutolewa na mtu mwenye akili timamu.

Viongozi Waandamizi muzipitie Sera za Utumushi.
Bado nanunua midege, bado ndege4 labda nikimaliza ntawafikiria kwani ww hutaki kupanda ndege?
 
Mbona tuharibiana mood wazee..

Dah..!
 
Kwema wakuu?
Miaka iliyopita mshahara ukitoka tu Maza alikuwa ananiambia nikamtolee fedha yote nitakayoikuta kwenye akaunti yake pindi tu mshahara unapoingia.

Nikifika tu NMB nakutana na foleni kubwa sana. Nikienda tarehe za kawaida kwa issue zingine pale Benki nikichungulia ATM sioni foleni kubwa.

Hii nimeishuhudia pia nilipoingia kwenye Utumishi wa Umma. Watumishi wa Umma na Wafanyakazi wa kampuni binafsi Tanzania hali zao ni ngumu, Waajiri wanakiuka haki za waajiriwa wao.

Waajiri (mabosi) wanawatesa watumishi wao kwa kuwapatia maslahi kiduchu huku wao wakipata viyoyozi nyumbani, kazini na barabarani. Watumishi wengine wana madeni mengi, furaha yao ni siku 5-10 tu ndani ya mwezi.

Mwingine anaweza kusema kama maslahi madogo acha kazi, na mwingine anaweza kusema shukuru maana wengine hata hicho kidogo hatuna, hizi ni hoja dhaifu na hazipaswi kutolewa na mtu mwenye akili timamu.

Viongozi Waandamizi muzipitie Sera za Utumushi.
Watumishi watampigia kura Jiwe?
 
Si


Wewe utakuwa mwalimu tuu kimbilio la vilaza ,,ukweli utabaki kuwa ukweli tuu..
Hata mwanasiasa wakitaka kufanya majaribio wanayafanyia kwenu ..refer kwenye kujiandikisha wapiga kura, walimu waliyochapwa viboko Mara, sector gani inazalilishwa ovyo ovyo tu

Mimi mwenzako nawaheshimu walimu! maana bila wao, nisingekuwepo hapa nilipo. Sasa wewe endelea tu kuwadharau, halafu madhara yake utakuja kuyaona siku za usoni.

Bahati mbaya walimu wanaonekana kama watu masikini na wanyonge, kwa sababu tu ndiyo kundi lenye watu wengi kwenye ajira za serikali. Ila ukweli ni kwamba ndani ya hao wengi, wapo walimu wachache ambao wamejiongeza kitambo na wana maisha mazuri kuliko hata unavyodhani.
 
Mimi mwenzako nawaheshimu walimu! maana bila wao, nisingekuwepo hapa nilipo. Sasa wewe endelea tu kuwadharau, halafu madhara yake utakuja kuyaona siku za usoni.

Bahati mbaya walimu wanaonekana kama watu masikini na wanyonge, kwa sababu tu ndiyo kundi lenye watu wengi kwenye ajira za serikali. Ila ukweli ni kwamba ndani ya hao wengi, wapo walimu wachache ambao wamejiongeza kitambo na wana maisha mazuri kuliko hata unavyodhani.
Wanaojiongeza ni wachache sana gani kama 3% tuu,, wengi wao wanalilia nyongeza ya salary na bahati mbaya president ashasema haongezi mpaka akamilishe mambo ya maendeleo!!!
 
Toa muongozo wawe wanakutana tarehe zipi kwenye ATM?


Cc: mahondaw
Inawalazimu waende tarehe sare, hawana namna. Maana wengi pindi salary inapoingia mfukoni hawana pesa. Kama wangekuwa na unafuu wa maisha wasingepanga foleni kwenye ATM inayooperate 24/7.
 
Back
Top Bottom