JAY MTAALAM
JF-Expert Member
- Oct 5, 2014
- 1,595
- 1,388
Nyama zinaliwa jiokoni huku watu wanasubiria mchuzi mezani..mwe mwe!..sijui ncheke au nilie
Fundisho lisilo na mwelekezaji..
Fundisho lisilo na mwelekezaji..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe Ni muajiri ?Kwani hao watumishi walilazimishwa kuajiriwa? Kama haki zao zinakiukwa waache kazi,ni umaskini wa watumishi wakajiajiri
Kuajiliwa serikalini ni kujiunga kwenye umasikini milele, njooni huku kwenye makampuni na international NGO tunakula maisha tu,,,unalipwa basic salary kuanzia 2million mpaka 8million unapewa accommodation laki nne kila mwezi na communication laki ,,,Sasa huko sijui mnafurahia maisha gani
MTU unafanya kazi serikalini miaka mitano hata IST au passo imekushinda kinunuwa sasa si utakufa na madeni na kula mihogo,,,mie nawashangaa sana wanaotaka kufanya kazi serikalini..
Ukitaka kufurahia maisha serikalini uwe mwanasiasa tyuu ila wengine ni shida tupu tena kama unafanya kazi kwenye halmashauri wewe juwa ushajiunga kwenye umasikini
Hizo international NGO zinaweza kutuajiri wote?.... anyway hakuna asiyependa maslahi mazuri ila kuishi bila kazi kusikie tu ni bora upate hicho hicho kidogo.Kuajiliwa serikalini ni kujiunga kwenye umasikini milele, njooni huku kwenye makampuni na international NGO tunakula maisha tu,,,unalipwa basic salary kuanzia 2million mpaka 8million unapewa accommodation laki nne kila mwezi na communication laki ,,,Sasa huko sijui mnafurahia maisha gani
MTU unafanya kazi serikalini miaka mitano hata IST au passo imekushinda kinunuwa sasa si utakufa na madeni na kula mihogo,,,mie nawashangaa sana wanaotaka kufanya kazi serikalini..
Ukitaka kufurahia maisha serikalini uwe mwanasiasa tyuu ila wengine ni shida tupu tena kama unafanya kazi kwenye halmashauri wewe juwa ushajiunga kwenye umasikini
Kwa hyo we ulitaka kusemajeKwahiyo wewe ungekuwa kiongozi ungewajibu hivi wafanyakazi?.
Kama una house boy au house girl basi hafurahii uwepo wako duniani.