Watumishi kujazana kwenye ATM tarehe za mishahara ni kielelezo tosha cha umaskini na ukiukwaji wa haki za watumishi

Nyama zinaliwa jiokoni huku watu wanasubiria mchuzi mezani..mwe mwe!..sijui ncheke au nilie
Fundisho lisilo na mwelekezaji..
 

Hakuna ajira itakayo kupa maisha uyatakayo.
Anzisha side hustle broo.

#YNWA
 
Hizo international NGO zinaweza kutuajiri wote?.... anyway hakuna asiyependa maslahi mazuri ila kuishi bila kazi kusikie tu ni bora upate hicho hicho kidogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…