Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Anateuliwa na nani?Mkuu wa idara anateuliwa lakini 1.8M ni Principle Officer yaani cheo cha mwisho kwa Afisa wa kawaida ambaye siyo Mkuu wa Idara
Watu wanaikunja per day hiyo!Unaitwa afisa halafu unalipwa 585,000
Yataje. Acheni ku assume. Watu wamepauka sura zimekauka. Halmashauri ili utoke lazima uwe mwizi tu., either uibe fursa za wengine au uwe fisadi tu.Yes mishahara midogo lakini Kuna marupu rupu mengi
Hakuna anaewasemea watu wako na Walimu tuu,stupid zao.Kama kuna kitu nime-note kwenye mabango ya Mei Mosi ni kuwa Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa, yaani Halmashauri n.k., wana hali mbaya sana.
Ukiangalia mabango yao wengi wanaomba mishahara ipande na maslahi yao, lakini watu wa taasisi mfano WCF, Wizarani, PSSSF, TASAC, TPA wao wapo busy na mabango ya "mazoezi ni afya. ..mara chanjo".
Ipo haja ya kuwaangalia kwanza hawa wa Local Government, wamechoka sana ,kwa sura na kiuchumi.
Kabisa mkuu anaingiza hiyo per day. Mtumishi wa halmashauri anaitolea jasho siku 30Watu wanaikunja per day hiyo!
TGS.C (585,000)Afisa utumishi anapokea kiasi gani
Katibu Mkuu utumishiAnateuliwa na nani?
AseeMkuu acha masihara, mishahara yenu inaendanana na huu wangu?
Huu mshahara nimeishi nao for ten years now, Nina mke, watoto tano na ndugu lakini ninaishi
Nimeanza na daraja A, B, C na Sasa Niko DView attachment 2207745
Huyu kaanza na daraja A, yaani mwalimu wa cheti na sasa amepanda kufikia daraja D. Hadaiwi na heslb sababu sio mnufaikaMbona mkubwa sana huo? Tatizo umeukopea.
Hongera kwa kumaliza deni la bodi.