Kuna chama kinaitwa Chakamwata unaweza kuhamia hukoUnajitoaje CWT mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna chama kinaitwa Chakamwata unaweza kuhamia hukoUnajitoaje CWT mkuu
Ndio kiasi gani?TGS C
Watu wana dharau sana 🤦♀️Jf na madon wake[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bodi wamemaliza ehMkuu acha masihara, mishahara yenu inaendanana na huu wangu?
Huu mshahara nimeishi nao for ten years now, Nina mke, watoto tano na ndugu lakini ninaishi
Nimeanza na daraja A, B, C na Sasa Niko DView attachment 2207745
Kuna chama kinaitwa Chakamwata unaweza kuhamia huko
Hapana kiongoziUnaijua Agency fees mkuu/ Duka la Uwakala
1.8M ni nani? Mbona wanasema wakuu wa idara wanalamba 3.8.?Upo sahihi zile taasisi hasa SU n.k wanalipwa vizuri sn kati ya milioni 3 mpaka 15 lakini halmashauri ni kati ya laki 3 mpka 1.8M basi na wakati ndiyo wazalishaji wakubwa
Aliyekwambia uweke salary slip yangu hapa ni nani??.Mkuu acha masihara, mishahara yenu inaendanana na huu wangu?
Huu mshahara nimeishi nao for ten years now, Nina mke, watoto tano na ndugu lakini ninaishi
Nimeanza na daraja A, B, C na Sasa Niko DView attachment 2207745
Nimejiambia mwenyewe [emoji23][emoji23]Aliyekwambia uweke salary slip yangu hapa ni nani??.
Iondoe haraka [emoji23][emoji23]Nimejiambia mwenyewe [emoji23][emoji23]
Pole saana mkuu..Mkuu acha masihara, mishahara yenu inaendanana na huu wangu?
Huu mshahara nimeishi nao for ten years now, Nina mke, watoto tano na ndugu lakini ninaishi
Nimeanza na daraja A, B, C na Sasa Niko DView attachment 2207745
Mkuu wa idara anateuliwa lakini 1.8M ni Principle Officer yaani cheo cha mwisho kwa Afisa wa kawaida ambaye siyo Mkuu wa Idara1.8M ni nani? Mbona wanasema wakuu wa idara wanalamba 3.8.?
Sio kweli maana TGS i ni zaidi ya hiyo.Mkuu wa idara anateuliwa lakini 1.8M ni Principle Officer yaani cheo cha mwisho kwa Afisa wa kawaida ambaye siyo Mkuu wa Idara
Principle 1 Officer anaishia ngapi?Sio kweli maana TGS i ni zaidi ya hiyo.
TGS IPrinciple 1 Officer anaishia ngapi?
Sawa na bei gani? na wakati PS pale NECTA anaanza na 2.8MTGS I
Unawezaje kuishi tena ukihudumia familia na hiyo laki mbili mkuu? Kweli ndomaana huwa tunahudumiwa kwa hasira plus huduma mbovu sekta za umma sababu watu wana stress zaoMkuu acha masihara, mishahara yenu inaendanana na huu wangu?
Huu mshahara nimeishi nao for ten years now, Nina mke, watoto tano na ndugu lakini ninaishi
Nimeanza na daraja A, B, C na Sasa Niko DView attachment 2207745
Unaitwa afisa halafu unalipwa 585,000TGS C
Halmashauri kuna marupu rupu yapi?Yes mishahara midogo lakini Kuna marupu rupu mengi