digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Mkuu unadhani wote tukiacha ajira rasimi na kwenda huko unakoamni Kuna unafuuu je, nani ataoa Huduma kwa jamii? Wewe pambana huko uliko na Mimi nipambane huku niliko!!Ukisikia utumwa wa Tz ni kuwa mwajiriwa