DIVISHENI FOO
JF-Expert Member
- Jan 31, 2023
- 1,440
- 3,142
Hakuna lolote.Membe alikuwa Jabali hasaaa mpaka helicopter ya jeshi imeubeba mwili wa kamandaaa.
Naomba tutajie basi ili na sisi tuwe na uelewa kama wako lakini pia angalau tumuelewe vizuri tunaposikia kuwa ni TISS Mbobezi.Mission za kitaifa na kimataifa alizoshiriki membe nikikutajia utalia machozi kwa kumsimanga : mwaka 1983 akifanya analysis ya impact ya vita ya uganda aliponea chupu kuuwawa mbarara uganda acheni ujinga kuna watu wameitumikia nchi hii kuliko mbuzi wengi wa facebook mlioko humu.
naskia marehemu Augustino Mahiga nae alikuwa TISS
Hapana alikuwa Dkt. Hassy.Wakati jkn ananuaurika kupinduliwa mahiga ndio alikuwa mkuu wa tiss.
Hapana alikuwa Dkt. Hassy.
Yuko sahihi.Yaani ufanye kazi CIA halafu unapostaafu uende kuwa mlinzi wa Suma JKT?????
Unaielewa CIA wewe???????
Kwa kweli Pombe na bangi zinawasumbua sana baadhi ya watu.
Mr Y.Tupe uhusika wa Mr x kwenye ile kesi.
Hayo ni maneno tu sisi tunayemjua alikuwa junior matupu. Ndio maana hata wewe unakuja hapa na maneno tu. Niambie alikuwa Mkurugenzi wa Kurugenzi ipi hapo Idarani? Angekuwa mbobezi kama Balozi Mahiga naona mngesema sana! Balozi Mahiga pamoja na ubobezi wake lakini alikuwa very humble!!
naskia marehemu Augustino Mahiga nae alikuwa TISS
Mbona umemsahau Dr. Khalid, Generali Imran Kombe!!Kwa mbulula wa humu ukitaja dgi wa eagle kuanzia mzee emilio mzena ,laurensi gama,hassy kitine, balozi augustine mahiga ,kornel apson mwangonda,RO rashid othman,mchungaji pasta wa bot na nida,msuya,na huyu wa sasa. Membe alikuwa level za hao seniors idara ya recruitment ambayo ndio ya uzalishaji wa majasusi na msiofahamu aliekuwa dgi wakati wa magufuli mchungaji alitengenezwa na hayati membe na membe alitengenezwa na laurensi gama ! Mbuzi nyie !
Sawa kabisa mkuuMbona umemsahau Dr. Khalid, Generali Imran Kombe!!
Uhusika wake unakuja kwa kutochukua hatua. Kumbuka umesema walioenda muua Lissu ni amateur's Ili kuichafua serikali Sasa kama ni hivyo why serikali isikamate hao amateurs Ili kuwafungulia kesi ya "kuwachafua"?Bado analysisi yako hapa ina-support statement yangu kwamba Serikali haikuhusika, especially JPM!
Personal attack kivipi? Huyo Membe wako hakuwa lolote. Balozi Mahiga alikuwa jasusi kweli kweli lakini alikuwa hajikwezi kama huyo Membe wako.Shida yako ni kuwa unachukulia as personal attack, ww umemjua ukiwa wapi bwana? When na mwaka gani?
Hivi kilaza angeweza kuwanyoosha mafisadi na wauza madawa kama wewe? Hapo kilaza ni yupi? Aliyenyooshwa au aliyewanyoosha!!?Jasusi awe kilaza vile jamani dah🤣🙌
Vipi umeshaenda kuzika!!?Uhusika wake unakuja kwa kutochukua hatua. Kumbuka umesema walioenda muua Lissu ni amateur's Ili kuichafua serikali Sasa kama ni hivyo why serikali isikamate hao amateurs Ili kuwafungulia kesi ya "kuwachafua"?
Nimeuliza maswali mengi sana kuanzia stahiki, kufukuzwa ubunge, zuio la mahakama kupuuzwa, kesi kutochunguzwa, Nissan patrol kutokamatwa n.k. hayo yote Yana prove serikali imefanya COVER UP hivyo imehusika.
Personal attack kivipi? Huyo Membe wako hakuwa lolote. Balozi Mahiga alikuwa jasusi kweli kweli lakini alikuwa hajikwezi kama huyo Membe wako.
Mtajijua CCM wenyewe Sina sababu ya kuhudhuria msiba wakati haunihusu. The more mnapigana wenyewe kwa wenyewe ndio the more Chadema becomes stronger.Vipi umeshaenda kuzika!!?
Kamnyoosha nani wakati aliondolewa kimasikhara vile.Hivi kilaza angeweza kuwanyoosha mafisadi na wauza madawa kama wewe? Hapo kilaza ni yupi? Aliyenyooshwa au aliyewanyoosha!!?
Ndio tena alikuwa mkufunzi...naskia marehemu Augustino Mahiga nae alikuwa TISS