Watumishi wa TISS huwa si maarufu, Ilikuwaje Marehemu Membe awe maarufu kwa utumishi wa TISS?

Watumishi wa TISS huwa si maarufu, Ilikuwaje Marehemu Membe awe maarufu kwa utumishi wa TISS?

Marekani maafisa wastaafu wa CIA wa ngazi za chini wanajitangaza na wanaonyesha hiyo kama sehemu ya uzoefu katika wasifu wao wanapoomba kazi za ulinzi/usalama mashirika binafsi na katika kusaka vyeo vya kisiasa. Mambo mengine ni ushamba tu unasumbua wabongo. Hakuna tija yoyote kufichaficha mambo mengi ya TISS.
Yaani ufanye kazi CIA halafu unapostaafu uende kuwa mlinzi wa Suma JKT?????

Unaielewa CIA wewe???????

Kwa kweli Pombe na bangi zinawasumbua sana baadhi ya watu.
 
Binafsi sijawahi kusikia mtumishi wa TISS anakuwa maarufu zaidi wale walishika Ukurugenzi wa hiyo Idara! ila kuna mtu mmoja kila anapotajwa basi TISS lazima itajwe! Mbona umnaitumia idara yetu ya usalama wa Taifa kwa manufaa yenu binafsi? Imekuwa too- much sasa kila anapotajwa Membe na TISS lazima ihusishwe as if yeye ndiye Raia wa Kwanza nchini Tanzania kuwa mwajiliwa wa TISS au wa mwisho!

Sitaki kuamini kuwa yeye alikuwa Waziri wa kwanza au mwanasiasa wa kwanza kuwa mtumishi wa idara ya usalama wa taifa (TISS) na wala sitaki kuamini kuwa hakuna watumishi wa TISS waliostafu nje ya Marehemu Membe! ila sasa hii kuwa Usalama wa Taifa haikupi ticket yawewe kufanya utakavyo kwa mgongo wa TISS wala haikupi ticket yawewe kila unapopata nafasi ya juu kujitutumia na Utiss wako.
membe alishafanya kazi hiyo ofisi na sijui ni kitu gani watu mnashindwa kuelewa. kwani tatizo ni nini? mbona tunao ndugu zetu wengi tu wanafanya kazi ofisi hiyo, wanaamka asubuhi wanaenda kazini hapo na jengo wanaloenda linafahamika? tatizo mmekariri kuwa tiss ni watu wa kificho wote, wengine wanafanya kazi kawaida tu, kwani mbona kila mkoa kuna ofisi/jengo la tiss, mnafikiri mle ndani wapo mashetani au misukule?
 
Kwasababu archives hazijaruhusiwa kusimulia operation alizoshiriki wewe uzijue kuna watu wamefanya makubwa nchi hii mpaka ukisimuliwa unaogopa! Ndio maana magufuli alipoleta ujuaji idara ikamshangaa sana hasa top retirees wakashangaa huyu mwalimu wa kemistri wa secondary anatuletea ishu gani huku ....?
Hayo majasusi mabobezi akina membe kwanini hawakujenga flyover kwa miaka sitini watu wanataabika na kukanyagana kwa foleni?
 
Unless you have a proof don't spit it.
Ah bwana weee [emoji851] hebu kwenda zako huko! [emoji851]

Hayo majizi ya msoga yanayojiita majasusi hayana lolote, ujinga mtupu.

Bora Magufuli alitujengea FLYOVER tunapita na kuteleza kwa raha mustarehe. [emoji39][emoji39]

Jizi la msoga linakenua tu na kuchezea BEMBEA, Alhamdulilah kibaka mwenzake kadedi.
 
mwaka 1983 akifanya analysis ya impact ya vita ya uganda.
Analysis ya impact ya vita ya Uganda hata mtoto wa FORM TWO anafanya. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kipi cha ajabu hapo chenye hadhi ya kijasusi? Mmejaa ushamba wa kitanganyika pamoja na elimu duni.

Impact of Uganda war? Kazi ya kitoto ya FORM TWO [emoji18]

Nyie majasusi uchwara ndio maana Magufuli alikuwa anawadharau tu. Akili hamna.

Hata kujenga FLYOVER hamuwezi, mmekazana na ma-theories ya Uganda war.

Watu wanataka chakula na maendeleo, sio hayo matakataka ya Uganda. [emoji13][emoji13][emoji13]
 
Mission za kitaifa na kimataifa alizoshiriki membe nikikutajia utalia machozi kwa kumsimanga : mwaka 1983 akifanya analysis ya impact ya vita ya uganda aliponea chupu kuuwawa mbarara uganda acheni ujinga kuna watu wameitumikia nchi hii kuliko mbuzi wengi wa facebook mlioko humu.
Kaka hata JKT tu hawajafika!Acha huko mbali,kutwa kelele!

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Ah bwana weee [emoji851] hebu kwenda zako huko! [emoji851]

Hayo majizi ya msoga yanayojiita majasusi hayana lolote, ujinga mtupu.

Bora Magufuli alitujengea FLYOVER tunapita na kuteleza kwa raha mustarehe. [emoji39][emoji39]

Jizi la msoga linakenua tu na kuchezea BEMBEA, Alhamdulilah kibaka mwenzake kadedi.
Unamsifu chizi jpm aliyekujengea flyover ya ubungo darisalama unamsahau jakaya aliyeleta vyuo vikuu 50+ tanzania ambapo mpaka toto lako mbulula litasoma
 
Kapitie hata clip za mazishi yake...Dingi alikuwa TISS na amewahi kushika nafasi za juu tu.
Sio nafasi za juu!Alikuwa namba moja wa idara husika miaka 1980-1983.

Ndio maana tunashauri vijana kabla ya kutukana wajue hata kufika kwao leo miaka hii ni sababu ya uwepo wa watu kama hao,it is not a guarantee!

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
unamsahau jakaya aliyeleta vyuo vikuu 50+
Unazungumzia yale mavyuo ya kata na ya SENTI KAJAMBA?

Lichuo linaitwa AMAZON COLLEGE unategemea nini zaidi ya ushuzi mtupu!

Lile huni la msoga halijitambui, linakenua tu mijino nje. Halina utashi.

Cheki bwawa la Mwalimu Nyerere, ni kiboko [emoji39][emoji39] .. Huo ndo ujasusi unaotakiwa na sio hizo porojo za jizi la msoga [emoji851]
 
Back
Top Bottom