Watumishi wa TISS huwa si maarufu, Ilikuwaje Marehemu Membe awe maarufu kwa utumishi wa TISS?

Watumishi wa TISS huwa si maarufu, Ilikuwaje Marehemu Membe awe maarufu kwa utumishi wa TISS?

Hujui kitu kwa taarifa yako Magufuli alikuwa pia ni Jasusi.
Hakuna Jasusi kil.aza vile.... Yaani uwe Jasusi afu uropoke kuhusu informants waliopandikizwa Acacia? Hapo hapo akajisifia anavyodukua mawasiliano ya wakurugenzi na DC??

Ni hivi kazi kubwa kwa Jasusi ni kumaliza threats kwa usiri.... Yaani mfano Lissu wangemuua hata kwa kupandikizwa saratani n.k sio ku order SMG zitumike!! Huwezi ukawa Jasusi alafu ukafanya blunders kama hizo.

So nakataa JPM hakuwahi kuwa TISS na Hana sifa za kuwa TISS.
 
Naomba nikujibu hivi; maafisa usalama wa kawaida ni hawa ma rso na dso na wa chini kabisa ni wale wanaosimamia mitihani ya la nne la sana form two form four na wale walioko nectar wanaotisha walimu wa Mpwayungu Village kila siku bernard camilius membe alishapita level hizo toka mwaka 1980 na kimsingi hakuwahi kuwa huko chini kwa taarifa yako wakati waziri mkuu mizengo kayanza peter pinda akiwa mkuu wa usalama wa ikulu wakati wa nyerere membe tayari alishakuwa ndani ya ofisi ya rais mchambuzi wa mifumo ya ulinzi na usalama wa nchi set up unayoiona leo nje ya nchi na ndani pokea hiyo. Itoshe kusema mizengo pinda alilinda ikulu na familia ya nyerere na membe alilinda taifa nchi !
Nendeni mkawaambie na huko kuzimu kuwa mtu wenu alikuwa TISS
Tumewachoka sasa
 
Hakuna Jasusi kil.aza vile.... Yaani uwe Jasusi afu uropoke kuhusu informants waliopandikizwa Acacia? Hapo hapo akajisifia anavyodukua mawasiliano ya wakurugenzi na DC??

Ni hivi kazi kubwa kwa Jasusi ni kumaliza threats kwa usiri.... Yaani mfano Lissu wangemuua hata kwa kupandikizwa saratani n.k sio ku order SMG zitumike!! Huwezi ukawa Jasusi alafu ukafanya blunders kama hizo.

So nakataa JPM hakuwahi kuwa TISS na Hana sifa za kuwa TISS.
Jasusi ni huyu hapa 🤣🤣🤣
Screenshot_20230514-142551_YouTube.jpg
 
Binafsi sijawahi kusikia mtumishi wa TISS anakuwa maarufu zaidi wale walishika Ukurugenzi wa hiyo Idara! ila kuna mtu mmoja kila anapotajwa basi TISS lazima itajwe! Mbona umnaitumia idara yetu ya usalama wa Taifa kwa manufaa yenu binafsi? Imekuwa too- much sasa kila anapotajwa Membe na TISS lazima ihusishwe as if yeye ndiye Raia wa Kwanza nchini Tanzania kuwa mwajiliwa wa TISS au wa mwisho!

Sitaki kuamini kuwa yeye alikuwa Waziri wa kwanza au mwanasiasa wa kwanza kuwa mtumishi wa idara ya usalama wa taifa (TISS) na wala sitaki kuamini kuwa hakuna watumishi wa TISS waliostafu nje ya Marehemu Membe! ila sasa hii kuwa Usalama wa Taifa haikupi ticket yawewe kufanya utakavyo kwa mgongo wa TISS wala haikupi ticket yawewe kila unapopata nafasi ya juu kujitutumia na Utiss wako.
Alitaka Kugombea Urais,hata hivyo huwezi wajua wote..

Wapo Wanasiasa Hadi Mashekhe
 
Back
Top Bottom