Watumishi wa TRA Waliochaji Rushwa ya Tsh 30 Billion, Kisha Kumfungulia Huyu Mama Kesi ya Uhujumu Uchumi, Washughulikiwe

Kwa utaratibu huu wa kumbakia kodi ni ngumu kuzalisha mabilionea wazawa, ile sera ya uzawa ya kina marehemu Idd Simba iliishia wapi? nafikiri ilikuwa inalenga mambo kama haya.
 
Bilioni kumi wanaichukuliaje yani
Na container 20 unazichukuliaje yani ?

Hakuna mali inayojaza container 20 yenye thamani ya bilioni 20 za kodi ?

Mfanyabiashara mwenyewe kasema alipotajiwa hiyo kodi akasema hana hela, hakusema kodi imekosewa, kasema sikuwa na hela. What does that mean? Anajua kilichomo. Na si ajabu kodi hiyo ni cummulative assesment ya biashara ya miaka 10 bila kulipa kodi. Hii ni hadithi ya majukwaani ya upande mmoja. Huwezi kufanya conclusion yeyote kwa kihadithi cha dakika mbili cha upande mmoja.
 
Sidhani kama walitaka pesa per ser, japo angetoa pesa wangechukua, mimi nadhani kuna competitor alitaka amtoe Mama Bonge kwenye reli kwa kuwatumia maafisa TRA. Haiingii akilini 30B kodi anatengeneza nuclear kwani?
Sahihi kabisa...

Au kuna uwezekana yupo mwenzake walipakia wote kontena zenye bidhaa za kufanana....

Sasa ili sokoni uuzike kwa haraka, Ikabidi afanye dili na hao vijana wa TRA.. Wamzungungushe kwanza Mama Bonge kama hivyo... Wakija kumalizana naye mzigo wake Umeisha Mama Bonge ndiyo aanze kuuza wake sasa...
 
Kwa utaratibu huu wa kumbakia kodi ni ngumu kuzalisha mabilionea wazawa, ile sera ya uzawa ya kina marehemu Idd Simba iliishia wapi? nafikiri ilikuwa inalenga mambo kama haya.
Tatizo tulilonalo sisi waafrika, ni kumdidimiza mzawa mwenzetu aliyeona fursa ya uwekezaji kwa kuweka mazingira ya kumkwamisha, kuanzia kwenye vibali mpaka kodi; ndio maana matatizo mengi ya Afrika yana fanana fanana.​
 
Kwa hao viumbe wanaokufa baada ya kuchakata mbona wamezaliana sana zaidi hata ya binadamu, akichakata anazalisha kama elfu moja, akifa mmoja siyo mbaya.
Lakini hao viumbe mara moja anazalisha hata mia hivi tofauti na binadamu inakuwa mtoto mmoja
 
Usitoe hukumu kwa usicho kijua fatilia vizuri ujue huyo mama je ni kweli anaingiza contener hizo kumi je kampuni yake inaitwaje hutakiwi kusikiliza upande mmoja huenda state imempanga kutangeneza headlines kuficha mengi mabaya.
 
It is a very good observation sweet sis. And well said.
 
Lakini hao viumbe mara moja anazalisha hata mia hivi tofauti na binadamu inakuwa mtoto mmoja
Hapo ndo penye shida, hii inachangiwa na nyie kutoa moja pekee wakati mwanaume anatoa zaidi ya milioni.......jitahidini hata mfike mayai kumi.
 
Huko huko kwenye digital, si ndo kuna mfumo sasa hivi? Watakuwekea viwango vya juu ili ushindwe, mwisho wake utawafuata tu muyamalize, utaambiwa lipa mil 200, mia tunakula sisi, 100 nyengine inaandikiwa receipt
 
Ngoja mkomeshwe mataahira nyie!

Hivi mlifikiri Magufuli anafanya vile kwa faida zake?

Alikuwa anajaribu kuwatetea nyie mbugilambugila ila makaishia kumtukana,,

Na bado, mbona mtaimba tu haleluya
Bora waingie wezi milioni Moja.Ubaya wao haufikii hata robo ya mabaya ya magufuli.Madhaifu yapo Kwa Kila nchi.Wape watu nafsi wayaanike ili ujue namna ya kuyashughulikua.Lkn yule mungu wako magu aliwafunfa watu midomo.Sasa utajuaje madudu ya TRA?Muulize Mo kilichomfanya atekwe
 
Rais Samia alikwisha piga marufuku kudai hizo kodi accumulated zaidi ya miaka 2
 
===Eti walianza na leta billion 30!

===Baadaye wakashuka hadi billion 15!

===Baadaye wakashuka hadi 10!

===Walipoona mama wa watu amekomaa kuikataa, wakamfungulia kesi ya uhujumu uchumi!

===Mwisho wakanyoosha maneno wenyewe kwa kumwitia mizigo yake bila kulipa chochote!!!!

Lakini swali kubwa la kujiuliza ni hili👇👇👇

Kwamba, hivi huyu mama anaweza kuwa na biashara kubwa kiasi gani ya kutoa rushwa ya TZS 30bn au 15bn au 10bn na bado akaendelea ku - survive katika game ya biashara?

===Hata kama ni Bakhresa umwambie atoe Kwa mkupuo mmoja TZS 30bn, lazima atafunga biashara zake tu..!!

Hawa watumishi wasakwe na wafunguliwe kesi ya uhujumu uchumi.!!

ADUI WA MAENDELEO YA NCHI YETU TANZANIA NI WAFANYAKAZI WA TRA na WIZARA YA FEDHA!!
 

TRA kuna baadhi ya watumishi wanaonra sana wivu wafanyabiashara.
TRA kuna wengine imekuwa kichaka cha wababaishaji na watu wanaodhulumu wengine kwa kujidai wanatimiza sheria.
Wengi ni wala rushwa wakubwa. Na cha kushangaza, they always seem to get away with it.

Haya bwana......
 
Kama mtu hafanyi biashara hawezi elewa haya.
 
asilimia kubwa wafanyakazi TRA wanaishi maisha ya juu kuliko hata mtu anayefanyabishara
Kuanzia majumba,magari,matumizi nk
Na fedha yao nyingi ni ya dhuluma

Ova
 
Mh Rais na viongozi wote kwa ujumla embu tungeni adhabu ya kuwanyonga maofisia wanao fanya mambo yakinyama kama haya kweli huyu mwanamke amefanyiwa haya yote kwa fitina hao walio mtengenezea fitina wanajulikana why kukaa kimya?
TRA huko wanalindana mauchafu yao

Ova
 
Watawanywe wote mikoani,waje wengine wapya.
Kibongo bongo utasikua huyu hagusiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…