Kwa utaratibu huu wa kumbakia kodi ni ngumu kuzalisha mabilionea wazawa, ile sera ya uzawa ya kina marehemu Idd Simba iliishia wapi? nafikiri ilikuwa inalenga mambo kama haya.Wawekezaji kama hawa wangepewa ushirikiano vizuri, tutaweza kufanana kama Dubai.
Kitakachobadilisha hii hali, ni kuwepo na sera nzuri (hasa ya kikodi) na sheria ya kumlinda muwekezaji kwa angalau miaka 100. Ndani ya muda mfupi, viwanda vitazidi idadi ya watu; na serikali itapata mapato ya kutosha, kwa sababu bidhaa nyingi zitakuwa zinapelekwa nje.
Na container 20 unazichukuliaje yani ?Bilioni kumi wanaichukuliaje yani
Sahihi kabisa...Sidhani kama walitaka pesa per ser, japo angetoa pesa wangechukua, mimi nadhani kuna competitor alitaka amtoe Mama Bonge kwenye reli kwa kuwatumia maafisa TRA. Haiingii akilini 30B kodi anatengeneza nuclear kwani?
Kwa utaratibu huu wa kumbakia kodi ni ngumu kuzalisha mabilionea wazawa, ile sera ya uzawa ya kina marehemu Idd Simba iliishia wapi? nafikiri ilikuwa inalenga mambo kama haya.
Lakini hao viumbe mara moja anazalisha hata mia hivi tofauti na binadamu inakuwa mtoto mmojaKwa hao viumbe wanaokufa baada ya kuchakata mbona wamezaliana sana zaidi hata ya binadamu, akichakata anazalisha kama elfu moja, akifa mmoja siyo mbaya.
Nchi imemshinda mama wa unguja.
2025 utatambua uhalisia
Mbwa mwenyewe na sukuma Gang wote
It is a very good observation sweet sis. And well said.Sahihi kabisa...
Au kuna uwezekana yupo mwenzake walipakia wote kontena zenye bidhaa za kufanana....
Sasa ili sokoni uuzike kwa haraka, Ikabidi afanye dili na hao vijana wa TRA.. Wamzungungushe kwanza Mama Bonge kama hivyo... Wakija kumalizana naye mzigo wake Umeisha Mama Bonge ndiyo aanze kuuza wake sasa...
Hapo ndo penye shida, hii inachangiwa na nyie kutoa moja pekee wakati mwanaume anatoa zaidi ya milioni.......jitahidini hata mfike mayai kumi.Lakini hao viumbe mara moja anazalisha hata mia hivi tofauti na binadamu inakuwa mtoto mmoja
Huko huko kwenye digital, si ndo kuna mfumo sasa hivi? Watakuwekea viwango vya juu ili ushindwe, mwisho wake utawafuata tu muyamalize, utaambiwa lipa mil 200, mia tunakula sisi, 100 nyengine inaandikiwa receiptWanastahili adhabu ila wasinyongwe, ukianza kunyonga basi utanyonga waishe maana wasafi wanaweza kuwa wachache sana. Ukumbuke kuna Polisi, Halmashauri, wizarani na hata sekta binafsi. Kote huko kuna watu wa aina hii. Hapo hujagusa wanasiasa.
Wapunguziwe majaribu, mfumo wa kodi uwe digital kupunguza uhusiano wa moja kwa moja wa mlipa kodi na afisa. Tuwekeze kwenye technology.
Mfano magari zamani makadirio walikuwa wanapiga sana, sasa hivi hilo jaribu wameepushwa nalo.
Tusiwekeze kwenye uzalendo kwa mtindo wa kuacha mianya ya mtu kushawishiwa au kushawishi kupata kitu.
Bora waingie wezi milioni Moja.Ubaya wao haufikii hata robo ya mabaya ya magufuli.Madhaifu yapo Kwa Kila nchi.Wape watu nafsi wayaanike ili ujue namna ya kuyashughulikua.Lkn yule mungu wako magu aliwafunfa watu midomo.Sasa utajuaje madudu ya TRA?Muulize Mo kilichomfanya atekweNgoja mkomeshwe mataahira nyie!
Hivi mlifikiri Magufuli anafanya vile kwa faida zake?
Alikuwa anajaribu kuwatetea nyie mbugilambugila ila makaishia kumtukana,,
Na bado, mbona mtaimba tu haleluya
Rais Samia alikwisha piga marufuku kudai hizo kodi accumulated zaidi ya miaka 2Na container 20 unazichukuliaje yani ?
Hakuna mali inayoweza kuwekwa kwenye container 20 yenye thamani ya bilioni 20 za kodi ?
Mama mwenyewe kasema alipotajiwa hiyo kodi akasema hana hela, hakusema kodi imekosewa, kasema sikuwa na hela. What does that mean? Anajua kilichomo. Na si ajabu kodi hiyo ni cummulative assesment ya biashara ya miaka 10 bila kulipa kodi. Hii ni hadithi ya majukwaani ya upande mmoja. Huwezi kufanya conclusion yeyote kwa kihadithi cha dakika mbili cha upande mmoja.
===Eti walianza na leta billion 30!Huyu Mama ni mmoja kati ya walioongea jana mbele ya PM. Alidaiwa kodi ya Tsh 30 Billion kwa containers zake 10 alizo import. Baada ya kuonyesha kuwa hana hizo fedha akatengenezewa mashtaka ya uhujumu uchumi. Waliosokia kikao cha PM wakamfutia shtaka la uhujumu uchumi. Na kisha usiku wa kuamkia mkutano wa PM wakamuita akatoe mzigo.
Hivi ni vitendo vinavyorudisha nyuma maendeleo ya wafanyabiashara na nchi kwa ujumla. Nashauri vyombo vya dola vishughulike na Meneja TRA wa Mkoa wa Ilala pale Kipata na wengine wote waliohusika
View attachment 2626036
Huyu Mama ni mmoja kati ya walioongea jana mbele ya PM. Alidaiwa kodi ya Tsh 30 Billion kwa containers zake 10 alizo import. Baada ya kuonyesha kuwa hana hizo fedha akatengenezewa mashtaka ya uhujumu uchumi. Waliosokia kikao cha PM wakamfutia shtaka la uhujumu uchumi. Na kisha usiku wa kuamkia mkutano wa PM wakamuita akatoe mzigo.
Hivi ni vitendo vinavyorudisha nyuma maendeleo ya wafanyabiashara na nchi kwa ujumla. Nashauri vyombo vya dola vishughulike na Meneja TRA wa Mkoa wa Ilala pale Kipata na wengine wote waliohusika
View attachment 2626036
Kama mtu hafanyi biashara hawezi elewa haya.Huyu Mama ni mmoja kati ya walioongea jana mbele ya PM. Alidaiwa kodi ya Tsh 30 Billion kwa containers zake 10 alizo import. Baada ya kuonyesha kuwa hana hizo fedha akatengenezewa mashtaka ya uhujumu uchumi. Waliosokia kikao cha PM wakamfutia shtaka la uhujumu uchumi. Na kisha usiku wa kuamkia mkutano wa PM wakamuita akatoe mzigo.
Hivi ni vitendo vinavyorudisha nyuma maendeleo ya wafanyabiashara na nchi kwa ujumla. Nashauri vyombo vya dola vishughulike na Meneja TRA wa Mkoa wa Ilala pale Kipata na wengine wote waliohusika
View attachment 2626036
Hivi yule mfanyabiashara kariakooMagufuli alikuwa akiwashughulikia hao kwa kuwatimua mnasema ana wivu na matajiri.
Mbwa kabisa
TRA huko wanalindana mauchafu yaoMh Rais na viongozi wote kwa ujumla embu tungeni adhabu ya kuwanyonga maofisia wanao fanya mambo yakinyama kama haya kweli huyu mwanamke amefanyiwa haya yote kwa fitina hao walio mtengenezea fitina wanajulikana why kukaa kimya?