jkipaji
JF-Expert Member
- Sep 22, 2019
- 6,963
- 9,401
Pole Mkuu ndiyo Nchi yako ilikofikia huko! Tanzania ni Nchi ya kitu kidogo,bila kitu kidogo hupati huduma!!Ofisi za umma Zina mambo ya kukatisha tamaa, imagine tu kwenda mahakamani kusaini fomu Fulani nikapigwa 20k wakati kisheria ni Bure.[emoji17]