Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,479
- 3,788
Baada ya mbwembwe nyingi na mshahara kuchelewa tukiamini kuwa tutapanda madaraja, hatimaye salary imetoka bila mabadiliko yoyote! Vipi huko uliko mtumishi upi katika hali gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sahihisho kidoogo ni arrears sio arrays!Fanyeni kazi, mtalipwa arrays
Ishukuruni Serikali ya CCM.Kwa upande wangu na mke wangu sote tumepanda madaraja,so hatuna Cha kulaumu
Asante mkuu ni typing errorsahihisho kidoogo ni arrears sio arrays!
HahaaaaME NDO NAPANDA MKUU! NPO MFUGALE HAPA.[emoji18]
Karibu sana mkuu..ndio maana nikasema sahihisho kidooogo! maana huwa nasoma hoja zako naelewa ulivyo makini!Asante mkuu ni typing error
Arrears kiongozi.Fanyeni kazi, mtalipwa arrays
WAtumishi wengi hawapanda madaraja mimi mke wangu yuko taasisi moja hivi ambayo iko chini ya wizara ya viwanda na biashra anasema hakuna mtumishi hata moja aliyepanda mshahara wala arrearsBaada ya mbwembwe nyingi na mshahara kuchelewa tukiamini kuwa tutapanda madaraja, hatimaye salary imetoka bila mabadiliko yoyote! Vipi huko uliko mtumishi upi katika hali gani?
Mbwembwe nyiingi eti mwezi huu watapanda wote wanaostahili, halafu wanapanda kwa mafungu, hovyooWAtumishi wengi hawapanda madaraja mimi mke wangu yuko taasisi moja hivi ambayo iko chini ya wizara ya viwanda na biashra anasema hakuna mtumishi hata moja aliyepanda mshahara wala arrears
ArrearsFanyeni kazi, mtalipwa arrays
Typing error mkuuArrears
Pamoja mkuu tujenge nchiKaribu sana mkuu..ndio maana nikasema sahihisho kidooogo! maana huwa nasoma hoja zako naelewa ulivyo makini!
Sawa MkuuTyping error mkuu