kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,695
- 20,633
Kumbe Hadi una mke?Kwa upande wangu na mke wangu sote tumepanda madaraja,so hatuna Cha kulaumu
Ulikuwa una behave kiboya sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe Hadi una mke?Kwa upande wangu na mke wangu sote tumepanda madaraja,so hatuna Cha kulaumu
Asante kwa angalizo mkuu umri nao umenitupa mkonoSawa Mkuu
Mlivyofurahi hivyo kama vile mpewa hisani, CCM bado ipo ipo sn maana bado ina wateja wengi snKwa upande wangu na mke wangu sote tumepanda madaraja,so hatuna Cha kulaumu
Kwanini wasubiri watu waje kuwadai Arreas?Fanyeni kazi, mtalipwa arrears
Madeni yapo na yataendelea kuwepo, hata Marekani inadaiwa. Kaa kwa kutulia shukuru umepanda daraja enzi ya dikteta hata kupanda usingepandaKwanini wasubiri watu waje kuwadai Arreas?
Hiki kitu ndio RAIS alikuwa hataki mambo ya kuiongezea serikali madeni yasiyo ya lazima
Una uhakika nimepanda? Au umebuni tu?Madeni yapo na yataendelea kuwepo, hata Marekani inadaiwa. Kaa kwa kutulia shukuru umepanda daraja enzi ya dikteta hata kupanda usingepanda
Lini mkuu?Kumbe Hadi una mke?
Ulikuwa una behave kiboya sana.
Bado mnandoto za kupambana na CCM? Bado Sana labda 1000 years to comeMlivyofurahi hivyo kama vile mpewa hisani, CCM bado ipo ipo sn maana bado ina wateja wengi sn
Wewe hudaiwi hata kiberiti?Una uhakika nimepanda? Au umebuni tu?
Kama hizo hela zipo kwanini wasilipwe kwa pamoja wote? Utashangaa wengine wataona mabadiliko baada ya mwezi mmoja au miezi kadhaa na kusababisha ujazaji wa fomu za Arreas, yanini yote hayo?
Weka tume huruBado mnandoto za kupambana na CCM? Bado Sana labda 1000 years to come
Unawezakuta umri wako ni miaka 40 kwenda juuME NDO NAPANDA MKUU! NPO MFUGALE HAPA.😌
Unawezakuta umri wako ni miaka 40 kwenda juuME NDO NAPANDA MKUU! NPO MFUGALE HAPA.😌
nimeumia sana,hawa viongozi wetu wanaumiza akili zetu yaani miaka 8 sijapanda daraja tangu niajiriwe naishije na huu mshahara wa ualimu na hapo bado nmb mkopo nakatwaBaada ya mbwembwe nyingi na mshahara kuchelewa tukiamini kuwa tutapanda madaraja, hatimaye salary imetoka bila mabadiliko yoyote! Vipi huko uliko mtumishi upi katika hali gani?
Unawezakuta umri wako ni miaka 40 kwenda juuME NDO NAPANDA MKUU! NPO MFUGALE HAPA.😌