Watumishi wa Umma ambao hatujapanda daraja tukutane hapa

Watumishi wa Umma ambao hatujapanda daraja tukutane hapa

Hujawahi kusikia Yale matangazo.... kuwa vigezo na masharti kuzingatiwa ???!!!!
Hakuna cha vigezo na masharti wala nini! Sababu ni hii hapa ; HAWANA HELA! Hivyo inawalazimu kupandisha kwa awamu/mafungu.

How come mnafanya kazi ofisi moja, wengine wapandishwe! Halafu wengine wasipandishwe, huku wote mkiwa na sifa zinazo fanana?
 
Hakuna cha vigezo na masharti wala nini! Sababu ni hii hapa ; HAWANA HELA! Hivyo inawalazimu kupandisha kwa awamu/mafungu.

How come mnafanya kazi ofisi moja, wengine wapandishwe! Halafu wengine wasipandishwe, huku wote mkiwa na sifa zinazo fanana?
Yawezekana hawajapanda Bali wamelipwa arrears zao !!
 
Back
Top Bottom