Uchaguzi 2020 Watumishi wa umma hasa maafisa utumishi, Maafisa watendaji kata na Walimu mtapata laana ya Watanzania uchaguzi huu wa 2020

Wewe mwenyewe usikute mzinifu, msengenyaji na dhambi kibao unazo hivyo badala ya kutubu unajifanya msafi wa kutoa laana kwa wenzio. Ujinga huu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna uhusiano gani kati ya uzinifu na kilichoandikwa hapa
 
Kama hao ni vijana hamna shida maana imesemekana vijana wako upande wa mabadiliko.
 
Tujikumbushe kilichoandikwa hapa kabla ya uchaguzi
 
Ulisemalo sio kweli, Kwanza kusimamia uchaguzi hautakiwi uwe kada wa chama chochote,halafu watumishi hawana vyama ndiomaana wanachukuliwa kusimamia uchaguzi
Usilolijua au kua na uhakika nalo usilisemee. Nina ushahidi kwa upande wa walimu.
 
Mkuu, nilisoma hili andiko lako kabla ya upigaji kura, ila nimelielewa baada ya matokeo feki kuanza kutangazwa😳
 
Mzee uliona mbali sana.
Huku chini michako ilikuwa dhahiri! Safu ya kuhakikisha hayo yaliyotokea yanakuwa hivyo iliandaliwa mapema na kupewa ahadi zilizoambatana na vitisho live
 
Ulisemalo sio kweli, Kwanza kusimamia uchaguzi hautakiwi uwe kada wa chama chochote,halafu watumishi hawana vyama ndiomaana wanachukuliwa kusimamia uchaguzi
Hv unaongea kwa kutumia akili au tumbo jinga Sana ww
 
Hongera sana, ufafanuzi mzuri na ukweli ndiyo huo 100%, unafahamu zaidi haya uliyoyaandika, shida tu watanzania km vile tumelogwa, upole, njaa na uoga uliopitiliza. Unajua tatizo liko wapi unabaki kulalamika bila kuchukua hatua. Anyway pengine kuna siku malaika atawashukia, mtajitambua.

Anyway popote ulipo ubarikiwe.
 
Kila lenye mwanzo litafika mwisho
 
Ulisemalo sio kweli, Kwanza kusimamia uchaguzi hautakiwi uwe kada wa chama chochote,halafu watumishi hawana vyama ndiomaana wanachukuliwa kusimamia uchaguzi
Kuna wapuuzi huwa mna mawazo ya kijinga kama kuku aliyekatwa kichwa
 
Ni laana...
Kama huo ualimu ni laana, basi na wewe bila shaka una laana! Maana hata hao wazazi wako waliokuleta hapa duniani nao ni walimu! Na ndiyo walio kufundisha kula na pia kwenda chooni kunya.

Au kwa akili yako unadhani mwalimu ni yule mtu anayefundisha tu darasani?
 
Ulisemalo sio kweli, Kwanza kusimamia uchaguzi hautakiwi uwe kada wa chama chochote,halafu watumishi hawana vyama ndiomaana wanachukuliwa kusimamia uchaguzi
We Jamaa level yako ya kuelewa is very very low
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…