Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 18,046
- 38,598
Mtumishi leo hadi kesho HR wako atakuwa na.majibu kwasababu payrolls zitakuwa zimetoka.Du anuyejua akuje huku hili ni jukwaa la watu mbali mbali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtumishi leo hadi kesho HR wako atakuwa na.majibu kwasababu payrolls zitakuwa zimetoka.Du anuyejua akuje huku hili ni jukwaa la watu mbali mbali
Mbona iko wazi sana. Hiyo 23% ni kwa watumishi wa kima cha chini.Kuna ujanja ujanja wa kiswahili ulitumika some hizo aya za mwanzoView attachment 2294255
Yeah iko hivyo.Mbona iko wazi sana. Hiyo 23% ni kwa watumishi wa kima cha chini.
Yale yalikuwa matamanio yakeTafuteni...Kuna mkeka mdau aliuushusha humu unadadavua kila kitu
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Ila kweli watanzania tuna shida ya afya ya akili. Magufuli niliona anaajiri walimu awamu 2, 2019 April na 2020. Vijana wa JKT niliona wakiajiriwa hivyo hoja yako ya no. 1 naicrush ni uongo.1. Na wala hakuajiri,
2. Alifukuza vyeti feki lakini total figure iliyolipa mishahara haikushuka
3. Alifukuza wafanyakazi hewa lakini total figure au gharama za mishahara hazikushuka
4. Hakupandisha madaraja, lakini gharama za mishahara zilipanda...
Sasa kilichokuwa hakishushi gharama za mishahara wakati yote hapo juu yamefanyika hakijulikani
Ha ha ha haya bhanaMtumishi leo hadi kesho HR wako atakuwa na.majibu kwasababu payrolls zitakuwa zimetoka.
Au unaweza ukafanya ESTIMATE ya nmana hii ili usiangaike sana kujua ni kiasi utapata (ESTIMATED NET PAY AMOUNT)Ninachoshindwa kuwaelewa ni kuwa mtu unashindwaje kujua utapata shilingi ngapi, wakati
1. Basic pay yako unaijua
2. Asilimia ya ny0ngeza unaijua (23.3%)
3. PAYE unaijua ni asilimia ngapi PLUS fixed PAYE amount kiasi gani kwa kuwepo kwako kwenye kundi fulani la kodi
4. Unajuwa NSSF percentage deduction
5. Unajuwa makato yako ya 2% kwa wanachama wa vyama vya wafanyakazi
6. etc
Kwamba hesabu ndiyo ngumu hadi ungoje kuwa surprised au ni kitu gani?
Subiria mda ukifika ndio utajua.Sasa kama ni hivyo ina maana kuna watu hawajui wataongezwa asilimia ngapi..!!! Na pengine, wengine si sehemu ya watakaopata nyongeza...!! Hivi, kwa namna ilivyosemwa, hiyo 23.3% itaongezwa kwa akina nani? Kama haijulikani BASI NI CHANGA LA MACHO HILOOO..!!!
ndio kitu gani hikiAu unaweza ukafanya ESTIMATE ya nmana hii ili usiangaike sana kujua ni kiasi utapata (ESTIMATED NET PAY AMOUNT)
NET PAY=50,000/= WHILE MSHAHARA NI 100%
JE;
NET PAY=......................? WHILE MSHAHARA NI 123.30%?
Nazani kufikia kesho tarhe 19.07.2022mimi nafikiri muda utasema embu tusikilizie watumishi wenzangu mpaka jumamosi asubuhi itakuwa imefahamika
Ninachoshindwa kuwaelewa ni kuwa mtu unashindwaje kujua utapata shilingi ngapi, wakati
1. Basic pay yako unaijua
2. Asilimia ya ny0ngeza unaijua (23.3%)
3. PAYE unaijua ni asilimia ngapi PLUS fixed PAYE amount kiasi gani kwa kuwepo kwako kwenye kundi fulani la kodi
4. Unajuwa NSSF percentage deduction
5. Unajuwa makato yako ya 2% kwa wanachama wa vyama vya wafanyakazi
6. etc
Kwamba hesabu ndiyo ngumu hadi ungoje kuwa surprised au ni kitu gani?
Msiugue vichwa wewe jiweke kwenye asilimia sita au saba huko ukikutana na asilimia ya juu zaidi ichukue kama bonusKaka hesabu haziko hivyo. Kadri mshahara unavyozidi kua mkubwa ndo % zinwvyopungua. Na hapa ndio panawapa watu headache. Hiyo 23.3% sio flat rate