Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Hapa ni selfika? Au unataka kupopolewa πππππEvening guys!
Enjoy your night wapendwa!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa ni selfika? Au unataka kupopolewa πππππEvening guys!
Enjoy your night wapendwa!!
Uwiiii Najua nipo selfika mwenzio dohh!!Hapa ni selfika? Au unataka kupopolewa πππππ
Mnawekea friday eeItafahamika Friday
Ngoma mpaka jumatatu tarehe 25. Kaza mkandaItafahamika Friday
Ngoma mpaka jumatatu tarehe 25. Kaza mkandaMnawekea friday ee
Kuna mtu namdai π
Ngoja tuone..Ngoma mpaka jumatatu tarehe 25. Kaza mkanda
Mwaka mpya wa fwedher mambo ni mengi muda ni mchacheNgoja tuone..
Yeah ila si payroll huwa zinarudi halmashauri sijui tarehe ngapi awamu hii mambo yamekaaje kwani!!π€π€π€Mwaka mpya wa fwedher mambo ni mengi muda ni mchache
Mwakahuu mfumo wa ku generate payrolls umezidiwa na figure zilizo ongezeka kwenye mishahara ya watu hivyo maadimin wana reboot system na kusababisha payrolls kuchelewaYeah ila si payroll huwa zinarudi halmashauri sijui tarehe ngapi awamu hii mambo yamekaaje kwani!!π€π€π€
Mimi hata sipo huko kwa mama enu mzaa chema πMwaka mpya wa fwedher mambo ni mengi muda ni mchache
Marupurupu, Xtra duty, on transit allowance, za kuchekecha humohumo ofisini overtime na nights bado haziwatoshi mnataka na nyongeza juu? πππππMimi hata sipo huko kwa mama enu mzaa chema π
Mie huku huyo ni mama wa kambo, yaan sijui kama kuna kijisheria kitatukumbuka.
Walai mpaka waleo bilabila!Mwakahuu mfumo wa ku generate payrolls umezidiwa na figure zilizo ongezeka kwenye mishahara ya watu hivyo maadimin wana reboot system na kusababisha payrolls kuchelewa
Wangekuwa wanajua tungeshajua maana miongoni mwao ni marafiki, wake zetu wapenzi wetu wazazi wetu michepuko n.k siri zingevuja tuWalai mpaka waleo bilabila!
Ila ma afisa utumishi wanajua bana watuvujishie siri bana wasitufanyie hivii!π€π
Kweli mkuu awamu hii kuna engo mama kakaza hatari!!Wangekuwa wanajua tungeshajua maana miongoni mwao ni marafiki, wake zetu wapenzi wetu wazazi wetu michepuko n.k siri zingevuja tu
Rais si wetu wote? Na sie angewezesha hata 10% tuMarupurupu, Xtra duty, on transit allowance, za kuchekecha humohumo ofisini overtime na nights bado haziwatoshi mnataka na nyongeza juu? πππππ
Usichokijua ni kuwa watumishi wengi tu wa umma waliokuwa mifuko ya PPF na NSSF kabla ya kuhamishiwa PSSSF walikuwa na kikokotoo cha asilimia 25 hadi hiyo june 2022. Kwa hiyo kwao kikokotoo kipya cha asilimia 33 ni kicheko sana. Kilio ni kwa watumishi wa umma waliokuwa LAPF na PSPF kabla ya kuhamishiwa PSSSF, hawa walikuwa na kikokotoo cha asilimia 50 hadi june 2022. Kwa hiyo kwao kikokotoo cha asilimia 33 ni kilio na kusaga meno!!Wajiandae kwa kilio cha Kusaga Meno cha UZEENI KIKOKOTOO
cha Asilimia 33
Hiyo cross multiplication ina-apply kwa kima cha chini peke yake. Kila kiwango cha mshahara kina asilimia tofauti.Au unaweza ukafanya ESTIMATE ya nmana hii ili usiangaike sana kujua ni kiasi utapata (ESTIMATED NET PAY AMOUNT)
NET PAY=50,000/= WHILE MSHAHARA NI 100%
JE;
NET PAY=......................? WHILE MSHAHARA NI 123.30%?
Sisi tutakuita Mbwa tu, inatosha.Ongezeko ni elfu 20 kwa taasisi na elfu 50 kwa Serikali kuu na Serikali za mitaa. Ikiwa tofauti na hivi mniuweeee